Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishaisha hiyo mzee,asenali hamna chenu msimu huuOyaaa ligi haijaisha bado
Kwa arsenal hiihii au?Utapata tabu sana mwaka huu
SawaKwa hiyo wakati Arsenal anadondosha alama kwenye hizo mechi 6 huyo Man city atakuwa anashinda mechi zote? Hatadondosha alama?
Na BTW hizo timu zote ulizotaja hakuna yenye uwezo wa kumfunga Arsenal. Tuna ushahidi wa walichofanywa round ya kwanza.
Na kama ungefanya tathmini kwa kutulia utaelewa kuwa kwa kutolewa kwenye hayo mashindano mengine ni fursa zaidi kwa Arsenal kuweka nguvu kubwa kwenye ligi wakati wengine wakiwa na mzigo wa mechi nyingi.
Kweli kabisa wapo composed mnoo.Eti naamini atadondokea pua. Yaani mpira inafanya analysis kwa kuamini? Endelea kuamini wenzio haoambao hawajacheza na arsenal hii walishaachana na imani, isipokuwa kila waliiangalia Arsenal ilivyo composed wanaishia kukubali huu ni mwaka wao na hakuna miujiza
SanaaIli upate umaarufu ni lazima uiseme Arsenal. Hii unaonesha kuwa Arsenal ni tishio msimu huu
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Vipi tuamke au hakujakucha?Endelea kuota
Hao vibonde umewafunga?Arsenal tuna mechi 2 tu ambazo zitakuwa ngumu kwetu ambazo tutacheza away Man City na Newcastle.
Zilizobaki zingine zote Ni vibonde wetu kuanzia kwa Chelsea, Liverpool,Man City( H)
Bingwa wa ndama cupTeko Modise ,uwe hodari ni mtu mmoja!
Kama sivyo basi kaeni kwa kutulia tabu iko palepale msimu huu Arsenal bingwa.
Hisia zako ndio ukweli?Acheni kuishi na matumaini hewa gunnerz anabeba ndoo.. mimi shabiki wa man u lakini nimekubali ukweli
We unaonaje kwani?Kwaiyo kama uyo hakubeba ndoo maana yake na arsenal nani hatabeba?
Kwema?Endeleeni kujikojolea
EPL ipi iyo unaongelea?Makasiriko yako hayatoizuia Arsenal kuchukua EPL.. kaa kwa kutulia.
Sawa babaaWigo wa point umeogezeka, endeleeni kupiga dua la mwewe.
City ataendelea kubeba mpaka pale timu la england zitakapojitambua.Mi Liver ila natamani ManCity nae awe wa pili
Inakera sana kila siku mshindi yuleyule
Mi Liver ila natamani ManCity nae awe wa pili
Inakera sana kila siku mshindi yuleyule
City hii hii ambayo imekunda mechi 20 mfululizo au kuna nyingineAnajizima data tu... Arsenal hana mechi kwenye mashindano mengine hivyo ataweza kufocus zaidi kwenye Ligi. Man City hawezi kumfunga Arsenal mechi 2..... Yaani timu yake imepasuliwa halafu anaamini wengine hawatapasuka vibaya.