Cheti cha f4 mpaka baada ya mwaka unakilipia laki moja, alichokuwa anafatilia ni barua ya uthibitisho na ubaya zaidi hawakupi mkononi wanaituma direct chuoni hapo ndo kunakipigwa tarehe hadi utakata tamaa ,ila ukiwahi mapema watakurekebishia fasta labda mwaka jana kulikuwa na mamia ya wafanyakazi waliokuwa wanashughulikia vyeti vyao ili wasitumbuliwe maana walijaa hapo necta sio mchezoAlichukua mda gani hadi kukipata cheti cha form four necta ?
Ok. Kwahiyo necta wakituma barua ya uthibitisho chuoni ntaweza kusajiliwa bila shida. Ofisi zao ziko wp?Cheti cha f4 mpaka baada ya mwaka unakilipia laki moja, alichokuwa anafatilia ni barua ya uthibitisho na ubaya zaidi hawakupi mkononi wanaituma direct chuoni hapo ndo kunakipigwa tarehe hadi utakata tamaa ,ila ukiwahi mapema watakurekebishia fasta labda mwaka jana kulikuwa na mamia ya wafanyakazi waliokuwa wanashughulikia vyeti vyao ili wasitumbuliwe maana walijaa hapo necta sio mchezo
Kama unatokea mwenge kabla hujafika stand ya makubusho mkono wa kushoto ukiulizia hata konda atakuonyesha jengo, barua ikishafika chuoni unasajiliwa kama kawaida, pia kuhusu bba na bcom naona bora bcom tena ukispecialize kwenye accountancy japo kidogo mimi sio mtaalam sana wa hizo mamboOk. Kwahiyo necta wakituma barua ya uthibitisho chuoni ntaweza kusajiliwa bila shida. Ofisi zao ziko wp?
Samahani, upo bussines? Au unafahamu kati ya biznes na bcom ipi bora?
Poa poa, shukraniKama unatokea mwenge kabla hujafika stand ya makubusho mkono wa kushoto ukiulizia hata konda atakuonyesha jengo, barua ikishafika chuoni unasajiliwa kama kawaida, pia kuhusu bba na bcom naona bora bcom tena ukispecialize kwenye accountancy japo kidogo mimi sio mtaalam sana wa hizo mambo
Mkuu vipii hauna marafiki wa kupanga nao hadi utake kupanga dogo. Unawezaje kuishii na mtu ambae haumjui tabiaa.Lazma uwe nacho og lasivyo admission letter haupati msela wangu alkua hana cha four hakupata admission adi karbia na mwisho wa semester one ndo akapata cheti chake akaenda fata admission yake then akajisajili vizuri tu... Af kuusu hostel mi nmekaa hall 5 ***** pale jau maji adi uchote chini af omba usiwe na rum uko juu kabisa utapanda ngazi na ndoo zako adi usome nmbr ila mi nlizoea.. ila semista ya pili nilienda kupanga but changamoto za kupanga ni gharama za vitu tu ila ka mko wawili haina noma life linakua poa mambo ya kupigana exile ni nyie wawili mkubaliane maana kodi mmelipa wote.. af hostel za magu hauwezi kaa semista ya kwanza cause kuna waliolipia semista iliyopita ila hostel hazikufunguliwa so i think semester hii watafidiwa nyie wapya mtakaa mabibo na hostel za chuo ,,hostel za campus adi udbs sio mbali kutembea daika kumi tu.. ka unatokea mabibo unaambia daladala ikushushe utawala then daika mbili adi udbs ila kijana ukifika chuo fanya mchakato uhame iyo bba uingie bcom itayokufaa... Ka ukitaka kupanga nichek mwnyw natafuta mtu wa kupanga nae me niko second year... Natumain yote ushajibiwa
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hamna bnh dah tena unaeza kuta uyo first year mkubwa kuliko mm,, nna masela nliosoma nao toka seco ila bnh mambo ya exile, kufosishana ratiba c unajua mob psychology.. twende huku na we unaenda(usiseme will power sina) wale ni watu close mwisho wataanza sema unajitenga etc.. af saivi second yr nahitaji focus cause frst yr wengine hatukua serious tulikua na moto wa kufurahia ud[emoji23],, anyways kwani wanaopangwa hostel wanakua wanajuana? Hizo tabia hapana mkuu chuo mademu bwerereeee[emoji51]Mkuu vipii hauna marafiki wa kupanga nao hadi utake kupanga dogo. Unawezaje kuishii na mtu ambae haumjui tabiaa.
