Massanda OMtima Massanda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 1,056
- 562
Kama wanasheria wa serikali wanapitia kwenye chuo hiki ama wafutiwe shahada zao au shahada hizo ziondolewe kwenye programu za chuo au wakufunzi wa shahada hizo waondolewe. Haiwezekani (kama watakuwa wamehitimu shahada zao hapo) wakawa wanashindwa kesi kila siku mahakamani na akina Tundu Lissu!