"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

Hujui kwamba muislamu kuua asiye muislamu ni Sunna au unajitoa ufahamu?
Lete ushahidi.
Maana ndio kwanza nakusikia wewe.
Ingelikua hivyo Qatar,Dubai na Saudi arabia kuna wakristu na wapagani na makanisa yapo ila hawauliwi hao wasiokua waislam.
Iran kuna mpaka masinagogi ya wayahudi ila hawauliwi.
Kuna muda unatakiwa utafakari ili uongee usiropoke.
 
Ukizaliwa muislam sio tatizo lako........tatizo ni kufa ukiwa bado muislam............mpokee YESU wewe huangaze maisha yako..........KRISTOOO...............................
Pambana na mzee wa upako kwanza
 

Attachments

  • Screenshot_20240506-183936_Instagram.jpg
    Screenshot_20240506-183936_Instagram.jpg
    399.1 KB · Views: 1
Una ushahidi na unayoropoka?
Maana mtume kazaliwa hakuwaona baba na mama yake wote walifariki akiwa mdogo sana.
Alianza baba alifariki mtume akiwa hajazaliwa kesha akafariki mamaake mtume akiwa bado mchanga.
Shida yenu mnakaririshwa uongo wa kumchafua mtume Muhammad halafu hauna ushahidi wowote.
Wamekufa wakiwa sio waislam
 
Aweke kwani kuna nchi ya Kiislamu inawauwa wakiristo, Wayahudi ama Wapagani kama anavyofanya Israel kuuwa waislamu?
Kwa hiyo Israel Wakristo wanaua Waislamu?
Tuwekee basi kule Syria IS wakiwa wanawalinda Wakristo.
 
Lete ushahidi.
Maana ndio kwanza nakusikia wewe.
Ingelikua hivyo Qatar,Dubai na Saudi arabia kuna wakristu na wapagani na makanisa yapo ila hawauliwi hao wasiokua waislam.
Iran kuna mpaka masinagogi ya wayahudi ila hawauliwi.
Kuna muda unatakiwa utafakari ili uongee usiropoke.
Ww bila shaka utakuwa hujaiva kwenye uislamu jitahidi uwe unasoma Kuruani uwe kama wenzako
 
Kama kawaida, Lawama zote kwa John.
Lawama ama mnakimbia uhalisia!?
Basi tusizungumzie middle east,
-Ukraine nani aliiingiza Ukraien mkenge mpaka sasa inapigana na Russia!?
-Nani aliiingiza Georgia mkenga mpaka ikapigana na Russia!?
-Nani aliiingiza Yugoslavia mkenge!?
-Nani ameteteresha amani na ustawi wa Haiti!?
-Nani kaharibu Bikini islands/Marshall islands!?
👆👆👆Naomba unijibu hayo maswali!
Maana huko kote kuna wakristu wenzenu hakuna waislam na wanauana wenyewe kwa wenyewe hao wakristu wenzenu.
 
Ww bila shaka utakuwa hujaiva kwenye uislamu jitahidi uwe unasoma Kuruani uwe kama wenzako
Huu ndio ushahidi unaoleta!?
Basi kama mimi sijaiva katika uislam basi hata Saudi Arabia hawajaiva katika uislam ndio maana kuna makanisa na wakristu wanasali huko arabuni.
 
Kwa hiyo Israel Wakristo wanaua Waislamu?
Tuwekee basi kule Syria IS wakiwa wanawalinda Wakristo.
Israel wenyewe hawaupendi ukristu.
Sema mayahudi yanaua waislam na wakristu kwa pamoja.
Usije ukasahau Sheriin Abu Akleh alikua MPalestina mkristu alieuawa na IDF kwa makusudi na akazikwa na waislam kwa wakristu wa KiPalestina.
Usisahau wayahudi walivamia kanisa Jerusalem na kulitemea mate.
Pia usisahau Gaza kuna makanisa mawili tena moja la kihistoria lina zaidi miaka 500 limelipuliwa na IDF DELIBERATLY YANI KIMAKUSUDI KWA KUKUSUDIA.
Aya wayahudi hao ni waislam!?
Muwe mnafuatilia mambo aisee sio kukaririshwa stori za alfulela hulela kwa vijiwe vya gahwa.
 
