University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

University of Dar es salaam: Mnavyowafanyia wanafunzi wa masters na PhD mnakiua chuo, badilikeni

Njaa mkuu,stress za maisha,unafikiri Kabudi aliposema JPM amemtoa "jalalani"alikosea?!Wanazuoni wetu wanaishi maisha magumu,kamshahara kaduchu,wanaishia kufuga kuku,kitimoto,Ili kusongesha maisha.
Hasira zao wanazimalizia kwa wanafunzi
Mishahara yao sio midogo. Hayati jpm aliwatoa kwasababu walikuwa wamejazana pale na hamna kabisa wanachokifanya.
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Umeongea ukweli mtupu. Yani wanapenda sana kunyenyekewa na hawajali muda kabisaaa.
 
Mkuu wachana na huyu, uongo mwingi. Ukisoma andiko lake kila mahala ni uongo tu [emoji23]. Pamoja na kwamba ni kweli Udsm kuna tatizo, ila haya ya huyu ndugu hayana uhalisia. Kwanza hii inayoitwa Academic block pale Udsm sijui ni ipi? Lakini sijui ni wapi alikokutana na hawa waliompa haya aliyoandika hapa. Ni either hakwenda Udsm ama waliompa taarifa hawakuwa wanaudsm. Mzee amepiga master miaka ya 1990 tena nje ila hawezi kujua namna bora ya kumsaidia mtoto wake amalize shule kwa utaratibu sahihi.
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
 
Kama ulitelekezwa na wazazi wako kaa kimya, Kama unadhani siku hizi masters wanasoma wazeee nyambafu yako

Na kama unadhani yupo mzazi analipa milioni nane Hadi ishirini gharama za masterz na mtoto wake akwamishwe na kiumbe mmoja mbinafsi shenzi type.

Tumieni common sense,
Thumbs up lady!!! Wanafikiria mapesa tunayotoa kusomesha wanafunzi yameokotwa. Wengi wetu huwa tunajibana sana ili tuweze angalau kuwakomboa watoto wetu kielimu. Leo mlecturer mmoja huko alete ushuzi kwa kweli inakera sana.
 
Mkuu unam dhalilisha mwanao,Level Ya Masters hawez tatua matatzo yake ya academic, had wee uingilie sa atakua lin??
Mimi naona yupo sahihi, pengine ameingilia baada ya Mwanafunzi kufanya jitihada za kuyatatua na wakamkwamisha. Na siyo dhambi mzazi kwenda kuhoji kuhusu mwanae kukwamishwa na MaDr uchwara wa hapo UDSM
 
Mwanao ana raha sana, mpaka master bado unamfuatilia mambo yake,me mwisho kufuatiliwa na mzazi ni class 5.

Hoja yako ina mashiko. Asipokuwa makini mwanao ataliwa kisamvu
Kama wazazi wenu walikuwa hawawezi kuwatetea mkaonewa poleni. Si hivyo kwa kila mtu.
 
Vyuo vyote hivi vilivyojaa hapa Tanzania ama Duniani mtu ukapoteze muda wako UD kwa waalimu limbukeni na washamba?

Mimi ni vile tu sikua na uwezo, hata undergraduate nisingesoma Tanzania. Waalimu wengi wa vyuo Tanzania ni washamba, limbukeni, roho mbaya, mawazo mgando, fikra za kijinga na kizamani sana.

Wengi wamesoma master degree ulaya miezi 12 lakini wakija bongo wanakulazimisha usome miezi 18 na hiyo 18 utapata shida sio kidogo, mara nyingi ni zaidi ya miezi 24. Kuna mshikaji wangu alianza master degree hapo UD toka 2017 hajamaliza hadi leo, mara supervisor hayupo, mara miezi 3 hajajibu wala kusahihisha kazi ya mshikaji, mambo ya hovyo kabisa. Jamaa November hii anaenda kuanza master degree Nairobi upya.

