University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
 
Njaa mkuu,stress za maisha,unafikiri Kabudi aliposema JPM amemtoa "jalalani"alikosea?!Wanazuoni wetu wanaishi maisha magumu,kamshahara kaduchu,wanaishia kufuga kuku,kitimoto,Ili kusongesha maisha.
Hasira zao wanazimalizia kwa wanafunzi
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Kama ulitelekezwa na wazazi wako kaa kimya, Kama unadhani siku hizi masters wanasoma wazeee nyambafu yako

Na kama unadhani yupo mzazi analipa milioni nane Hadi ishirini gharama za masterz na mtoto wake akwamishwe na kiumbe mmoja mbinafsi shenzi type.

Tumieni common sense,
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Kile sio chuo ni jalalani
By prof macho
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Utakua ulikimbia umande waachie wataalamu haya mambo...
 
Vyuo vyote hivi vilivyojaa hapa Tanzania ama Duniani mtu ukapoteze muda wako UD kwa waalimu limbukeni na washamba?

Mimi ni vile tu sikua na uwezo, hata undergraduate nisingesoma Tanzania. Waalimu wengi wa vyuo Tanzania ni washamba, limbukeni, roho mbaya, mawazo mgando, fikra za kijinga na kizamani sana.

Wengi wamesoma master degree ulaya miezi 12 lakini wakija bongo wanakulazimisha usome miezi 18 na hiyo 18 utapata shida sio kidogo, mara nyingi ni zaidi ya miezi 24. Kuna mshikaji wangu alianza master degree hapo UD toka 2017 hajamaliza hadi leo, mara supervisor hayupo, mara miezi 3 hajajibu wala kusahihisha kazi ya mshikaji, mambo ya hovyo kabisa. Jamaa November hii anaenda kuanza master degree Nairobi upya.

Bora kusoma open university kuliko kua campus.

Vyuo vyetu bado vina waalimu wanaamini mitihani migumu ndio inakufanya uwe bora. Mwalimu anatangaza darasani eti mwaka huu nashika kadhaa, mwaka jana nilishika kadhaa, hao ni waalimu.

Mimi hakuna elimu nitasoma kwenye vyuo vya Tanzania tena hata kwa bunduki.
 
Mwanao ana raha sana, mpaka master bado unamfuatilia mambo yake,me mwisho kufuatiliwa na mzazi ni class 5.

Hoja yako ina mashiko. Asipokuwa makini mwanao ataliwa kisamvu
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
We acha tu, kuna vitu vingine ukiongea ni kutafuta kugombana na watu na kunyoosheana vidole, lakini UD kuna tatizo ambalo hakuna wa kuweza kumnyooshea kidole mwingine, maana ndege wanaofanana huruka pamoja. Ploe sana Tanzania yetu inahitaji Maombi.
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Wewe kama ulibwagwa na wazazi baada ya kufikisha miaka 18 pole. Au kama wazazi wako walikuwa wajinga na wanakutia aibu pole. Sio hivyo kwa kila mtu.
Mzazi kama anauwezo lazima amtetee mwanae. Hiyo ni kawaida.
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
MASTERS for 4 years !!!?? Hell No !!!!
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Mzazi yuko sahihi kabisa kwenda na mtoto wake kuulizia hiyo issue. Hata mimi kuna kipindi fulani nilitaka kwenda kwa kweli maana niliona muda umepita sana na kila siku supervisor analeta story zisizokuwa na mashiko. Huyo aliyekuwa supervisor wake sasa hivi ni mtu mkubwa tu.

Kwa kweli siyo haki hata kidogo wanavyowatenda postgraduate students. Wabadilike.
 
Back
Top Bottom