Uchaguzi 2020 Ununuzi wa ndege na ujenzi wa Chato Airport ni kashfa inayomtesa Magufuli?

Uchaguzi 2020 Ununuzi wa ndege na ujenzi wa Chato Airport ni kashfa inayomtesa Magufuli?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Sio siri tena, hoja ya matumizi ya pesa za serikali ili kununua ndege na ujenzi wa kiwanja kikubwa cha ndege tena cha kisasa katika kijiji cha Chato wilayani Geita ndio inarindima zaidi kwenye majukwaa ya kampeni za Urais za CCM kwenye huu uchaguzi mkuu wa 2020.

Karibu kila mahali Rais Magufuli alipofika kufanya kampeni ameweza kulizungumzia hilo huku akionyesha wazi wazi kuchukizwa na watu wanaozidi kuliibua hilo jambo kipindi hiki.

Hivi ni kweli hilo jambo linamtesa Magufuli kwa sasa?

Ni kwanini Magufuli anapoteza muda na nguvu zake kulitetea hilo jambo badala ya kujikita kwenye kuinadi ilani yake ya uchaguzi?
 
Lisu ndio anapoteza muda kuongelea hayo mambo.

Lisu kama anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magufuli basi atakuwa hana akili kabisa.

Angekuwa na akili angefikiri kwamba kama hizo ninkashfa za kumnyima kura Magu basi Lowasa 2015 angepata kura zisizozidi 10
Mbona unatoka nje ya mada.
Mada ni kwanini Magufuli anapambana kwa nguvu kubwa kulizima suala la ununuzi wa ndege na ujenzi wa kiwanja kikubwa cha ndege kijijini kwake?
 
Lisu ndio anapoteza muda kuongelea hayo mambo.

Lisu kama anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magufuli basi atakuwa hana akili kabisa.

Angekuwa na akili angefikiri kwamba kama hizo ninkashfa za kumnyima kura Magu basi Lowasa 2015 angepata kura zisizozidi 10
Lifisadi lenu Magufuli limeweka mtoto wa dada pale hazina hata taaluma hana akaingia ubia na mayanga ili aendelee na ufisadi ila sishangai maana aliwahi kuhonga nyumba za umma!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtapanic sana!

Watz wanajua hakuna binadamu mkamilifu ndio maana wanaona bora waendelee na Magu kuliko kuchagua hiyo saccos yenu.

Ni aibu Lisu leo kujaribu kuuaminisha uma kwamba Magu ni fisadi asichaguliwe! Asifikiri tumesahau ya 2015
Yani sisi tupanic tena. Kamwambieni Magu ule mradi wa daraja la bilioni 700 tumekamilisha taarifa zake.
 
Magufuli kafanya mambo mengi mazuri na pia ni binadamu ana mapungufu. Katika mambo anayopaswa kuyasahisha kama ataendelea awamu ya pili ya miaka mitano..

1. Kurudisha uhuru wa Bunge na Mahakama
2. Kupunguza na kupitia upya sheria kandamizi dhidi ya vyombo vya habari
3. Kurudisha imani ya wananchi kwenye vyombo vinavyosimamia chaguzi yaani NEC na ZEC
4. Kuzuia / kutokomeza matumizi ya watu wasiojulikana...
5. Kulegeza suala zima sheria za mifuko ya hifadhi ya kijamii (MAFAO)
6. Kupitia upya makato ya makopo ya Elimu ya juu (retention fees).
7. Bunge live

Hayo mambo sita naimani kabisa yangekuwa hata ndani ya Ilani ya CCM, tungeongea mengine kwenye uchaguzi huu.

"maendeleo hayana chama"
 
Wako kwenye kampeni Lisu anajitahidi kupotosha umma kwamba kwa ujenzi wa hicho kiwanja na ununuzi wa ndege basi Magu hafai. Nami nakwambia kama Lisu anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magu basi atakuwa hana akili na kasahau ya 2015
hizo ni sababu tosha za kutompa kura cz ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma hata kama Tundu Lissu asingeongea
 
Magufuli anapenda kujenga, mpaka pesa za wahanga wa tetemeko ameenda kujengea. TL awaambie wananchi kilichopo nyuma ya Magu kupenda majenzi.
 
Hata asipo shinda baada ya 28 oct wanzania watakua sio wale wa 2015.


Mradi wake wa kubadili katiba umesha buma.. atapata upinzani mkubwa sana.. hata akibadili hata tawala.

Kinacho takiwa kwa sasa Tanzania ifumuliwe tupate Tanzania mpya.


Muungano ufumuliwe na kila taasisi ifumuliwe.

Utawala ujengwe upya..

Lisu ndio anapoteza muda kuongelea hayo mambo.

Lisu kama anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magufuli basi atakuwa hana akili kabisa.

Angekuwa na akili angefikiri kwamba kama hizo ninkashfa za kumnyima kura Magu basi Lowasa 2015 angepata kura zisizozidi 10
 
Magufuli angeweza kuwa Rais Bora sana kama angezingatia weledi katika uongozi..

Mkapa alikua kiongozi mzuri lakini alipo jiuzia kiwira na ndugu zake, heshima yake ikashuka kabisa na tumeona mwisgo wake.


Tunako kwenda hakuna kiongozi wa serikali atapewa heshima.


Mawaziri wakuu wa sasa huwezi walingajisha na kina warioba.

Nchi imetulia kwa rehema za Mungu lakini hali ni mbaya.
Mbona unatoka nje ya mada.
Mada ni kwanini Magufuli anapambana kwa nguvu kubwa kulizima suala la ununuzi wa ndege na ujenzi wa kiwanja kikubwa cha ndege kijijini kwake?
 
Kwani uongo.. wasukuma mna matatizo
Wako kwenye kampeni Lisu anajitahidi kupotosha umma kwamba kwa ujenzi wa hicho kiwanja na ununuzi wa ndege basi Magu hafai. Nami nakwambia kama Lisu anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magu basi atakuwa hana akili na kasahau ya 2015
 
Kwani uongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtapanic sana!

Watz wanajua hakuna binadamu mkamilifu ndio maana wanaona bora waendelee na Magu kuliko kuchagua hiyo saccos yenu.

Ni aibu Lisu leo kujaribu kuuaminisha uma kwamba Magu ni fisadi asichaguliwe! Asifikiri tumesahau ya 2015
 
Back
Top Bottom