Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Uislamu ni ugaidi. Nashukuru watu wengi siyo waislamu maana kungekuwa na vita kila mahala.
Marekani imeona hiyo, ndiyo maana kila taifa la kiislamu linalojiinua lazima alimalize. Aliona mbali
Libya walifanya vyema, Sryria safi. Hapo anasubiriwa Iran ni suala la muda tu. Hata Sadamu na Gadhafi walikuwa mwamba ila muda ulipofika, walipotezwa.
Hata waingereza waliona vyema kwa prince Diana na jamaa yake yule muislamu maana uingereza ingekuwa ni vita muda wote.
Kwa akili hizi, uislamu ni dini ya kishetani sana.
Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
 
Kuwa na nabii wa kike sio kitu cha ajabu sana kwani kuna wanawake wamefanya mengi mazuri mbele ya Mungu mfao Malkia Esta mke wa mfalme Ahuero aliyemiliki falme zote bara hindi mpaka Kush yeye si alisaidia kuwaokoa watahudi wasiuwawe? Mbona Esta alikuwa ni mwanamke. Na pia mwanamke kuingia hedhi kila mwezi ni ibada kwa Mungu wa uzao na vizazi Usidharau. Bila mwanamke kwenda hedhi kusingekuwa na uzazi hapa duniani.
 
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDF


View: https://twitter.com/MyLordBebo/status/1720149368571936810?t=tMyvWwoaReSSGjQJ8WTJQg&s=19
 
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDF


View: https://twitter.com/MyLordBebo/status/1720149368571936810?t=tMyvWwoaReSSGjQJ8WTJQg&s=19
 
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDF


View: https://twitter.com/MyLordBebo/status/1720149368571936810?t=tMyvWwoaReSSGjQJ8WTJQg&s=19
 
Hivi Mrap ina uwezo mzuri wa kuhimili anti tank missile kuliko APC za kawaida ?

T14 Armata
 
Hivi Mrap ina uwezo mzuri wa kuhimili anti tank missile kuliko APC za kawaida ?

T14 Armata
MRAP ni nzuri kwa landmines na haitakiwi iende frontline. APC ndio inahimili ATGM kiasi, ikifuatiwa na IFV ikifuatiwa na MBT. Ila kwa doctrine ya Israel, APC iko armoured kuliko IFV sababu yenyewe haina firepower kubwa inabidi iende frontline troop wafanye dismount.

Na bado ATGM inategemea ni nini, shaped charge, discarding sabot, HEAT, armour piercing. Tanks nyingi zina armour mbili au tatu tofauti.
 
Jifunze kuhusu elimu mkuu,uone Kama haijatokea mashariki ya kati,mpaka crusade ya kwanza inafanyika, crusaders wengi walikua hawajui kusoma Wala kuandika, chemistry ni Al kemy (mwarabu),algebra ni mwarabu,ave Cena,Ismail Azar (father of robotics) nk
Nimesoma Science since Olevel mpaka Masters.. Sijawahi Kutana na Mwarabu, Hio Chemistry nawasikia Niehls Bohrs, Michael Faraday.. Hizo Algebra namsikia Rene Descartes, Karl Friendrich Gaus, Leonhard Euler, Physics Kuna Newton, Galileo, Einstein, Faraday, Watts, Joules na wengineo.

Bahati mbaya sioni Mwarabu hata Mmoja hapo.

Sijawahi ona vumbuzi zao wala Nadharia zao (Theories) zao ambazo zinatumika katika ulimwengu wa sayansi na Teknolojia.

Wakati Wakristu wa Ulaya wakiwekeza katika Elimu waarabu wakiwekeza Katika Bikra zao zile.

Elimu Dunia ilikuwa Mwiko kwao.

Ni muda wenu wa Kuamka.
 
Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?
 
Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?
acha porojo nyingi Mkuu, lete theories zao.. mbona mie mifano nimeleta? Kwanini hao wote niwafahamu hao waarabu nisiwafahamu? Wawekeze katika Elimu!
 
Wewe tako.mbona unawashobokea sana wayahudi unawajua vizuri??
 
Kimsingi Wakristo wasio soma biblia, unabii(vitabu vyenye kufafanua unabii wa Daniel na Ufunuo) na historia na kuunganisha hivi vitu vitatu bado itakuwa ngumu kunga'mua mambo yanavyokwenda. Watabaki kusema Israel ni taifa teule ukiwabariki nawe utabarikiwa.

Wakristo hao hawajui kuwa Mungu hana ubaguzi na huwabariki wote Wamchao bila kujali utaifa wao. Na hukumu zake zi juu ya wasiomcha. Rejea kupigwa Israel na kupelekwa utumwani Babel(Iraq ya sasa)kwa miaka 70 baada ya kumuasi Mungu. Rejea pia utume wa nabii Yona kwenda Ninawi (Sehemu ya Iraq na Syria) kuhubiri na Mungu akawasamehe.

Mpango wa Mungu wa kutumia uzao wa Ibrahim ilikuwa ni kutimiza kutimiza lengo kuu la Kuzaliwa Kristo, kueneza injili na kuukomboa ulimwengu kutoka utumwa wa dhambi, ulikuwa si kuwapendelea wayahudi na kuwaumiza wanadamu wengine.

Na ndiyo maana Paulo katika Wakorintho anasema sisi tusio Waisrael wa Kuzaliwa tunafanyika Kuwa Wana wa ahadi(wa Ibrahim) kwa kumkiri Kristo, lakini pia si wayahudi/Waisrael wote wa Kuzaliwa watafanyika Wana wa ile ahadi (hii ni kwa sababu ya kutokumtambua na kumkana Yesu Kristo).

Yeye mwenyewe Kristo anawaambia kwenye Mathayo 21:43, kwa kosa la kumkataa Masihi ufalme (baraka ) zimeondolewa kwao (wayahudi) na kupewa wengine wenye kuzaa matunda. Na hata akatabiri juu ya kuanguka kwa Yerusalem na kuharibiwa kwa hekalu, tukio lililo kuja kutimia mwako 70A.D yapata miaka 37 tangu kifo cha Yesu na mateso ya wafuasi wa Kristo huko Uyahudi.

Kuanguka huko kwa Yerusalem ndiko kulikofanya wayahudi kutawanyika ulaya na kwingineko duniani na taifa lao kusambaratika hadi hapo walipokuja kurejea mwaka 1946-48 takribani miaka 2000 kwa msaada wa Uingereza na Marekani.

Sasa niwaulize tu Wakristo wenzangu huo upekee, uteule na kubarikiwa kwa Israel kuko wapi hadi tufikie kushabikia unyama na mauaji ya wapalestina, eti tu kwa tafsri hafifu ya maandiko katika kitabu cha mwanzo; pale Mungu alipokuwa akimuahidi Ibrahim kuwa atamfanya taifa kubwa, atambariki yeyote atakayembariki Ibrahim na uzao wake na kumlaani yeyote atakaye mlaani Ibrahim na uzao wake. Wakati huohuo tukishindwa kuelewa kuwa Yesu alikuja kuwaokoa wanadamu wote wakiwemo hao wapalestina na wala hana ubaguzi kwa Myunani, wala Myahudi, wala Mrumi (rejea matendo sura ya tisa na kumi).
 
Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?
Hata neno alkali(yaani base) ni neno la kiarabu alqil(yaani majivu). Jina Hilo na sifa hiyo hutumika kwa kampaundi zote zenye sifa au ladha Kama majivu (i.e alkaline compounds)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…