Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #21
NakaziaArsenal ni kama Azam FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaArsenal ni kama Azam FC
Nimeshakuambia, mwili mkubwa lakini akili zako ndogo, Europa ni mashindano ya Golf eeeh kiasi kwamba Arsenal hashirikiAnajizima data tu... Arsenal hana mechi kwenye mashindano mengine hivyo ataweza kufocus zaidi kwenye Ligi. Man City hawezi kumfunga Arsenal mechi 2..... Yaani timu yake imepasuliwa halafu anaamini wengine hawatapasuka vibaya.
Ili upate umaarufu ni lazima uiseme Arsenal. Hii unaonesha kuwa Arsenal ni tishio msimu huuBaada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.
EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.
Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Tishio la kukosa ubingwa labdaIli upate umaarufu ni lazima uiseme Arsenal. Hii unaonesha kuwa Arsenal ni tishio msimu huu
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Endelea kuotaTukutane Mei
Una kipaji kikubwa sana cha ujinga hongera kwa hiloBaada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.
EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.
Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Labda ueropa anaweza kumbwela ila epl anabeba tofauti ya point ni kubwa sana na sioni timu nyingine ya kumsumbua arsenal ukiachana na man city na man u ambae ashacheza nae game zote mbili.. chelsea na liver msimu huu hakuna kitu labda akimfata newcastle ndo anaweza kudondosha point maana the magpies msimu wa wamekua moto hao wanaobaki wote ze gunners anapigaBaada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.
EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.
Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Safi, tukutane MayArsenal tuna mechi 2 tu ambazo zitakuwa ngumu kwetu ambazo tutacheza away Man City na Newcastle.
Zilizobaki zingine zote Ni vibonde wetu kuanzia kwa Chelsea, Liverpool,Man City( H)
Hahahaha mnaanza kuchanganyikiwa mapema hivi🤣🤣Teko Modise ,uwe hodari ni mtu mmoja!
Kama sivyo basi kaeni kwa kutulia tabu iko palepale msimu huu Arsenal bingwa.
EPL umeanza kuangalia lini? Kuna mtu aliingoza point 15 na hakubeba ndooLabda ueropa anaweza kumbwela ila epl anabeba tofauti ya point ni kubwa sana na sioni timu nyingine ya kumsumbua arsenal ukiachana na man city na man u ambae ashacheza nae game zote mbili.. chelsea na liver msimu huu hakuna kitu labda akimfata newcastle ndo anaweza kudondosha point maana the magpies msimu wa wamekua moto hao wanaobaki wote ze gunners anapiga
Acheni kuishi na matumaini hewa gunnerz anabeba ndoo.. mimi shabiki wa man u lakini nimekubali ukweliEPL umeanza kuangalia lini? Kuna mtu aliingoza point 15 na hakubeba ndoo
Kwaiyo kama uyo hakubeba ndoo maana yake na arsenal nani hatabeba?EPL umeanza kuangalia lini? Kuna mtu aliingoza point 15 na hakubeba ndoo
Kumbe nilipokupiga pipe uliona nina mwili mkubwa ee.Nimeshakuambia, mwili mkubwa lakini akili zako ndogo, Europa ni mashindano ya Golf eeeh kiasi kwamba Arsenal hashiriki
Nimeamini mashabiki wengi wa Arsenal ni mazwazwaKumbe nilipokupiga pipe uliona nina mwili mkubwa ee.
Nimekaa paleBaada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.
EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.
Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Vipi naona leo hawaji humu!!!???Nimekaa pale