"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them

Unajua maana ya kisirisiri?
Tofautisha kisirisiri na kusoma sehemu maalum.
Unaruhusiwa kusoma ukiwa mwenyewe na sehemu maalum za kufanyia ibada yako ila sio hadharani katika mikusanyiko ya watu.
Una kichwa kigumu sana.
Pia nimeweka taarifa za Qatar kuwa na makanisa ambapo nako biblia isomwe majumbani na makanisani ila sio public areas.
North korea wameifunga biblia hairuhusiwi kabisa,je nao North Korea ni waislam??
Toka mwanzo nilishaona kichwani ni mweupe wewe.
Vipi North Korea uislam unaruhusiwa 😁
 
Vipi North Korea uislam unaruhusiwa 😁
North Korea uislam unaruhusiwa ila bado kuna sheria nyingi katika kuabudu.
Yani uhuru wa kuabudu sio asilimia inayotakikanika.
Sio kama South Korea uislam umepewa uhuru 100% na idadi yake inatambulika.
Screenshot_2024-05-07-18-58-05-17_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-07-18-58-55-77_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Back
Top Bottom