Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.

Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.

Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.

EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya pili. Arsenal anaongoza ligi lakini bado hajacheza mechi mbili dhidi ya Man City. Bado ana mechi na Chelsea, Liverpool, West Ham na Brighton naamini huko kote atadondosha alama.

Hivyo nahitimisha kuwa Arsenal hatoshinda kombe lolote na hatakuwa hana tofauti na timu kama Leeds United au Aston Villa.


Arsenal Ina average players wengi ambao wanapata matokeo kwa kutumia spirit waliyonayo sasa.

Nketiah, Zinchenko sio wachezaji wa kuwa kwenye 1st eleven ya timu inayotaka ubingwa.

Pia wanamakosa mengi sana ambayo huwa yanapelekea kucreat chances za wao kufungwa.

Uwezekano wa wao kupoteana kwenye mbio za ubingwa ni mkubwa sana, na hata ikitokea wamechukua, hawana consistency ya kuwafanya next season wa compete for title
 
Arsenal Ina average players wengi ambao wanapata matokeo kwa kutumia spirit waliyonayo sasa.

Nketiah, Zinchenko sio wachezaji wa kuwa kwenye 1st eleven ya timu inayotaka ubingwa.

Pia wanamakosa mengi sana ambayo huwa yanapelekea kucreat chances za wao kufungwa.

Uwezekano wa wao kupoteana kwenye mbio za ubingwa ni mkubwa sana, na hata ikitokea wamechukua, hawana consistency ya kuwafanya next season wa compete for title
Zinchenko awe vipi average player wakati amechukua ubingwa akiwa na Man City?!
 
Sawa mkuu endelea kulia
20230123_141547.jpg
 
Arsenal Ina average players wengi ambao wanapata matokeo kwa kutumia spirit waliyonayo sasa.

Nketiah, Zinchenko sio wachezaji wa kuwa kwenye 1st eleven ya timu inayotaka ubingwa.

Pia wanamakosa mengi sana ambayo huwa yanapelekea kucreat chances za wao kufungwa.

Uwezekano wa wao kupoteana kwenye mbio za ubingwa ni mkubwa sana, na hata ikitokea wamechukua, hawana consistency ya kuwafanya next season wa compete for title
Endelea na uchambuzi Gary Neville, sisi tupo kileleni.
 
Arsenal Ina average players wengi ambao wanapata matokeo kwa kutumia spirit waliyonayo sasa.

Nketiah, Zinchenko sio wachezaji wa kuwa kwenye 1st eleven ya timu inayotaka ubingwa.

Pia wanamakosa mengi sana ambayo huwa yanapelekea kucreat chances za wao kufungwa.

Uwezekano wa wao kupoteana kwenye mbio za ubingwa ni mkubwa sana, na hata ikitokea wamechukua, hawana consistency ya kuwafanya next season wa compete for title
Chances za wao kufungwa? Arsenal kapoteza mechi ya pili juzi.

Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba Arsenal hajaanza kua vizuri msimu huu ameanza msimu uliopita raundi ya 2 so kwa hapa ilipo Arsenal ni inamalizia ilipopaanza.

Kitakachoikosesha Arsenal ubingwa siyo wapinzani ni Arsenal yenyewe na mipango yake, kwa timu kama City imekua inasajili kila msimu bila kujali imetoka kuchukua kombe ama la Arsenal dirisha hili ilitarajiwa ilete kiungo, winger na Striker. Ila imemleta CB na Midfielder Jorginho.

So ni yenyewe ndiyo itaamua hatma yake siyo nyuzi za JF, na msimu huu hata bahati iko upande wa Arsenal anapoteza points kwa Everton mpinzani wa Karibu anapoteza kwa Spurs.
 
Kwa hiyo wakati Arsenal anadondosha alama kwenye hizo mechi 6 huyo Man city atakuwa anashinda mechi zote? Hatadondosha alama?
Na BTW hizo timu zote ulizotaja hakuna yenye uwezo wa kumfunga Arsenal. Tuna ushahidi wa walichofanywa round ya kwanza.
Na kama ungefanya tathmini kwa kutulia utaelewa kuwa kwa kutolewa kwenye hayo mashindano mengine ni fursa zaidi kwa Arsenal kuweka nguvu kubwa kwenye ligi wakati wengine wakiwa na mzigo wa mechi nyingi.
Man city amekubaka barazani kwako
 
Maskini Arsenal, [emoji3062] Kipara ameshakaa kileleni, hapo bado Arsenal anatakiwa aende Etihad kupokea kipigo kingine, bado hajatembelea Anfield, na kwa Nyukasto

Poleni sana Arsenal, mmefanya uzembe kumwachia kipara aongoze, kipigo cha Everton na sare ya brentford vimewamaliza
 
Back
Top Bottom