DOGO UNATOKWA POVU SEHEMU ZAKO ZOTE ZA WAZI. ZOOOOOTE.
Umeelezwa ukweli.
Na kweli wewe popoma,tukana utakavyo sema hata natokwa kamasi sehemu zote ila huo ndio ukweli.
Arabuni kuna makanisa na wakristu wanaabudu vizuri tu.
Mathalan wafanyakazi wa Aljazeera English ni wakristu na wanavaa mavazi wanayotaka na wanaenda kanisani hapo hapo Doha kila jumamosi na jumapili mathalan;
-Alessandro Rampietti.
-Kimberly Halkett.
-Teresa Bo.
n.k n.k hawa wote wanaishi Doha Qatar wanavaa watakavyo na wanakula watakavyo ila kiheshima na wanaabudu vizuri tu ukristu wao.
We tukana mie nitakupa fact ili UPOPOMA ukuondoke.
 
Umeelezwa ukweli.
Na kweli wewe popoma,tukana utakavyo sema hata natokwa kamasi sehemu zote ila huo ndio ukweli.
Arabuni kuna makanisa na wakristu wanaabudu vizuri tu.
Mathalan wafanyakazi wa Aljazeera English ni wakristu na wanavaa mavazi wanayotaka na wanaenda kanisani hapo hapo Doha kila jumamosi na jumapili mathalan;
-Alessandro Rampietti.
-Kimberly Halkett.
-Teresa Bo.
n.k n.k hawa wote wanaishi Doha Qatar wanavaa watakavyo na wanakula watakavyo ila kiheshima na wanaabudu vizuri tu ukristu wao.
We tukana mie nitakupa fact ili UPOPOMA ukuondoke.


Sijui kama lugha hii inapanda kwako



 
Sijui kama lugha hii inapanda kwako



Nadhani wewe ndio wale wanaookoteza makala pasi na kuzisoma.

-Tukianza na article ya kwanza inaelezea kuwa Saudi Arabia wewe mwarabu ukitaka kubadili dili utakumbana na ukinzani wa familia.
Bimaana ukitaka kutoka kwenye uislam kwenda kwenye dini zingine ikiwemo ukristu.
Ila wakristu ambao wamekuja hapo wala hawaguswi na hawasumbuliwi,usije ukasahau CHRISTIANO RONALDO yupo Saudi Arabia na ni mkristu,hata FIRMINHO pia.
Tatizo lipo kwa mtu anayetaka kubadili dini na atapata usumbufu wa familia sio Saudi Sultanate.
Inaonekana wewe lugha ndio inakuchanganya.

-Tukija ambapo bible is banned,NORTH KOREA NDIO IMEKATAZA KABISA UWEPO WA BIBLIA,yani usikutwe unasoma au unayo biblia hata kisirisiri.
Ila nchi za kiislam kama Saudi arabia unaruhusiwa kuwa na biblia ila usome ndani kivyako vyako usisome publicly.
Screenshot_2024-05-07-09-49-56-90_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-07-09-48-01-16_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Sijui kama lugha hii inapanda kwako



Soma na ujiumbue kutoka kwa article yako mwenyewe.
North korea wameipiga biblia marufuku kabisa,je North Korea waislam!?
Maldives nao vile vile,je nao waislam!?

Ila Saudi arabia wameruhusu kwa utaratibu.
Screenshot_2024-05-07-10-02-01-58_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-05-07-10-00-48-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Ila nchi za kiislam kama Saudi arabia unaruhusiwa kuwa na biblia ila usome ndani kivyako vyako usisome publicly.
View attachment 2983145
Unaruhusiwa kusoma kisirisiri lakini mkiingia nchi za wenzenu mnataka na kupiga adhana kabisa na mispika kuanzia saa kumi asubuhi, Kubishana na akili kama yako ni kupoteza muda tuu
 
Unaruhusiwa kusoma kisirisiri lakini mkiingia nchi za wenzenu mnataka na kupiga adhana kabisa na mispika kuanzia saa kumi asubuhi, Kubishana na akili kama yako ni kupoteza muda tuu
Unajua maana ya kisirisiri?
Tofautisha kisirisiri na kusoma sehemu maalum.
Unaruhusiwa kusoma ukiwa mwenyewe na sehemu maalum za kufanyia ibada yako ila sio hadharani katika mikusanyiko ya watu.
Una kichwa kigumu sana.
Pia nimeweka taarifa za Qatar kuwa na makanisa ambapo nako biblia isomwe majumbani na makanisani ila sio public areas.
North korea wameifunga biblia hairuhusiwi kabisa,je nao North Korea ni waislam??
Toka mwanzo nilishaona kichwani ni mweupe wewe.
 
Back
Top Bottom