Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Wapi nilipochagua team?
Hivi uyo mnaemshabikia ameweza kuutangaza mziki wake nje ya Tz?
Acheni hizo majungu sio mtu yupo ndani ya game miaka zaid ya kumi hata kufanya show uganda hawezi halaf mnataka kumfananisha na mwenzake anaepiga mziki Africa na sasa anaangalia fursa ulaya uko?
Kuitangaza Tanzania kivipi?!

Au Tanzania yako inaishia kariakoo na Tandale?!

Hivi unajua kuwa ukitaja wasanii watatu waliopiga show nyingi nje ya nchi na Ali kiba yumo?!
 
Kuitangaza Tanzania kivipi?!

Au Tanzania yako inaishia kariakoo na Tandale?!

Hivi unajua kuwa ukitaja wasanii watatu waliopiga show nyingi nje ya nchi na Ali kiba yumo?!
Maana kweli ata Mombasa cyo tanzania
 
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
Mkuu ndio uchambuzi wake ulipoishia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hivi mbona kama tunajadili vitu ambavyo kama havileti maana!
Huyo max ni nani?

Naamini humu ndani kuna watu wa IT wazuri tu, hebu waje watuthibitishie hilo!!
Mbaya zaidi tunabeza mtu ambaye viewers wengi ni 21 mil,mbona video nyingine video nyingine kama ya Yemi alade -John ina million 50 hatujasikia wanaigeria wanapiga kelele?
 
huwa nacheka sana nkisikitika kwa wakati huo huo nkiwaona bado watu hawajui alichokifanya ommy, ommy alipewa mawazo ya kuongeza views za wimbo wake wa jajiandae kwa style ya kucompete na mtu anaekubalika tz nzima simba, so kila cku mnavyoingia youtube kulinganisha hizo videos basi ommy views zake nae zi apanda
 
ila kijana dangote yuko vizuri ,hilo halina ubishi, hata kama ananunua hao sijui waangaliaji
 
VIEWS ZA DIAMOND YOUTUBE
Number 1 remix 18m
Nana 18m
Nitampata wapi 11m
Nasema nawe 10m
Salome 8.8m
Utanipenda 7.7m
Kidogo 7.3m
Bumbum 1.1m

ZA PAMOJA....
Make me sing 5.6m
Nakupenda 2m

ALIZOSHIRIKISHWA...
Akothee ft diamond 3.1m
Jahpraizah ft diamond 3m
Chege ft diamond 2.9m
Linex ft diamond 2.5m
Kcee ft diamond 2m
Bracket ft diamond 1.5m
Waje ft diamond 1.4m
Victoria kimani ft diamond 994k
Papa wemba ft diamond 836k
Donald ft diamond 364k

ila kijana dangote yuko vizuri ,hilo halina ubishi, hata kama ananunua hao sijui waangaliaji

Mkuu ndio uchambuzi wake ulipoishia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Maana kweli ata Mombasa cyo tanzania

[emoji23] [emoji23] [emoji23] punguza mapovu mkuu
 
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]


Kwani humjui huyu Jamaa? Ungeijua Username yake nyingine wala usingepata tabu. Huyo ni mtu mzima Sana, lakini sijui kapoteza wapi, kutwa Diamond na Ali Kiba tu. Wakina Le Mutuz wapo wengi sema basi tu hawana vyombo.
 
Hater eti hata mashabiki huko mondi anawalipia kiingilio hahahahahaahahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahaa
 
Mkuu ndio uchambuzi wake ulipoishia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Copy
1480228459909.png

Paste
1480228479189.png
 
Hivi mbona kama tunajadili vitu ambavyo kama havileti maana!
Huyo max ni nani?

Naamini humu ndani kuna watu wa IT wazuri tu, hebu waje watuthibitishie hilo!!
Mbaya zaidi tunabeza mtu ambaye viewers wengi ni 21 mil,mbona video nyingine video nyingine kama ya Yemi alade -John ina million 50 hatujasikia wanaigeria wanapiga kelele?
Kila kitu kipo Google sio lazima usomee IT kujua hili
1480228645596.png
 
Mkuu,
Ni kweli na ndiyo maana YouTube/ Google kitambo tangu mwaka 2012 wanafanya uhakiki wa mara kwa mara kuona ''umaarufu'' kuanzia Youtube Account holders binafsi au kampuni na pia account za msanii, mwanamuziki, label za kampuni kubwa za muziki n.k kama ni sahihi au la, hivyo ni ngumu sana mwaka 2016 msanii ''mkubwa'' akajaribu ku-''manipulate'' a.k.a kutumia ''maruhani wa Apps/ teknolojia'' kuongeza views n.k bila ''panga'' la Youtube kumpitia pamoja na ''onyo kali'' pia angalizo zoezi hili la uhakiki YouTube /Google ni endelevu.

Mfano AliKiba yupo na kampuni kubwa ulimwenguni Sony Alikiba Becomes the Second African Artist to Sign a Global Music Deal With Sony Music na Msanii mkubwa kupita wote Tanzania, Diamond Platnumz amesaini Universal Diamond amesainiwa Universal Music Group mwaka huu, hivyo wasanii binafsi kwa kuwatumia hawa wawili kama mfano waliosaini na kampuni kubwa uhakiki hupita kwa msanii binafsi na kampuni iliyomsainisha wakitupia vitu vyao Youtube moja kwa moja au kupitia washirika wao.. Soma zaidi mtandao wa : Fake YouTube Views Cut By 2 Billion As Google Audits Record Companies' Video Channels | The Huffington Post

Unamahabati wewe
 
Back
Top Bottom