University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

Habarini ndugu!
Mimi ni mkaazi wa Dar.
Natarajia Binti yangu atapata nafasi ya Kusoma bachelor hapo mlimani , je lipi chaguo Bora kati ya awe anatokea nyumbani kwenda chuo na kurudi , au abakie kwenye hostel za chuo? Nini faida au hatari/Hasana ya mojawapo ya maeneo hayo? Tafadhali mwenye uelewa anijulishe, naomba lugha iwe ya staha kwa kuzingatia kua Mimi ni Baba hivyo nastahili heshima Tafadhali sana!
sasa baba si kwa mwanao.au kisa unaona una mtoto basi ni baba wa dunia nzima?
 
Nakushauri akae hostel kwa faida kadhaa;
1.Akikaa hostel atawahi vipindi vya asubuhi kwa wakati.
2 . Akikaa hostel atapata nafasi ya kufanya majadiliano na wenzake wakati wowote kumbuka majadiliano mengi huwa jioni.
3. Usalama pia wa binti yako maana kuna siku atakua anamaliza vipindi usiku je atafika nyumbani saa ngapi....
vzr atakuwa pia anapata nafac za kwenda out kuliko kukaa hom!
 
Dogo langu katupwa Duce wakuu mwenye uelewa au alie pale maelezo kdg tafadhal
 
Waliopo mlimani jamani.
Kuna uwezekano wa kubadilisha course? Kutoka bba kwenda llb?
 
Inawezekana kiongozi ila inategemea na sifa zako, mfano labda hujakidhi kigezo vya kuhamia LLB kutoka BBA. Pia kuna uwezekano mdogo wa kutoka BBA kwenda LLB, ila ni rahisi kutoka LLB kwenda BBA...
NB: nimejibu kulingana na changamoto niliyopata kipindi nahama kozi enzi hizo.
 
Najivunia niligraduate hapo.Walimu wapo vizuri sana.Japo wanabana sana ila ukitoka umeiva.Ujuzi na maarifa sahili.Sikujuta kua hapo.Viva Udsm.Najipanga kurudi Masters 2019 nikipata ruhusa kazini
 
Najivunia niligraduate hapo.Walimu wapo vizuri sana.Japo wanabana sana ila ukitoka umeiva.Ujuzi na maarifa sahili.Sikujuta kua hapo.Viva Udsm.Najipanga kurudi Masters 2019 nikipata ruhusa kazini
Avatar n ww?
 
Hodi udsm.
Bwana apewe sifa,
Tumsifu Yesu Kristo,
Asalam aleikum.
Namshukuru Mungu nimechaguliwa udsm, nimetokea diploma ya sheria, ila nimepangiwa busines administration. Je naweza nikaruhusiwa kuchange course nitoke bba niende llb? Natanguliza shukrani zangu zote.
Itategemea na pasmark mkuu ila bora uhame chuo kuliko kusoma bba hiyo co professional kama ilivyo sheria ama education
 
msaada wa mawazo: Nimechaguliwa Mechanical Engineering-UDSM na Telecommunication Engineering-UDOM
Nichukue ipi kati ya hizo kwa kuangalia soko la kiajiriwa na kujiajiri pia?
 
Udsm wanaosoma bba evening wanapewa mkopo?
 
Inawezekana kiongozi ila inategemea na sifa zako, mfano labda hujakidhi kigezo vya kuhamia LLB kutoka BBA. Pia kuna uwezekano mdogo wa kutoka BBA kwenda LLB, ila ni rahisi kutoka LLB kwenda BBA...
NB: nimejibu kulingana na changamoto niliyopata kipindi nahama kozi enzi hizo.
Wewe ulitoka llb kwenda bba?
 
Waliopo mlimani jamani.
Kuna uwezekano wa kubadilisha course? Kutoka bba kwenda llb?
Week mbili za mwanzo ukiripot chuo andika barua kuna utaratibu wao ndo watakufikiria kama kutakua na nafasi
 
Week mbili za mwanzo ukiripot chuo andika barua kuna utaratibu wao ndo watakufikiria kama kutakua na nafasi
Nashukuru sana.
Naomba unipe mwanga kuhusu hii bba kama unaifahamu. Au kama kuna mtu unamfahamu anaechukua bba ambae utaweza kuniunganisha naye.
 
Nashukuru sana.
Naomba unipe mwanga kuhusu hii bba kama unaifahamu. Au kama kuna mtu unamfahamu anaechukua bba ambae utaweza kuniunganisha naye.
Bba kama umetoka formsix yan ndo unaisomea iyo apo navoskiaga sio poa kbsa cause iyo wanasomaga watu most labda wanahitajika kuwa na hiyo degree so wanasomeshwa na ofisi most ndomana unaona ipo jioni... We ukienda ka una vigezo vinavohitajika hamia tu course za business pale udbs... Maana kutoka business adi law mtihani pia..LLB kuna dem aliaply mwaka jana ile but hakupata ingawa alkua na 1.5
 
Bba kama umetoka formsix yan ndo unaisomea iyo apo navoskiaga sio poa kbsa cause iyo wanasomaga watu most labda wanahitajika kuwa na hiyo degree so wanasomeshwa na ofisi most ndomana unaona ipo jioni... We ukienda ka una vigezo vinavohitajika hamia tu course za business pale udbs... Maana kutoka business adi law mtihani pia..LLB kuna dem aliaply mwaka jana ile but hakupata ingawa alkua na 1.5
Duh... Hatari, nashukuru. Ngoja kwanza Kichwa ipoe.
 
Back
Top Bottom