ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Imemuingia sana, anajua alichofanya ni kitendo cha kijinga, huwezi jenga airport kwenye kijiji ambacho mapato yake ni close to zero. Anataka ageuza chato iwe Dar? hehehe si bora angeanza na sehemu ambazo zimekua kidogo sio kwenda kijijini watu waliopo wenyewe washamba, total waste of resources. Akae ajipange upya aache ushenzi.