ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Kaka sijui umeamdika nini!! Kwa ufupi jambo linalokuumiza akili lazima utalifikiria na kulizungumza mara kwa mara...hii ni hulka ya binadamu.Lisu ndio anapoteza muda kuongelea hayo mambo.
Lissu kama anafikiri hizo ni kashfa za kumnyima kura Magufuli basi atakuwa hana akili kabisa.
Angekuwa na akili angefikiri kwamba kama hizo ni kashfa za kumnyima kura Magu, basi Lowassa 2015 angepata kura zisizozidi 10.
Hahaha tutayasema tu. Muda mchache mambo ni mengi.Mmmh mara hii mmesahau uuzwaji wa nyumba za serikali. Yaan hamfahamu mshike lipi muache lipi ili mradi muibuke na jipya
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Ndiye rais wa hovyo kuwahi kutokea nchini hafai kabisa.Magufuli kafanya mambo mengi mazuri na pia ni binadamu ana mapungufu. Katika mambo anayopaswa kuyasahisha kama ataendelea awamu ya pili ya miaka mitano..
1. Kurudisha uhuru wa Bunge na Mahakama
2. Kupunguza na kupitia upya sheria kandamizi dhidi ya vyombo vya habari
3. Kurudisha imani ya wananchi kwenye vyombo vinavyosimamia chaguzi yaani NEC na ZEC
4. Kuzuia / kutokomeza matumizi ya watu wasiojulikana...
5. Kulegeza suala zima sheria za mifuko ya hifadhi ya kijamii (MAFAO)
6. Kupitia upya makato ya makopo ya Elimu ya juu (retention fees).
7. Bunge live
Hayo mambo sita naimani kabisa yangekuwa hata ndani ya Ilani ya CCM, tungeongea mengine kwenye uchaguzi huu.
"maendeleo hayana chama"
Kupanga Ni kuchagua...penye rasilimali kidogo ni lazima upange kwa vipaumbele...je hhitaji la kwanza la Chato Ni Uwanja wa Ndege!Hoja za kijinga kabisa. Kwani hizo ndege na viwanja vyake, havitoi huduma kwa watanzania?. Kuleta maendeleo ni kashfa, au kwa sababu hamkufanya nyie?. Kama kuna chama cha kuogopwa ni hilo genge la Chadema, maana hawana lolote la kuwapa watanzania kwa nyakati hizi.