Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

Status
Not open for further replies.

shumbimadelu

Senior Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
185
Reaction score
62
Hi wanajamvi, leo nakuja mbele yenu kuwaeleza hiki kitu.

Nakumbuka mwaka 2010 nikiwa nafanya masters chuo kikuu cha dsm kulikuwa na afisa mmoja wa tra wilaya ya kongwa ndugu STANLEY NYAMBOGA. Huyu kijana alikuwa ni kijana machachari na alikuwa na msimamo mkali asiyependa yumbishwa. Nilibahatika kufanya nae kazi MBEYA baadae akahamishiwa mjini kongwa na kuwa afisa wa TRA wilaya.

Mnamo mwaka 2010 aliingia kwenye mgogoro na ndugu Job Ndugai kipindi hiko akiwa ni mbunge. Sababu kubwa ya bifu hilo ni muheshimiwa Ndugai kukataa kulipa kodi kwenye oil stations zake zilizopo wilayani KONGWA. Sasa huyo jamaa alimuandikia barua mheshimiwa Ndugai kuhusu suala la kulipa kodi ila Ndugai akapuuza. Akamuandikia nyingine kupitia mke wake ambaye ni daktari wa wilaya ya KONGWA na kumueleza walipe kodi but mheshimiwa Ndugai kwa jeuri akakataa. Huyo kijana alimuandikia barua ya kumuita ofisini kwake kumueleza alipe kodi pamoja na kumueleza kuwa atamchukulia hatua kali za kisheria. Bwana Ndugai alikuja ofisini kwake kumtukana na kumtishia maisha lakini yule kijana alisimamia msimamo wake. Kuona hivyo mheshimiwa sana alilipa ile kodi but alimuhaidi kuwa atakiona cha moto.

Baada ya mwezi mmoja tokea tukio hilo, marehemu alirudi chuoni lakini cha ajabu alikufa katika mazingira ya ajabu. Akiwa mitaa ya Gairo akitokea Kongwa kwenda Dar chuoni alikutana na roli lililokuwa kasi ikambidi asogee pembeni kulipisha hilo roli yeye akiwa kwenye gari lake lakini lile roli lilimfuata huko huko pembeni na kumgonga ila cha ajabu alikufa peke yake kwa kupasuka kichwa wakati kwenye gari kulikuwa na watu wengine wanne.

Maswali ya kujiuliza. Je ni kwanini afe peke yake? Kwanini ajali itokee baada ya kumbana mheshimiwa alipe kodi?

Nimeandika haya baada ya kumkumbuka jamaa yangu pia nawaonea huruma wale vijana waliotuma sms na kumpigia simu Ndugai na kumtukana jamaa hafai.

R.I.P STANLEY NYAMBOGA nitakukumbuka milele ndugu na rafiki yangu.
 
Macho ya ndugai yana sifa zote za uuaji!!
Kuna siku watachunguzwa kwa ushetani wao dhidi ya raia wasio na hatia.....

Hapa kuna kila dalili kuwa UWT ilihusika! anagalia wanavyojihusisha na mambo ya kipumbavu, walaaniwe!
 
Hii kweli ni untold story, Ndugai huyu huyu? Ama kweli machoni kama watu..tutajibu nini kwa Mungu sisi?
 
Umenikumbusha kifo cha Nyamboga, kinaumiza sana. Alikuwa mtu wa watu huko mtwara baadae mbeya baadae Kongwa. Tuzidi kuiombea familia ya marehemu na watoto 3 wa marehem bado ni wadogo. Tumwachie Mungu

Jamaa alikuwa rafiki yangu sana.
 
Kwa hiyo jamaa alipata ajali ya kishirikina, Duh!!!!!!!!!!!!!!

Viongozi wetu kwa kukwepa kodi hawajambo, ndio maana hatuendelei
 
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.

Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!
 
Maswali ya kujiuliza. Je ni kwanini afe peke yake? Kwanini ajali itokee baada ya kumbana mheshimiwa alipe kodi?

.

Usiumize kichwa chako bure, ni ngumu kuyapata majibu ya maswali...mimi kwa upoyoyo wangu nashauri, labda tumuulize Mungu.
 
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.
Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!

Ni kweli kabisa.. Ndugai ni mshirikina sana. Mganga wake yuko Kijiji cha Mbande, njia panda ya kwenda Kongwa ukiwa Barabara kuu ya Dodoma Morogoro/Dar.
 
Umenikumbusha ya pesambili mramba alipokuwa rc mbeya wakati huo na bosi wa tra mkoani mbeya aliyemkomalia alipe kodi. Jamaa amekosa ukamishna hadi leo
 
Mkuu,
Kama kweli una wasiwasi na kifo cha huyo marehemu bado unaweza kufanya mengi ya kusaidia. Naomba UJARIBU KUFUATILIA lori lililomgonga - ujue namba zake, dereva alikuwa nani, yuko wapi kwa sasa, jina lake, anaishi wapi mmiliki alikuwa nani, je yuko wapi kwa sasa nk.

Najua haki inaweza isipatike kwa sasa lakini NINA UHAKIKA ipo siku
 
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.
Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!

Nadhani haya ya kutorosha binti wa kike na kukwepa Kodi atakuwa na kesi ya kujibu na inaonesha kwamba hafai.., hayo mengine ni vigumu kujua ukweli wake
 
Kwani nyie mlikuwa hamjui? Mama na baba yake si walitolewa kafara 2005 na 2010 ili apate ubunge! Watu kule kwao wanamuogopa. Ukijulikana una dalili za kugombea tu ubunge, basi watoto wako au mke wako wanakufa kiajabuajabu. Sasa hivi anataka kumrithisha ubunge mtoto wake wa kike.
Kuna kipindi alimtorosha mwanafunzi wa kike akaenda kumpangia nyumba Dodoma. Serikali ikazima ishu hii!!! Mnacheza na wauaji hawa nyie!!!!

Ayaaaah!! Kumbe kajamaa ni nouma. Ila ipo siku na kenyewe katakufa live.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom