UNICEF: Vita inayoendelea Ukraine ina athari mbaya za Kisaikolojia kwa Watoto

UNICEF: Vita inayoendelea Ukraine ina athari mbaya za Kisaikolojia kwa Watoto

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
2-65528668-data.jpg

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa vita inayoendelea Nchini Ukraine imekuwa na madhara makubwa kwa watoto, ambapo wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia.

Watoto zaidi ya milioni moja wa Ukraine kwa muda wa miezi miwili wamekuwa katika mateso kutokana na makombora na mabomu ya mara kwa mara, kukosa chakula, kushindwa kwenda shule na kukos ahuduma muhimu.

UNICEF inasema hali hilo imesababisha majeraha makubwa kwa watotoreated a child protection crisis of extraordinary proportions.

Mashirika ya UN yameripoti kuwa kuna vifo vya raia wa kawaida 6,800 ambapo 3,300 kati yao waliuawa. Watu zaidi ya milioni 7 wamekimbia makazi yao ndani ya Ukraine na zaidi ya watu milioni 5 wamekimbia kuwa wakimbizi katika nchi Jirani, robo tatu wakiwa ni watoto.

Kabla ya Urusi kuanza kuivamia Ukraine, Februari 24, 2022 kulikuwa na watoto zaidi 90,000 walikuwa wakiishi katika taasisi, vituo vya yatima na taasisi nyingine mbalimbali nusu kati yao wakiwa ni walemavu.
AP22068400574386.jpg


Source: vioanews
 
View attachment 2214873
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa vita inayoendelea Nchini Ukraine imekuwa na madhara makubwa kwa watoto, ambapo wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia.

Watoto zaidi ya milioni moja wa Ukraine kwa muda wa miezi miwili wamekuwa katika mateso kutokana na makombora na mabomu ya mara kwa mara, kukosa chakula, kushindwa kwenda shule na kukos ahuduma muhimu.

UNICEF inasema hali hilo imesababisha majeraha makubwa kwa watotoreated a child protection crisis of extraordinary proportions.

Mashirika ya UN yameripoti kuwa kuna vifo vya raia wa kawaida 6,800 ambapo 3,300 kati yao waliuawa. Watu zaidi ya milioni 7 wamekimbia makazi yao ndani ya Ukraine na zaidi ya watu milioni 5 wamekimbia kuwa wakimbizi katika nchi Jirani, robo tatu wakiwa ni watoto.

Kabla ya Urusi kuanza kuivamia Ukraine, Februari 24, 2022 kulikuwa na watoto zaidi 90,000 walikuwa wakiishi katika taasisi, vituo vya yatima na taasisi nyingine mbalimbali nusu kati yao wakiwa ni walemavu.
View attachment 2214874

Source: vioanews
vita iraq,libya,Afghanistan mbona hatukusikia hizi report?Au kule kulikua hakuna watoto?
 
View attachment 2214873
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa vita inayoendelea Nchini Ukraine imekuwa na madhara makubwa kwa watoto, ambapo wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia.

Watoto zaidi ya milioni moja wa Ukraine kwa muda wa miezi miwili wamekuwa katika mateso kutokana na makombora na mabomu ya mara kwa mara, kukosa chakula, kushindwa kwenda shule na kukos ahuduma muhimu.

UNICEF inasema hali hilo imesababisha majeraha makubwa kwa watotoreated a child protection crisis of extraordinary proportions.

Mashirika ya UN yameripoti kuwa kuna vifo vya raia wa kawaida 6,800 ambapo 3,300 kati yao waliuawa. Watu zaidi ya milioni 7 wamekimbia makazi yao ndani ya Ukraine na zaidi ya watu milioni 5 wamekimbia kuwa wakimbizi katika nchi Jirani, robo tatu wakiwa ni watoto.

Kabla ya Urusi kuanza kuivamia Ukraine, Februari 24, 2022 kulikuwa na watoto zaidi 90,000 walikuwa wakiishi katika taasisi, vituo vya yatima na taasisi nyingine mbalimbali nusu kati yao wakiwa ni walemavu.
View attachment 2214874

Source: vioanews
Ni kweli kabisa kama ambavyo vita imeathiri watoto wa Libya, Palestina, Iraq, Syria na kwingine kote.
Mungu awasaidie binadamu waone majanga yanayosabishwa na vita kila sehemu
 
Kudadek, miezi miwili tu wazungu wanalia namna hii,
Putin ongeza moto baba
Huko kwingine pia kuna watoto
 
Athari ya namna gani mbona muda no mfupi vimiezi viwili huruma inawashika,nadhani watoto ambao wameathirika kisaikolojia mpaka mwisho ni watoto wa PALESTINA ambao utoto wao wameathirika kisaikolojia na ukubwani kwao wanaitwa Magaidi.
umoja wa Asia wamefanya nn mpk turukie ngaz za umoja wa mataifa
 
Back
Top Bottom