Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

MwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.

So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!

Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Endelea kubeba mabox south Africa

Mbona na ww umekimbiia SA inamaana unataka kutuamnisha bongo kazi hakuna mpk ukimbilie south
 
Mkuu acha kujitia aibu Nani alikwambia kuwa Risabela ni wimbo wa Ali kiba?!

Siku nyingine usiseme kitu kama ujui alafu unajitia aibu
Tushawazoea nyimbo ikiwa mbaya mnaikana ata rosa mliikataa
 
Labda nikuulize, nitajie show mbili alizofanya nchi tofauti ukiondoa Tanzania na Kenya?
Na lingine sijazungumzia tuzo bali ninezungumzia kuupandisha mziki wake.
Watu kama Sugu wanakumbukwa kwa kuufanya bongo fleva kusikilizwa na wanajamii.
Kiba ana zaid ya miaka kumi kwenye game, nini mchango ktk sanaa ya muziki?
Mark my words"Siku atakayostaafu mond kupiga mziki ndio utakuwa mwisho wa wewe kusikiliza na kumfuatilia Kiba"
Mkuu mbona namna hii tena?

Hivi ulisoma ulichoandika?!

Mbona unatia aibu hivi?

Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!

Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
 
Show zipi unazozingumzia wewe?
Za mombasa au zile za utoaji tuzo anazoenda kwa migongo ya watu?
Tunataka akapige show yeye kama yeye,labda nikuulize tena mond yupo visiwani uko, ambapo wao mwanzo mwisho kifaransa, na ameenda kupiga show.
Yeye kiba wapi anewahi kwenda kufanya show kama hiyo ya mondi nitajie show moja tu.
Ndio unataka kusemaje?!

Unataka Diamond akifanya show na Ali afanye show?!

Kwa hiyo toka uje mjini ujawahi kusikia Ali kafanya show?!

we itakuwa umeanza kufuatilia mziki mwaka 2009 baada ya wimbo wa Kamwambie
 
Mkuu mbona namna hii tena?

Hivi ulisoma ulichoandika?!

Mbona unatia aibu hivi?

Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!

Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Jamaa alivojubu na ww ulivokurupuka kumjibu ni vitu tofauti kabisa saa zingne uwe unakaa unatafakari ndo una jibu cyo unakurupuka tu inatufanya tuzidi kuamini kuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
 
MwanaFA hakuwa anapata show zozote za nje ila Tanzania nzima tunajua kuwa MwanaFA ni mkali kuliko AY.

So funua uelewa wako kupata show za nje sio kigezo cha ukali wa msanii...Ushawahi kusikia wasanii wa South Africa wanapiga show nje ya kwao?!

Unataka kutuaminisha kuwa jamaa sio wakali na hawamfikii Diamond?!
Sasa mziki mbovu unakunalikaje nje ya nchi? Inakuwaje watu wanampenda
Wasanii wa south africa wanapiga show nchi kibao cassper nyovest anapiga shows botwana, swazland, lethoto,
Juzi juzi hapa AKA alipiga show kubwa tu Mozambique
Mafiki zolo ndo usiseme wanazunguka africa nzima
Hoja yako haina mashiko
 
Mkuu mbona namna hii tena?

Hivi ulisoma ulichoandika?!

Mbona unatia aibu hivi?

Ali alikuwepo kama Diamond sasa mbona unajitoa akili na kusema kuwa baba ako Diamond asipokuwepo na Ali hatokuwepo kwani nani alianza kusikika baina yao?!

Siku nyingine ukiwa unazungumzia kitu shirikisha na Kichwa yako au muulize na demu wako akusaidie mawazo.
Jibu swali apo acha kurukaruka kama maharage kwenye sufuria.
Taja shows alizofanya alikiba kama ulivyoulizwa
 
Ndio unataka kusemaje?!

Unataka Diamond akifanya show na Ali afanye show?!

Kwa hiyo toka uje mjini ujawahi kusikia Ali kafanya show?!

we itakuwa umeanza kufuatilia mziki mwaka 2009 baada ya wimbo wa Kamwambie
Taja shows alizofanya acha porojo
 
Zipo kampuni za business promotions zinafanya hiyo kitu. Unalipia wanaopromote video yako kwenye site mbalimbali.

Sio lazma eti video iwe trending tanzania au kenya, ni worldwide promotion. Na view sio lazma mtu aangalie video nzima, akifungua tu link ya video youtube views zinaongezeka.

Ni marketing strategy tu wabongo waache wivu!

Na huyo max sijui anazingua tu. Anafkiri youtube ina mipaka kwamba kwakuwa mwenye video ni wa Tanzania basi itaangaliwa na wa Tanzania tu?

Kwa hiyo views za Simba hajazipatia Tanzania, wala EA?

Doooh, basi jamaa ni mnoma saaana.
 
Jibu swali apo acha kurukaruka kama maharage kwenye sufuria.
Taja shows alizofanya alikiba kama ulivyoulizwa
Tuliza Munkari....asiejua maana haambiwi maana...maana hata akiambiwa maana na yeye hajui maana lazima ataipotosha.

So baki na ujinga wako.
 
Ha ha ha ha Daudi alikuaga fresh sana ila tangu ajiunge team dimpoz kwa pozzz amekua kama kala maharage
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] team vinywele
1480250411403.jpg
 
Mkuu acha kujitia aibu Nani alikwambia kuwa Risabela ni wimbo wa Ali kiba?!

Siku nyingine usiseme kitu kama ujui alafu unajitia aibu
anyway sikufanya utafiti sana ila uliletwa uzi humu ndani!Vipi kuhusu kimaso maso nayo ni uongo?
 
Na zile comments za watu kutoka mataifa mbalimbali wananunuaje?
Fanya kugoogle tena mkuu utulee hapa.
Uzuri wa google hata ukiandika " i want free money au i want free computer " wanakuletea link za kupata hivo vitu
Mkuu noma aisee, mambo yameharibika Ommy kavujisha mchongo. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom