Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Tatizo huyo yesu huko kwao kwenyewe alikozaliwa hawamtaki wanamuona ka muhuni tu alieasi na kuanzisha dini yake itakuwa mie Nyonzo bin mvule wa huku banda kwa dihengaUkizaliwa muislam sio tatizo lako........tatizo ni kufa ukiwa bado muislam............mpokee YESU wewe huangaze maisha yako..........KRISTOOO...............................
Kuwaga nyuma kivipi na wewe umewajuaje hao waliopo nyuma na hiyo infinix yako?Islamphobia inakusumbua.! Tafuta Nani anakuwaga nyuma ya hizo vita alafu uje ufute huu upuuzi wako..🥴😤
Mkewangu umeamkaje?Tatizo huyo yesu huko kwao kwenyewe alikozaliwa hawamtaki wanamuona ka muhuni tu alieasi na kuanzisha dini yake itakuwa mie Nyonzo bin mvule wa huku banda kwa dihenga
Aweke kwani kuna nchi ya Kiislamu inawauwa wakiristo, Wayahudi ama Wapagani kama anavyofanya Israel kuuwa waislamu?Nipigwe ban akiweka.
Ask yourself! Muslim they can do that? Forget about that
Nina jamaa yangu alihamishiwa Saudia na kampuni anayofanyia kazi. Alidai kuwa kutwa na bible ni kosa la kumpeleka mtu jela.SASA WAENDE HAO NON MUSLIM WAKA PRAY NCHI YA KIISLAMU..... WAONE WATAKACHOFANYWA.
Kwani hata huyo mudi huko alikotokea unadhania wanamuonaje?? Sisi ninyi tu na shobo zenu wenyewe wanamchukulia poa sana hata hawastuki..........kuna mtu anakaa mecca au huko madina na pale kaburini hajawahi kwenda sembuse wewe unatoka kilometres za kutosha kisa uonekane unaujua sana uislam halooo pole yakoTatizo huyo yesu huko kwao kwenyewe alikozaliwa hawamtaki wanamuona ka muhuni tu alieasi na kuanzisha dini yake itakuwa mie Nyonzo bin mvule wa huku banda kwa dihenga
Kamsome tena vizuri mtume mohammad, Acha mihemko, nani kakuambia mtume akubaliki kwao Saudia,, isipokuwa nenda Israel katangaze injili ya yesu kama hujaswekwa ndaniKwani hata huyo mudi huko alikotokea unadhania wanamuonaje?? Sisi ninyi tu na shobo zenu wenyewe wanamchukulia poa sana hata hawastuki..........kuna mtu anakaa mecca au huko madina na pale kaburini hajawahi kwenda sembuse wewe unatoka kilometres za kutosha kisa uonekane unaujua sana uislam halooo pole yako
Ni kweli ila sio wakristo wa Tanzania, wenye chuki bila sababu.Wow this made my day, what a heart warming situation...
Ndo mjue sisi wa kristo tunapenda watu wote...
Hata baba na mama yake mzazi hawakukubali mafundisho yake, au hujui hiloKamsome tena vizuri mtume mohammad, Acha mihemko, nani kakuambia mtume akubaliki kwao Saudia,, isipokuwa nenda Israel katangaze injili ya yesu kama hujaswekwa ndani
QATAR,KUWAIT,BAHRAIN,SAUDI ARABIA KUNA MAKANISA NA WAKRISTO WAPO.SASA WAENDE HAO NON MUSLIM WAKA PRAY NCHI YA KIISLAMU..... WAONE WATAKACHOFANYWA.
Kwani Pemba hakuna makanisa!?Duh..
Wewe dogo unatisha, ukiwa mkubwa kama usipojifunga mabomu kama wenzio, basi utakuwa mchawi konki.
Halafu wewe na wenzio ndiyo wenye chuki kali sana, uthibitisho huu hapa..
View: https://youtube.com/shorts/Gh34U30vi5Q?si=B0qxIInI7ish1iBK
Una ushahidi na unayoropoka?Hata baba na mama yake mzazi hawakukubali mafundisho yake, au hujui hilo
Yes they can do that.Ask yourself! Muslim they can do that? Forget about that
Alafu baadae mnawalipua na kuwauwa mkidai ni makafiri.
Unaweza ukaleta ushahidi wa unayoyazungumza?Mmh!
Nani anawalipua?Alafu baadae mnawalipua na kuwauwa mkidai ni makafiri.