MUWE MNAKUWA SERIOUS,,,sio kila mara uandike ujingaTena he quoted thru google alafu anasumbua watu humu, mtu anayetaka kufa anaagaga watu, ni kimya kimya anaondoka
Amejibu pm yako,kwao ni wapi?Niwaombe wenye mapenzi mema tumchangie pesa kiasi ndugu yetu arudishwe nyumbani
NIWAHERIAmejibu pm yako,kwao ni wapi?
AbeeNIWAHERI
Arudi nyumbani wapi?Ombi langu, tumsaidie nauli arudi nyumbani
Jamani wamemdaka huku kama yule aliyeripoti kifo chakeMUWE MNAKUWA SERIOUS,,,sio kila mara uandike ujinga
Kwahiyo kaka jambazi ukaanza kujipa msaada kabisa ili kuingiza watu wengine mkenge... JF wabayaaa (kwa sauti ya mwaisa)kaka kaka jibu ujumbe wangu pm plse...........wikiijayo tuonane vintage usifanyechochote. Plse nijibu ujumbe kwanza.
Kwani ana tatizo gani mkuuNyieeee
Tafadhali, kabla hujaondoka, nakushauri okoka kwanza, mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako ili huko unakoenda uende mahali pema. wokovu ni kitu halisi na cha muhimu kuliko hata hawa unaowaaga. na tunaokolewa kwa njia ya Yesu Kristo pekee ndiye alimwaga damu kama gharama ya kutuokoa, hakuna wokovu kwa mohamad, kwa maria, yosefu au yeyote, ila kwa Yesu KRisto. ukifa bila kuokoka, unaenda moja kwa moja motoni hivo usifanye mchezo ushauri huu, pls, Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.Dear Friends,
As I prepare to say goodbye, I find myself reflecting on the wonderful moments we've shared together. Each laugh and each discussion we've shared has made my life richer and fuller. I'm grateful beyond words for the love, support, and joy that each of you has brought into my life.
Please know that even though I may not be with you in body, my spirit and the memories we've created together will always remain with you.
Thank you for being my companions on this journey. I hope you find comfort in knowing that I am at peace, and my heart is filled with love for each of you.
Until we meet again,
Vintage1q.
Nimeumia mno.. Kuna uzi nitaweka😂😭 .. Kati ya waliopatikana na huyu mwamba mimi ni mmojawapoJamani wamemdaka huku kama yule aliyeripoti kifo chakemjini kuna mipango aisee... JF noma, ID zimeungwa chaap Numbisa Mshana Jr ERoni Nrangoo Nifah Monetary doctor Intelligent businessman Shimba ya Buyenze G.Man Nyani Ngabu DR SANTOS
Kaka jambazi ukaendelea kujichatisha.. ukaona ukituwekea kingereza cha Gpt tutanasa kabisaNina imani Mungu wangu atakutunza. Hakuna kitu chochote kitakachokuwa na nguvu ya kuondoa uhai wako. Mungu amekuwa nawe katika nyakati ngumu mno hata kuliko leo. HAWEZI KUKUACHA LEO! Jipe moyo mkuu. Nina imani nitakuona tena. Mungu akulinde rafiki na kaka yangu!
Nimeumia mno.. Kuna uzi nitaweka😂😭 .. Kati ya waliopatikana na huyu mwamba mimi ni mmojawapo
kwa hiyo mleta mada na clear mind ni mtu mmoja?!!...Kaka jambazi ukaendelea kujichatisha.. ukaona ukituwekea kingereza cha Gpt tutanasa kabisa
bada ya kusima uzi wake .. nilikuwa tayari kumpa ajira.. alooumebubujikwa na machozi ya huzuni watu wana mipango aisee... hawa ndio wanafanya hata mtu mwenye tatizo kweli asipate msaada
Duuuuuhhhh!!!😂😂😂Kwahiyo kaka jambazi ukaanza kujipa msaada kabisa ili kuingiza watu wengine mkenge... JF wabayaaa (kwa sauti ya mwaisa)ni fezea
Hapa sasa ukafunguka ujambazi wakoNiwaombe wenye mapenzi mema tumchangie pesa kiasi ndugu yetu arudishwe nyumbani