Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Habari huwa unaokoteza wapi?Tunawaonea huruma??....wewe ni nani haswa
Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Kumfuta Israel, Iran hasau. Ni suala la muda.Ndio lengo la Iran na vikundi vyake Hamas na hezbollah
Hapa ni sawa na kusema ngoma bd mbichi kabisa.
Kuwa na nabii wa kike sio kitu cha ajabu sana kwani kuna wanawake wamefanya mengi mazuri mbele ya Mungu mfao Malkia Esta mke wa mfalme Ahuero aliyemiliki falme zote bara hindi mpaka Kush yeye si alisaidia kuwaokoa watahudi wasiuwawe? Mbona Esta alikuwa ni mwanamke. Na pia mwanamke kuingia hedhi kila mwezi ni ibada kwa Mungu wa uzao na vizazi Usidharau. Bila mwanamke kwenda hedhi kusingekuwa na uzazi hapa duniani.Wakristo wenye akili wanalijua hilo, tatizo kuna watoto waliozaliwa 2000+, hao ndio huwaambii kitu wakakuelewa.
Sasa we mtu anaabudu sanamu, ataelewa hilo?
Mtu kila jumapili anauziwa papai kutoka kimanzichana, anaambiwa limetoka kwa bwana (mungu) atakuelewa kweli.
Mtu kanisani kwake kuna nabii wa kike kavaa kisuruali kimemmbana, tena usishangae yuko mwezini lakini kuna msomi wa phd anamuamini kua huyo ni nabii.
Kiufupi kuna kundi la wakristo feki limeibuka hapa kati ambalo akili zao na mbuzi hazitofautini.
Ni bora mkatoliki utamuambia kitu atakuelewa, lakini sio hayo makanisa mengine.
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDFWewe Boy hizo reportage zako unapewa na mabasha wako huko usilete hapa.
Huko Gaza hakukaliki kwa chochote mchakazo unaoendelea saa hii.
Hizo picha za watoto na wamama ndio zinaletwa humu na wapuuzi km wewe.
Hamas wanalipuliwa nakuzikwa humo humo ndani ya mahandaki yao.
Wakikimbia kuja uraiani ndio wanashika watoto wanaishia kuchapwa wote.
We ukipakatwa huko na wavaa kobazi basi utaokota habari huko uje kuleta rumours hapa.
Na ijumaa soon inafika wakitoka kuswali.
kipigo kinaanza ni mpk j3 huko, mayahudi wanaenda kupumzika nyie mnapiga selfie na maiti.
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDFWewe Boy hizo reportage zako unapewa na mabasha wako huko usilete hapa.
Huko Gaza hakukaliki kwa chochote mchakazo unaoendelea saa hii.
Hizo picha za watoto na wamama ndio zinaletwa humu na wapuuzi km wewe.
Hamas wanalipuliwa nakuzikwa humo humo ndani ya mahandaki yao.
Wakikimbia kuja uraiani ndio wanashika watoto wanaishia kuchapwa wote.
We ukipakatwa huko na wavaa kobazi basi utaokota habari huko uje kuleta rumours hapa.
Na ijumaa soon inafika wakitoka kuswali.
kipigo kinaanza ni mpk j3 huko, mayahudi wanaenda kupumzika nyie mnapiga selfie na maiti.
Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDFWewe Boy hizo reportage zako unapewa na mabasha wako huko usilete hapa.
Huko Gaza hakukaliki kwa chochote mchakazo unaoendelea saa hii.
Hizo picha za watoto na wamama ndio zinaletwa humu na wapuuzi km wewe.
Hamas wanalipuliwa nakuzikwa humo humo ndani ya mahandaki yao.
Wakikimbia kuja uraiani ndio wanashika watoto wanaishia kuchapwa wote.
We ukipakatwa huko na wavaa kobazi basi utaokota habari huko uje kuleta rumours hapa.
Na ijumaa soon inafika wakitoka kuswali.
kipigo kinaanza ni mpk j3 huko, mayahudi wanaenda kupumzika nyie mnapiga selfie na maiti.
Huu ujasiri si wa kawaida!Angalia hii video ujionee jinsi vijana wa Hamas wasio hata na kivifaru kimoja, ndege, au hata manuari wanavyowajambisha IDF
View: https://twitter.com/MyLordBebo/status/1720149368571936810?t=tMyvWwoaReSSGjQJ8WTJQg&s=19
Hivi Mrap ina uwezo mzuri wa kuhimili anti tank missile kuliko APC za kawaida ?Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia
A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.
Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas
The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier
View attachment 2800481View attachment 2800482
MRAP ni nzuri kwa landmines na haitakiwi iende frontline. APC ndio inahimili ATGM kiasi, ikifuatiwa na IFV ikifuatiwa na MBT. Ila kwa doctrine ya Israel, APC iko armoured kuliko IFV sababu yenyewe haina firepower kubwa inabidi iende frontline troop wafanye dismount.
