Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Anajizima data tu... Arsenal hana mechi kwenye mashindano mengine hivyo ataweza kufocus zaidi kwenye Ligi. Man City hawezi kumfunga Arsenal mechi 2..... Yaani timu yake imepasuliwa halafu anaamini wengine hawatapasuka vibaya.
Nimeshakuambia, mwili mkubwa lakini akili zako ndogo, Europa ni mashindano ya Golf eeeh kiasi kwamba Arsenal hashiriki
 
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Ili upate umaarufu ni lazima uiseme Arsenal. Hii unaonesha kuwa Arsenal ni tishio msimu huu

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Una kipaji kikubwa sana cha ujinga hongera kwa hilo

Kwahyo unavyoona Arsenal itasumbuliwa na hzo timu je huyo unaehisi atabeba hilo kombe yeye hatosumbuliwa na timu yoyote au sio.
 
Arsenal tuna mechi 2 tu ambazo zitakuwa ngumu kwetu ambazo tutacheza away Man City na Newcastle.

Zilizobaki zingine zote Ni vibonde wetu kuanzia kwa Chelsea, Liverpool,Man City( H)
 
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Labda ueropa anaweza kumbwela ila epl anabeba tofauti ya point ni kubwa sana na sioni timu nyingine ya kumsumbua arsenal ukiachana na man city na man u ambae ashacheza nae game zote mbili.. chelsea na liver msimu huu hakuna kitu labda akimfata newcastle ndo anaweza kudondosha point maana the magpies msimu wa wamekua moto hao wanaobaki wote ze gunners anapiga
 
Arsenal tuna mechi 2 tu ambazo zitakuwa ngumu kwetu ambazo tutacheza away Man City na Newcastle.

Zilizobaki zingine zote Ni vibonde wetu kuanzia kwa Chelsea, Liverpool,Man City( H)
Safi, tukutane May
 
Labda ueropa anaweza kumbwela ila epl anabeba tofauti ya point ni kubwa sana na sioni timu nyingine ya kumsumbua arsenal ukiachana na man city na man u ambae ashacheza nae game zote mbili.. chelsea na liver msimu huu hakuna kitu labda akimfata newcastle ndo anaweza kudondosha point maana the magpies msimu wa wamekua moto hao wanaobaki wote ze gunners anapiga
EPL umeanza kuangalia lini? Kuna mtu aliingoza point 15 na hakubeba ndoo
 
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.
Nimekaa pale
 
Back
Top Bottom