Dogo wa first year angalia usije ukatatuliwa marinda 😀 😀 ohoo
😀 😀 😀 😀 sawa Mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hamna bnh dah tena unaeza kuta uyo first year mkubwa kuliko mm,, nna masela nliosoma nao toka seco ila bnh mambo ya exile, kufosishana ratiba c unajua mob psychology.. twende huku na we unaenda(usiseme will power sina) wale ni watu close mwisho wataanza sema unajitenga etc.. af saivi second yr nahitaji focus cause frst yr wengine hatukua serious tulikua na moto wa kufurahia ud[emoji23],, anyways kwani wanaopangwa hostel wanakua wanajuana? Hizo tabia hapana mkuu chuo mademu bwerereeee[emoji51]
Survey vyumba self ni kwanzia laki kwa mwezi,,mwenge pia bei hizo hizo (self) but ambazo za kushea vyoo ni kwanzia efsabini monthly maeneo ayo.. ukienda ubungo msewe au changanyiken kule rooms za kawaida ata elfamsini,,sinza pia bei ni hizo hizo za laki ndo chumba quality but ukitaka urahisi basi usilalmikie ubaya wa chumba😀 😀 😀 😀 sawa Mkuu.
Ghetto ulipata wapi na bei ilikuwaje
Poa me natafuta mawasiliano budget yangu 60k.Survey vyumba self ni kwanzia laki kwa mwezi,,mwenge pia bei hizo hizo (self) but ambazo za kushea vyoo ni kwanzia efsabini monthly maeneo ayo.. ukienda ubungo msewe au changanyiken kule rooms za kawaida ata elfamsini,,sinza pia bei ni hizo hizo za laki ndo chumba quality but ukitaka urahisi basi usilalmikie ubaya wa chumba
Majibu mwisho wa siku huwa si chanya.Week mbili za mwanzo ukiripot chuo andika barua kuna utaratibu wao ndo watakufikiria kama kutakua na nafasi
Kwa bei hiyo vyumba utafute msewe babaPoa me natafuta mawasiliano budget yangu 60k.
Ila habari za kushare naona sio bora nikomae mwenywe
Haina athari yoyote dogo acha kupanicNaomɓa kuuliza kwa wale wazoefu wa udsm .. HIVI KUWAHI AU KUCHELEWA KUCHUƘUA ADMISSION LETTER INA ATHARI GANI ??? HASAHASA KWENYE MAMƁO ƳA HOSTEL
Mkuu basi tuwasiliane Unisaidie room maeneo ya changanyikeniSurvey vyumba self ni kwanzia laki kwa mwezi,,mwenge pia bei hizo hizo (self) but ambazo za kushea vyoo ni kwanzia efsabini monthly maeneo ayo.. ukienda ubungo msewe au changanyiken kule rooms za kawaida ata elfamsini,,sinza pia bei ni hizo hizo za laki ndo chumba quality but ukitaka urahisi basi usilalmikie ubaya wa chumba
Hahah main factor ya colabo kijana ni kubana matumizi,, af ka upo business yan kupata loan ni bahati nasibu yan mana mwnyw nlikosa na division one zangu labda uwe orphan au ulpiga gvmnt,, ukikosa loan baba mbna utatafuta ustaarabu wa kubebana tuPoa me natafuta mawasiliano budget yangu 60k.
Ila habari za kushare naona sio bora nikomae mwenywe
Mwasiliano siweziii pata sio..Kwa bei hiyo vyumba utafute msewe baba
Hapana nina rafiki zangu tulipangwa wote udbs ila wakahamia coss(course za uchumi) watazungusha tu ili wasiattract watu zaidi wahame, but huwa wanakubali zikipita two weeks ndo sio rahisi ukubaliweMajibu mwisho wa siku huwa si chanya.
Me niko Coet afu Continous ..Hahah main factor ya colabo kijana ni kubana matumizi,, af ka upo business yan kupata loan ni bahati nasibu yan mana mwnyw nlikosa na division one zangu labda uwe orphan au ulpiga gvmnt,, ukikosa loan baba mbna utatafuta ustaarabu wa kubebana tu
Mawasiliano amna seem zipo nyuma ya mawasiliano(sinza) ambapo apo labda uongeze ifike ata 80 mana rum tuliokaa na wasela ilkua 170k kwa mwezi af usually kodi unatoa kwa miez sita plus ya dalali mwezi mmoja so ni kama kodi ya miez saba apoMwasiliano siweziii pata sio..
Hahah kumbe we mkongwe kabisa,,basi kumbe pesa za heslb unatumbua wacha ubaili kidogo panga ata rum ya 80Me niko Coet afu Continous ..
So I know game inaendaje. habari za kupigana exile ndo sizitaki tena
Niliomba sana nihamie Law toka baed lakini mwisho wa siku niliambulia manyoya.Hapana nina rafiki zangu tulipangwa wote udbs ila wakahamia coss(course za uchumi) watazungusha tu ili wasiattract watu zaidi wahame, but huwa wanakubali zikipita two weeks ndo sio rahisi ukubaliwe