Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Ungepigwa na kitu kitakatifu Mkuubada ya kusima uzi wake .. nilikuwa tayari kumpa ajira.. aloo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungepigwa na kitu kitakatifu Mkuubada ya kusima uzi wake .. nilikuwa tayari kumpa ajira.. aloo
Si ndio, ID zimeungwa kaumbukaDuuuuuhhhh!!!😂😂😂
Huyu alitaka kuingiza watu mjini😂

vijana wapumbavu sana.. nimesoma hiyo hadith ya vintage ya kina yasinta na upendo..... imekajaa kusadikika kwingi sana.. mtu utembee from rangi tatu to kibada kwa miguu??!!..Ungepigwa na kitu kitakatifu Mkuu
Jesus loves you! Don't do that what you're trying to do!Dear Friends,
As I prepare to say goodbye, I find myself reflecting on the wonderful moments we've shared together. Each laugh and each discussion we've shared has made my life richer and fuller. I'm grateful beyond words for the love, support, and joy that each of you has brought into my life.
Please know that even though I may not be with you in body, my spirit and the memories we've created together will always remain with you.
Thank you for being my companions on this journey. I hope you find comfort in knowing that I am at peace, and my heart is filled with love for each of you.
Until we meet again,
Vintage1q.
Dan🤔🙇🏿♂ sikutegemea kama wewe ni yeyekaka kaka jibu ujumbe wangu pm plse...........wikiijayo tuonane vintage usifanyechochote. Plse nijibu ujumbe kwanza.
Kaka jambazi amedakwa tayariIkiwa ni mapenzi ya Mungu basi yakatimie ,
We can teach you
We can give you anything , any advise
But we can't change ur life's path.
Kaka jambazi umemulikwa hukuOmbi langu, tumsaidie nauli arudi nyumbani
Kaka jambazi hadi akaanza kukasirikaMUWE MNAKUWA SERIOUS,,,sio kila mara uandike ujinga

ukaona kama Wakuu wamegoma kuelewa mchongo hivi
Tapeli, ID zake zimeungwa... JF imemuumbua, alitaka aingize watu mkengeKwani ana tatizo gani mkuu
Pale unapokuwa na ID mbili na kuishia kujijibu mwenyewe kwa ID moja.kaka kaka jibu ujumbe wangu pm plse...........wikiijayo tuonane vintage usifanyechochote. Plse nijibu ujumbe kwanza.
Aokoke wapi kaka tapeliTafadhali, kabla hujaondoka, nakushauri okoka kwanza, mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako ili huko unakoenda uende mahali pema. wokovu ni kitu halisi na cha muhimu kuliko hata hawa unaowaaga. na tunaokolewa kwa njia ya Yesu Kristo pekee ndiye alimwaga damu kama gharama ya kutuokoa, hakuna wokovu kwa mohamad, kwa maria, yosefu au yeyote, ila kwa Yesu KRisto. ukifa bila kuokoka, unaenda moja kwa moja motoni hivo usifanye mchezo ushauri huu, pls, Mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.
sema sala hii:
Bwana Yesu Kristo, mimi ni mwenye dhambi, nahitaji wokovu toka kwako, nahitaji uzima toka kwako, naamini wewe ulitoa kafara la Damu yako kwa ajili ya kulipia ukombozi wangu, hakuna mwingine aliyeninunua ila wewe, natubu dhambi zangu zote (zitaje unazozijua) ninazozijua na nisizozijua, naomba unisafishe kwa Damu yako, futa jina langu katika Kitabu cha hukumu, andika jina langu katika Kitabu cha uzima,kwa Jina lako Takatifu ninaomba, Ameni.
kuanzia sasa umeokoa, maisha yako yapo mikononi mwa Yesu, ishi maisha matakatifu, utamwona Mungu. Mungu akusaidie.

ID zimeshaungwa huko... kwisha habari yakeAseeh kumbe,, tukafkr anaenda kufaTapeli, ID zake zimeungwa... JF imemuumbua, alitaka aingize watu mkenge
Kwa hiyo ndugu yetu Vintage ndio clearmind ? Ndio maana mitandaoni hapaaminiki tena.Jamani wamemdaka huku kama yule aliyeripoti kifo chakemjini kuna mipango aisee... JF noma, ID zimeungwa chaap Numbisa Mshana Jr ERoni Nrangoo Nifah Monetary doctor Intelligent businessman Shimba ya Buyenze G.Man Nyani Ngabu DR SANTOS
Kwa hiyo mkuu ulikuwa unajipigia pasi ndefu...hahaha nchi ngumu sana hii...kaka kaka jibu ujumbe wangu pm plse...........wikiijayo tuonane vintage usifanyechochote. Plse nijibu ujumbe kwanza.
Si mlikutana laivu kama anadai alikuwa kachoka ama?Nimeumia mno.. Kuna uzi nitaweka[emoji23][emoji24] .. Kati ya waliopatikana na huyu mwamba mimi ni mmojawapo
Nimelia sasaKwa hiyo mkuu ulikuwa unajipigia pasi ndefu...hahaha nchi ngumu sana hii...