Nimesoma Science since Olevel mpaka Masters.. Sijawahi Kutana na Mwarabu, Hio Chemistry nawasikia Niehls Bohrs, Michael Faraday.. Hizo Algebra namsikia Rene Descartes, Karl Friendrich Gaus, Leonhard Euler, Physics Kuna Newton, Galileo, Einstein, Faraday, Watts, Joules na wengineo.Jifunze kuhusu elimu mkuu,uone Kama haijatokea mashariki ya kati,mpaka crusade ya kwanza inafanyika, crusaders wengi walikua hawajui kusoma Wala kuandika, chemistry ni Al kemy (mwarabu),algebra ni mwarabu,ave Cena,Ismail Azar (father of robotics) nk
Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?Nimesoma Science since Olevel mpaka Masters.. Sijawahi Kutana na Mwarabu, Hio Chemistry nawasikia Niehls Bohrs, Michael Faraday.. Hizo Algebra namsikia Rene Descartes, Karl Friendrich Gaus, Leonhard Euler, Physics Kuna Newton, Galileo, Einstein, Faraday, Watts, Joules na wengineo.
Bahati mbaya sioni Mwarabu hata Mmoja hapo.
Sijawahi ona vumbuzi zao wala Nadharia zao (Theories) zao ambazo zinatumika katika ulimwengu wa sayansi na Teknolojia.
Wakati Wakristu wa Ulaya wakiwekeza katika Elimu waarabu wakiwekeza Katika Bikra zao zile.
Elimu Dunia ilikuwa Mwiko kwao.
Ni muda wenu wa Kuamka.
acha porojo nyingi Mkuu, lete theories zao.. mbona mie mifano nimeleta? Kwanini hao wote niwafahamu hao waarabu nisiwafahamu? Wawekeze katika Elimu!Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?
Ok,usiku mwemaacha porojo nyingi Mkuu, lete theories zao.. mbona mie mifano nimeleta? Kwanini hao wote niwafahamu hao waarabu nisiwafahamu? Wawekeze katika Elimu!
Wewe tako.mbona unawashobokea sana wayahudi unawajua vizuri??Wewe Boy hizo reportage zako unapewa na mabasha wako huko usilete hapa.
Huko Gaza hakukaliki kwa chochote mchakazo unaoendelea saa hii.
Hizo picha za watoto na wamama ndio zinaletwa humu na wapuuzi km wewe.
Hamas wanalipuliwa nakuzikwa humo humo ndani ya mahandaki yao.
Wakikimbia kuja uraiani ndio wanashika watoto wanaishia kuchapwa wote.
We ukipakatwa huko na wavaa kobazi basi utaokota habari huko uje kuleta rumours hapa.
Na ijumaa soon inafika wakitoka kuswali.
kipigo kinaanza ni mpk j3 huko, mayahudi wanaenda kupumzika nyie mnapiga selfie na maiti.
Kimsingi Wakristo wasio soma biblia, unabii(vitabu vyenye kufafanua unabii wa Daniel na Ufunuo) na historia na kuunganisha hivi vitu vitatu bado itakuwa ngumu kunga'mua mambo yanavyokwenda. Watabaki kusema Israel ni taifa teule ukiwabariki nawe utabarikiwa.Wakristo wenye akili wanalijua hilo, tatizo kuna watoto waliozaliwa 2000+, hao ndio huwaambii kitu wakakuelewa.
Sasa we mtu anaabudu sanamu, ataelewa hilo?
Mtu kila jumapili anauziwa papai kutoka kimanzichana, anaambiwa limetoka kwa bwana (mungu) atakuelewa kweli.
Mtu kanisani kwake kuna nabii wa kike kavaa kisuruali kimemmbana, tena usishangae yuko mwezini lakini kuna msomi wa phd anamuamini kua huyo ni nabii.
Kiufupi kuna kundi la wakristo feki limeibuka hapa kati ambalo akili zao na mbuzi hazitofautini.
Ni bora mkatoliki utamuambia kitu atakuelewa, lakini sio hayo makanisa mengine.
Hata neno alkali(yaani base) ni neno la kiarabu alqil(yaani majivu). Jina Hilo na sifa hiyo hutumika kwa kampaundi zote zenye sifa au ladha Kama majivu (i.e alkaline compounds)Mvumbuzi wa tasnia ya chemistry anaitwa alkemy, mwarabu,mvumbuzi wa algebra ni aljabir,mwarabu..ni rahisi to Google ' medieval arab scientists'..umefika mpaka masters unashindwa kuelewa vitu vidogo,ulikua unakariri tu!?