"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

Dini zote ni hadithi tuu , amini au usiamini haijalishi, ukiangalia deep ni power and control wanatafuta, ila ni kweli dini zote zina mambo mazuri pia kama kuwatishia ukifanya uzinzi au wizi utachomwa moto
 
Ukizaliwa muislam sio tatizo lako........tatizo ni kufa ukiwa bado muislam............mpokee YESU wewe huangaze maisha yako..........KRISTOOO...............................
Tatizo huyo yesu huko kwao kwenyewe alikozaliwa hawamtaki wanamuona ka muhuni tu alieasi na kuanzisha dini yake itakuwa mie Nyonzo bin mvule wa huku banda kwa dihenga
 
SASA WAENDE HAO NON MUSLIM WAKA PRAY NCHI YA KIISLAMU..... WAONE WATAKACHOFANYWA.
Nina jamaa yangu alihamishiwa Saudia na kampuni anayofanyia kazi. Alidai kuwa kutwa na bible ni kosa la kumpeleka mtu jela.
 
Tatizo huyo yesu huko kwao kwenyewe alikozaliwa hawamtaki wanamuona ka muhuni tu alieasi na kuanzisha dini yake itakuwa mie Nyonzo bin mvule wa huku banda kwa dihenga
Kwani hata huyo mudi huko alikotokea unadhania wanamuonaje?? Sisi ninyi tu na shobo zenu wenyewe wanamchukulia poa sana hata hawastuki..........kuna mtu anakaa mecca au huko madina na pale kaburini hajawahi kwenda sembuse wewe unatoka kilometres za kutosha kisa uonekane unaujua sana uislam halooo pole yako
 
Kwani hata huyo mudi huko alikotokea unadhania wanamuonaje?? Sisi ninyi tu na shobo zenu wenyewe wanamchukulia poa sana hata hawastuki..........kuna mtu anakaa mecca au huko madina na pale kaburini hajawahi kwenda sembuse wewe unatoka kilometres za kutosha kisa uonekane unaujua sana uislam halooo pole yako
Kamsome tena vizuri mtume mohammad, Acha mihemko, nani kakuambia mtume akubaliki kwao Saudia,, isipokuwa nenda Israel katangaze injili ya yesu kama hujaswekwa ndani
 
Je, inaweza kutokea hivyo pale Iran
 
Mmh!
 

Attachments

  • Screenshot_20240506-191206.png
    Screenshot_20240506-191206.png
    416.2 KB · Views: 1
Kamsome tena vizuri mtume mohammad, Acha mihemko, nani kakuambia mtume akubaliki kwao Saudia,, isipokuwa nenda Israel katangaze injili ya yesu kama hujaswekwa ndani
Hata baba na mama yake mzazi hawakukubali mafundisho yake, au hujui hilo
 
Hata baba na mama yake mzazi hawakukubali mafundisho yake, au hujui hilo
Una ushahidi na unayoropoka?
Maana mtume kazaliwa hakuwaona baba na mama yake wote walifariki akiwa mdogo sana.
Alianza baba alifariki mtume akiwa hajazaliwa kesha akafariki mamaake mtume akiwa bado mchanga.
Shida yenu mnakaririshwa uongo wa kumchafua mtume Muhammad halafu hauna ushahidi wowote.
 
Ask yourself! Muslim they can do that? Forget about that
Yes they can do that.
Hivi unajua kama alipouliwa Sheriin Abu Akleh mpalestina muanglikana na IDF hadi waislamu walibeba jeneza lake na kumzika kwa heshima!?
 
Unaweza ukaleta ushahidi wa unayoyazungumza?
Maana Qur'an imepinga utumwa,ubakaji,mauaji,utesaji wanyama na kila aina ya uovu uliotaja hapo.
Mbaya zaidi Qur'an aliipokea mtume unayemtangaza vibaya hapo.
Endelea kulishwa uongo kuhusu Muhammad halafu uone kama mtafanikiwa kumchafua.
 
Back
Top Bottom