Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na atakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Hawakuamini sasa wameelewa.
FT Arsenal 0-3 Brighton
 
Kombe pekee
532C1073-D215-429A-A302-13F9BFF38C68.jpeg
 
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na atakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Kwa City, westham, Liverpool na Brighton... Arsenal ndipo alipopoteana kama ulivotabiri aisee upewe msitu kabisa sio Maua...
Lakini ingekua dhambi Jesus abebe ndoo Haaland anaangalia tu...
 
Eti naamini atadondokea pua. Yaani mpira inafanya analysis kwa kuamini? Endelea kuamini wenzio haoambao hawajacheza na arsenal hii walishaachana na imani, isipokuwa kila waliiangalia Arsenal ilivyo composed wanaishia kukubali huu ni mwaka wao na hakuna miujiza
Bado una neno juu ya mleta mada? Mpe maua yake.
 
Kwa hiyo wakati Arsenal anadondosha alama kwenye hizo mechi 6 huyo Man city atakuwa anashinda mechi zote? Hatadondosha alama?

Na BTW hizo timu zote ulizotaja hakuna yenye uwezo wa kumfunga Arsenal. Tuna ushahidi wa walichofanywa round ya kwanza.

Na kama ungefanya tathmini kwa kutulia utaelewa kuwa kwa kutolewa kwenye hayo mashindano mengine ni fursa zaidi kwa Arsenal kuweka nguvu kubwa kwenye ligi wakati wengine wakiwa na mzigo wa mechi nyingi.
Yaani umeandika upupu mtupu.
 
We mzee unapaswa kupewa heshima ya ulegend kwenye utabiri ulioufanya, uliona mbali sana.
Ingawa league bado haijaisha ila mpaka sasa utabili wako una asilimia 90% kutimia.
Hatimae yametimia..😁
 
Back
Top Bottom