Endelea kubeba mabox south AfricaMwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.
So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!
Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Tushawazoea nyimbo ikiwa mbaya mnaikana ata rosa mliikataaMkuu acha kujitia aibu Nani alikwambia kuwa Risabela ni wimbo wa Ali kiba?!
Siku nyingine usiseme kitu kama ujui alafu unajitia aibu
Anguko kuu. Time will tellMnahangaika kw kweli mpk huruma jmn
Sawa nabii T.B JoshuaAnguko kuu. Time will tell
Mkuu mbona namna hii tena?Labda nikuulize, nitajie show mbili alizofanya nchi tofauti ukiondoa Tanzania na Kenya?
Na lingine sijazungumzia tuzo bali ninezungumzia kuupandisha mziki wake.
Watu kama Sugu wanakumbukwa kwa kuufanya bongo fleva kusikilizwa na wanajamii.
Kiba ana zaid ya miaka kumi kwenye game, nini mchango ktk sanaa ya muziki?
Mark my words"Siku atakayostaafu mond kupiga mziki ndio utakuwa mwisho wa wewe kusikiliza na kumfuatilia Kiba"
Subutu hebu watajeKuitangaza Tanzania kivipi?!
Au Tanzania yako inaishia kariakoo na Tandale?!
Hivi unajua kuwa ukitaja wasanii watatu waliopiga show nyingi nje ya nchi na Ali kiba yumo?!
Ndio unataka kusemaje?!Show zipi unazozingumzia wewe?
Za mombasa au zile za utoaji tuzo anazoenda kwa migongo ya watu?
Tunataka akapige show yeye kama yeye,labda nikuulize tena mond yupo visiwani uko, ambapo wao mwanzo mwisho kifaransa, na ameenda kupiga show.
Yeye kiba wapi anewahi kwenda kufanya show kama hiyo ya mondi nitajie show moja tu.
Jamaa alivojubu na ww ulivokurupuka kumjibu ni vitu tofauti kabisa saa zingne uwe unakaa unatafakari ndo una jibu cyo unakurupuka tu inatufanya tuzidi kuamini kuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogoMkuu mbona namna hii tena?
Hivi ulisoma ulichoandika?!
Mbona unatia aibu hivi?
Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!
Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Sasa mziki mbovu unakunalikaje nje ya nchi? Inakuwaje watu wanampendaMwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.
So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!
Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Kimasomaso kaimba nani?Mkuu acha kujitia aibu Nani alikwambia kuwa Risabela ni wimbo wa Ali kiba?!
Siku nyingine usiseme kitu kama ujui alafu unajitia aibu
Jibu swali apo acha kurukaruka kama maharage kwenye sufuria.Mkuu mbona namna hii tena?
Hivi ulisoma ulichoandika?!
Mbona unatia aibu hivi?
Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!
Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Taja shows alizofanya acha porojoNdio unataka kusemaje?!
Unataka Diamond akifanya show na Ali afanye show?!
Kwa hiyo toka uje mjini ujawahi kusikia Ali kafanya show?!
we itakuwa umeanza kufuatilia mziki mwaka 2009 baada ya wimbo wa Kamwambie
Zipo kampuni za business promotions zinafanya hiyo kitu. Unalipia wanaopromote video yako kwenye site mbalimbali.
Sio lazma eti video iwe trending tanzania au kenya, ni worldwide promotion. Na view sio lazma mtu aangalie video nzima, akifungua tu link ya video youtube views zinaongezeka.
Ni marketing strategy tu wabongo waache wivu!
Na huyo max sijui anazingua tu. Anafkiri youtube ina mipaka kwamba kwakuwa mwenye video ni wa Tanzania basi itaangaliwa na wa Tanzania tu?
Tuliza Munkari....asiejua maana haambiwi maana...maana hata akiambiwa maana na yeye hajui maana lazima ataipotosha.Jibu swali apo acha kurukaruka kama maharage kwenye sufuria.
Taja shows alizofanya alikiba kama ulivyoulizwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] team vinyweleHa ha ha ha Daudi alikuaga fresh sana ila tangu ajiunge team dimpoz kwa pozzz amekua kama kala maharage
anyway sikufanya utafiti sana ila uliletwa uzi humu ndani!Vipi kuhusu kimaso maso nayo ni uongo?Mkuu acha kujitia aibu Nani alikwambia kuwa Risabela ni wimbo wa Ali kiba?!
Siku nyingine usiseme kitu kama ujui alafu unajitia aibu
Wenyewe wanaimba mziki mzuri wa kusikiliza getto na cyo wa kupigia showTaja shows alizofanya acha porojo
Yeuwiiii [emoji86] [emoji86] [emoji86] Ommy dimpoz amewaharibia watu siri yao aiseeHata hivyo ukinunua views inaonesha kua haurisk chochote iwe kwa video kufungiwa au wewe mwenyewe nimeingia net nimekuta hilo swali na jibu lake.
View attachment 440148
View attachment 440149
Hivyo wanaouliza kua mbona mtu hafungiwi swali lao halina maana.
Mkuu noma aisee, mambo yameharibika Ommy kavujisha mchongo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na zile comments za watu kutoka mataifa mbalimbali wananunuaje?
Fanya kugoogle tena mkuu utulee hapa.
Uzuri wa google hata ukiandika " i want free money au i want free computer " wanakuletea link za kupata hivo vitu