Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Tatizo liko wapi bc kila mmoja afanye manunuz then waunganishe manunuz yao mkuu
Mimi sipingani na mtu kufanya analoona ni bora kwa biashara yake, kama anaona hiyo ni strategy market nzuri ya gharama nafuu kushinda kufanya muziki mzuri afanye tu mimi sina shida nao.
 
Na zile comments za watu kutoka mataifa mbalimbali wananunuaje?
Fanya kugoogle tena mkuu utulee hapa.
Uzuri wa google hata ukiandika " i want free money au i want free computer " wanakuletea link za kupata hivo vitu
Yaani ndio naishiwa pozi kabisa eti mtu anasema amegugo eti hilo jambo linawezekana kwahiyo hilo jambo linawezekana! Aibu gani hii
 
Mimi sipingani na mtu kufanya analoona ni bora kwa biashara yake, kama anaona hiyo ni strategy market nzuri ya gharama nafuu kushinda kufanya muziki mzuri afanye tu mimi sina shida nao.
Owk nimemalizana nawe kiongozi, lakin swali la mond kununua tuzo youtube hujanijibu?
 
Usiwe mkali bosi, naomba ulete vigezo vya mtu kuchukua tuzo kutoka kwa hao youtube. Kisha tuendelee.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sio ukali me nimeuliza tu, milard ayo na diamond walipewa tuzo na youtube.
Ndo nauliza hivi youtube na utaalamu wao wanampa mtu anaecheat tuzo?
 
Ali kiba tunamzungumzia kwa kwa sabab ya uwepo wa diamond
Jamani DIAMOND si alisema hawez kusainiwa au yalikuwa mawivu?
 
King Kiba nampendea mziki wake ila Diamond ana akili ya biashara na ana marketing strategies nziri inshort jamaa ni mfanyabiashara
 
Kuzuia? Ikiwa video haiwezi kua banned that means they got no problem na ishu zako.
Ha haaa haaa we jamaa buana! kama hiyo inawezekana wakuache kirahisi tu! we hujui kuna makampuni makubwa yanamatangazo yao huko? sasa waweke tangazo lao kwa mtu mwenye viewers fake?
 
Ha haaa haaa we jamaa buana! kama hiyo inawezekana wakuache kirahisi tu! we hujui kuna makampuni makubwa yanamatangazo yao huko? sasa waweke tangazo lao kwa mtu mwenye viewers fake?
Hapa sasa unazingua attachments mbili nilizoweka ni ushahidi wa nilichotoka kusema, au hukuona?
 
Huwezi kujibiwa hilo swali..!!? Watasema ananunua shows
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sio ukali me nimeuliza tu, milard ayo na diamond walipewa tuzo na youtube.
Ndo nauliza hivi youtube na utaalamu wao wanampa mtu anaecheat tuzo?
Nimekuomba vigezo boss.
 
ninachoshangazwa ni kwamba P.SQUARE wanajulikana dunia nzima lakini DIAMOND anawafunika kwa viewer wakati hata ulaya hajulikani,hapa lazima kutakuwa na ujanja ujanja unafanyika
 
Ha haaa haaa we jamaa buana! kama hiyo inawezekana wakuache kirahisi tu! we hujui kuna makampuni makubwa yanamatangazo yao huko? sasa waweke tangazo lao kwa mtu mwenye viewers fake?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Ni akili ya kiwango cha gongo tu inaweza kukubali hii hoja ya viewers feki , yaani mtu ana viewers feki alafu makampuni wanapeleka matangazo yao na pesa wanalipa kwa mtu ambae anacheat
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo li kiazi kweli , tena kiaz kitam!
 
Watanzania kuna mambo mengi ya technology hatuyajui tunajua kuongea tu.. Views wananunuliwa iko wazi io
 
ninachoshangazwa ni kwamba P.SQUARE wanajulikana dunia nzima lakini DIAMOND anawafunika kwa viewer wakati hata ulaya hajulikani,hapa lazima kutakuwa na ujanja ujanja unafanyika
Acha uongo wewe diamond hajawafikia wala kuwakaribia Psquare kwa views youtube
Psquare wana zaidi ya viewers milioni 370
Diamond ndo kwanza ana viewers milioni 150
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…