Bora kusoma open university kuliko kua campus.

Vyuo vyetu bado vina waalimu wanaamini mitihani migumu ndio inakufanya uwe bora. Mwalimu anatangaza darasani eti mwaka huu nashika kadhaa, mwaka jana nilishika kadhaa, hao ni waalimu.

Mimi hakuna elimu nitasoma kwenye vyuo vya Tanzania tena hata kwa bunduki.
Nimesoma Open sijawahi kusumbuliwa nilikuwa natoka Mkoa. Namtumia kazi akitaka nije anapanga siku atayokuwepo ananielekeza narudi narekebisha Hadi siku natetea nikavuka. Alikuwa pia ananielekeza Hadi kwenye simu anakuponda kidogo lakini anakuelekeza hasa spidi anayoyoitaka yeye. Hakuna rushwa Ila ni lazima uwe mnyenyekevu maana ' Mtaka cha uvunguni'. Walimu wote wanatabia moja ukijifanya unajua ndio mwisho wako.
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa wa maana sana.
Nimependa ulivyomjibu. Huyo mtoto wake na mzazi mwenyewe hakuna kitu.
 
Mtoto want amesoma masters mwaka Sasa hata proposal ya masters haijavuka kwa supervisor, kila akimcheki supervisor hakuna email reply Wala wala apokei simu.

Nikafunga safari kwenda naye chuo kuuliza tatizo ni nini? Watu tuliowakuta academic block walichosema unajua Hawa ma senior lecture na hata wengine hawa mnatakiwa mwende nao Polepole la sivyo mkiwashtaki kwa DVC academy akasikia mtoto wako atafudisco maana wanawasiliana.

Tuvumiliane tu tutamjulisha wenyewe supervisor wake. Kwa kuwa nilikuwa na jazba na Kuna wanafunzi walikuwa wanasikia majibizano Yale na baada ya kutoka nje ndipo nikapata ushuhuda wa Nini kinaendelea chuoni.

Kwanza, hakuna mtu anayesimamia wasimamizi wa wanafunzi ambaye anajua kazi hii imekaa kwa supervisor muda gani.

Pili, madaktari wengi wa UDsM wanaamini wao ndio wenye final say na wanawatisha wanafunzi kuwadisco endapo wakionekana kupingana au kulazimisha wahudumiwe

Tatu, tofauti na urasimu wa supervisors urasimu mkubwa zaidi upo kwa external supervisors ambao wamejiwekea muda wa miezi mitatu au sita kufanyia kazi utafiti uliowasihwa kwao.

Nne, hakuna kitengo cha ICT cha kufanya haya mambo kilicho serious

Tano, hakuna mwanasiasa Wala mtoto ambaye mzazi wake ni mtumishi pale anayekwamishwa wala kuchukua muda kurekebishiwa kazi yake kwa sababu wazazi au wahusika hutumia madaraka na Pr zao kuhudumia

Sita, kazi za wanafunzi zinavyowekwa hakuna utaratibu mzuri. Mwanangu alipewa kazi yakupekua box lina mamia ya kazi za watu...no secrettt

Mimi nimesoma nje miaka ya 1990 hakukuwa na urasimu huu, nimeangalia vyuo vingi ikiwemo hata open utaratibu upo streight....nenda suaut na kwingine utaratibu upo wazi. Kwanini UDSM wapo nyuma hivi?

Hawa supervisor na Urasimu wao ndio wanaotegemea kuteuliwa kwenda kuongoza taasisi za umma? Nadhani kigezo Cha utendaji kazi kiwe msingi wa kupandishwa cheo siyo kazi binafsi za supervisor anajaza cv huku aliopaswa kuwahudumia akiwakwamisha kisa yupo busy na kazi zake binafsi. Haujaariwa chuoni kujiendeleza umeajiriwa kusaidia watu.

