[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu hamna bnh dah tena unaeza kuta uyo first year mkubwa kuliko mm,, nna masela nliosoma nao toka seco ila bnh mambo ya exile, kufosishana ratiba c unajua mob psychology.. twende huku na we unaenda(usiseme will power sina) wale ni watu close mwisho wataanza sema unajitenga etc.. af saivi second yr nahitaji focus cause frst yr wengine hatukua serious tulikua na moto wa kufurahia ud[emoji23],, anyways kwani wanaopangwa hostel wanakua wanajuana? Hizo tabia hapana mkuu chuo mademu bwerereeee[emoji51]