Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Ila kuna watu mnajua utabiri wa kuwaombea wenzenu mabaya tu, ila utabiri wa kusema kama mvua zitanyesha wakulima walime wavune tupate chakula hamuujui..
Alafu Meteorologist wafanye kazi gani?
 
Tuliwaonya lkn hamkusikia.
 
Uzi wangu bora wa michezo kwa mwaka 2023
 
Vipi msimu huu?
 
The story continues…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…