Masters 4yrs ,Phd 8 yrs unatafiti Nini? Na kibaya zaidi research paper zao hazina hata ubora wa uandishi kama za vyuo vingine useme wana ubora. Kawaida kabisa.

Mzee Rutinwa simamia watu wako wapitishe kazi za wanafunzi waache uungu mtu
Nilijaribu kusoma post graduate program nikashindwa kabla ya kuanza. pale wamejaa watu wengi ambao hawana haraka kabisa na kazi wala mambo ya maisha.
Ukiangalia sana, tabia ile ya U mungu mtu iliyojengeka kwa muda mrefu sana sasa, ndio inasababisha udumavu wa wasomi maana wanakwenda kusoma madesa, halafu waende taratibu na walimu wao, ili wafanikiwe kumaliza masoma. Kuna yanayoendelea pale mpaka aibu.
 
Mwanao anafanya Masters.

Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ?

Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.

Anyway, mzazi ni mateka wa Mbowe aliyepata zero Ihungo kwahiyo hakuna matarajio ya mtoto kuwa na akili ya maana sana.
aisee we dada sidhani Kama una akili timamu, halafu wewe ni mtu mwenye chuki inaonyesha
 
Udsm kama hujasoma undergraduate pale,ukaenda for postgraduate ukiwa huzijui system zao,utapachukia.ila kwa sie tuliosoma undergraduate pale huwa tunapeta tu.
 
Mkuu unam dhalilisha mwanao,Level Ya Masters hawez tatua matatzo yake ya academic, had wee uingilie sa atakua lin??
Ili ni tatizo kubwa sana kwa wazazi na watoto wa sasa. Tunalea watoto ambao hata kujitegemea hawawezi. Ulaya wanalea watoto wanajifunza kujitegemea mapema sana. Ndio maana hata wajukuu wa malkia Elizabeth wote wamepita jeshini ili kuwa ngangari. Ukute huyo dent wa masters anafuliwa boxer na house girl. Mie mwanangu alijiunga form five hapo Bagamoyo tu, siku shule inafungwa ananiambia nimfuate nikamwambia kwani huko hamna daladala? Mpk leo wala hajawahi kurudia

Nikulipie ada, nikununulie vitabu, nguo na kukulea halafu nikufuate na shule so hapa duniani mie nimekuwa dereva wako
 
FB_IMG_1631965297329.jpg
 
Vyuo vyote hivi vilivyojaa hapa Tanzania ama Duniani mtu ukapoteze muda wako UD kwa waalimu limbukeni na washamba?

Mimi ni vile tu sikua na uwezo, hata undergraduate nisingesoma Tanzania. Waalimu wengi wa vyuo Tanzania ni washamba, limbukeni, roho mbaya, mawazo mgando, fikra za kijinga na kizamani sana.

Wengi wamesoma master degree ulaya miezi 12 lakini wakija bongo wanakulazimisha usome miezi 18 na hiyo 18 utapata shida sio kidogo, mara nyingi ni zaidi ya miezi 24. Kuna mshikaji wangu alianza master degree hapo UD toka 2017 hajamaliza hadi leo, mara supervisor hayupo, mara miezi 3 hajajibu wala kusahihisha kazi ya mshikaji, mambo ya hovyo kabisa. Jamaa November hii anaenda kuanza master degree Nairobi upya.

Bora kusoma open university kuliko kua campus.

Vyuo vyetu bado vina waalimu wanaamini mitihani migumu ndio inakufanya uwe bora. Mwalimu anatangaza darasani eti mwaka huu nashika kadhaa, mwaka jana nilishika kadhaa, hao ni waalimu.

Mimi hakuna elimu nitasoma kwenye vyuo vya Tanzania tena hata kwa bunduki.
Yaani elimu ya Tanzania kwakweli ni ujinga mtupu najuta kabisa yaani kosa walilofanya wazazi wangu sitafanya kwa wanangu
 
Back
Top Bottom