Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

649ea7f6b3b91f3ee124a560e5d884ba.jpg


Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
Swali la msingi.....hizo views wanazinunua kwa nani? Labda tuanzie hapo!
 
VIEWS ZA DIAMOND YOUTUBE
Number 1 remix 18m
Nana 18m
Nitampata wapi 11m
Nasema nawe 10m
Salome 8.8m
Utanipenda 7.7m
Kidogo 7.3m
Bumbum 1.1m

ZA PAMOJA....
Make me sing 5.6m
Nakupenda 2m

ALIZOSHIRIKISHWA...
Akothee ft diamond 3.1m
Jahpraizah ft diamond 3m
Linex ft diamond 2.5m
Kcee ft diamond 2m
Bracket ft diamond 1.5m
Waje ft diamond 1.4m
Victoria kimani ft diamond 994k
Papa wemba ft diamond 836k
Donald ft diamond 364k
Na chege ft diamond waache waoane 2.9m umeisahau mkuu
 
Kuitangaza Tanzania kivipi?!

Au Tanzania yako inaishia kariakoo na Tandale?!

Hivi unajua kuwa ukitaja wasanii watatu waliopiga show nyingi nje ya nchi na Ali kiba yumo?!
Acha kudanganya
 
Swali la msingi.....hizo views wanazinunua kwa nani? Labda tuanzie hapo!
Zipo kampuni za business promotions zinafanya hiyo kitu. Unalipia wanaopromote video yako kwenye site mbalimbali.

Sio lazma eti video iwe trending tanzania au kenya, ni worldwide promotion. Na view sio lazma mtu aangalie video nzima, akifungua tu link ya video youtube views zinaongezeka.

Ni marketing strategy tu wabongo waache wivu!

Na huyo max sijui anazingua tu. Anafkiri youtube ina mipaka kwamba kwakuwa mwenye video ni wa Tanzania basi itaangaliwa na wa Tanzania tu?
 
Hizi akili zenu sijui zinafikiria nini?
Ngoja niwaache na ujinga wenu wa ki team, alafu mwambieni king wenu apeleke mziki wake nje ya kko, uyo anaenunua viewers sasa anaangalia soko la ulaya na america,
HV una habari kachukua tuzo mbili kubwa juz kati huko marekani?? Sasa kkoo ipi kkoo ya marekani ?? Punguza mapovuu

Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
 
Wasanii siku zote ni wasanii, kila kitu kwao ni sanaa. Suala la kupata views wengi Youtube ni jambo linawezekana kutengenezwa kiujanja ujanja kwa 100%. Ni issue rahisi sana kwa Hackers wengi wa mitandaoni.

Kwa msanii yoyote ambaye anapenda Promo za mitandaoni lazima hii mbinu aitumie tu. Hakuna namna ya kulikwepa.

Maajabu ni kwamba WCB wamepanic kuhusu hili suala lilipoletwa kama mjadala. Wasiwasi wao unatoka wapi kama haliwahusu?
Si ndo hapo sasa wakiambiwa ukweli wanapanic

Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
 
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
Ahaha sijui na yeye amejiunga nao ile team ileeee.
 
Kuitangaza Tanzania kivipi?!

Au Tanzania yako inaishia kariakoo na Tandale?!

Hivi unajua kuwa ukitaja wasanii watatu waliopiga show nyingi nje ya nchi na Ali kiba yumo?!
Mkuu waache hao timu ujanja unjanja wiki mipovu inawatoka sanaa wana hamu ya kufua
 
Akisema ana billion tisa mnakataa lkn mkiambiwa kanunua tuzo na view mnakubali sasa cjui ananunuliaga nn izo mambo maana nahisi hela zake zinaishia kununua tuzo na view plus airtime kwny station za TV na radio
Et billion 9 asee wabongo ndo maana tunasujudiana, yaan watu mnachukulia kama bl ni kitu cha kawaida

Sent from my A500s using JamiiForums mobile app
 
Mabwege wa ali kiba sikia nikwambieni, video ya rich mavoko wakati inatoka ilikuwa namba moja ktk trending TZ kwasababu ndo ilikuwa inaangaliwa sana na watanzania. Kadri siku zinavokwenda haitazamwi sana tanzania, bali nchi mbalimbali duniani ndo mana ina view wengi lakini aitrend sana in tz, ukipiga hesabu darasa ni trend 1 in tz means anatizamwa sana tz, so ndo umuhmu wa kuwa international, hata kama hautrend bongo utapata view wengi mana unaangaliwa nchi nyingi. Ndomana salome au pana zinaangaliwa sana ila ktk kutrend tz hazipo sababu za kimataifa
 
ukigugo kila kitu kipo hata link za michango ya jamii forum utaikuta!

Ndio maana nimeomba wataalamu wa IT sio hayo majibu ya kugugo halafu ukimwambia mtu, video hii hapa hebu fanya hicho ulichokielewa tuone matokeo....mtu anabaki kurusha matusi tu
Timu janjajanja mapovuu yanawatokaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom