Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Weweee Mez B hatunaye? Dah lini mkuu?Ina maana hujui kama Mez B ni marehemu,au ndo unatoka jela.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kitambo mno aisee, saratani ya ini, nilishtuka Sana nilipoambiwa huo ugonjwa kwamba yanki Kama Mimi anaweza ondoka kwa saratani, nadhani ilikuwa around 2010Weweee Mez B hatunaye? Dah lini mkuu
Dah. Ila alizidisha kuvutaKitambo mno aisee,saratani ya ini,nilishtuka Sana nilipoambiwa huo ugonjwa kwamba yanki Kama Mimi anaweza ondoka kwa saratani,nadhani ilikua around 2010
Mez B alishafariki kitamboWale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?
Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.
Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Zuwena ni marehemu kama si 2009/10. Sister P Tom boy wangu ndio sijajua anafanya nini kwa sasaWeweee Mez B hatunaye? Dah lini mkuu
Aliondoka na pneumonia ( ngoma )saratani ya ini
Yaani mtandao wao au kila mtu aliupata alikojuahuo huo uliondoka na Roy wa G2, amina chifupa na mudi mpakanjia
Mez B hatunaye mkuu nadhani ndio umemaliza kifungo jela kuhusu hao madada hata mimi sijuiWale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?
Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.
Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Sister P mtoto wa Remy πZuwena ni marehemu kama si 2009/10. Sister P Tom boy wangu ndo sijajua anafanya nini kwa sasa
John Mjema alipogundua anao akajiua kwa kujichoma kisu moyoni laiti angepata ushauri mzuri akatafuna njugu tungekuwa naye sasa hivi. Jini Kabula yule tall naye alitakaga kujiua ila kanselling ikamsaidia akaanza dozi sasa hivi huwezi kumtambua pisii kali ataondoka na wengi.Yliondoka na pneumonia ( ngoma )
Yaani mtandao wao au kila mtu aliupata alikojua
Si ndio aliimba kikuu cha mama Roda kimenilia mpunga wanguu mamaaa π π πaliondoka na pneumonia ( ngoma )
huo huo uliondoka na Roy wa G2, amina chifupa na mudi mpakanjia
Roy alikuwa ana vi beat vyake hivi sad.. pneumonia noma sanaaYliondoka na pneumonia ( ngoma )
Yaani mtandao wao au kila mtu aliupata alikojua
yep ndiyo yeyeSi ndio aliimba kikuu cha mama Roda kimenilia mpunga wanguu mamaaa π π π
Radhia ndo yule mapepe alikuwa anachanaga mistari?
Kikukuu kilimuondoa sasa π πyep ndiyo yeye