binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Acheni basi , mi bado sijamaliza mambo yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudia kusoma Sala niliyoweka hapo juu Kwa Imani ukimaanisha, Kisha baada ya hapo, nitakuambia nini Cha kufanya baada ya hapo.Nisaidie
Ilipo hazina ya mtu, ndipo ulipo na moyo wake.Acheni basi , mi bado sijamaliza mambo yangu.
Ungejua majira tuliyopo sasa, na ungekuwa na macho ya Roho,Mimi ni M-TAG ila approach inayotumiwa na walokole wenzangu huwa inanihuzunisha sana,
Anzisheni mada za kukwamuana kiuchumi wazee dunia ipo kasi sana, ndo maana soli zinatuishia, sio kwa ubaya lakini ila naona kwenye elimu Dunia mnaikwepa sana, mnakosa kundi kubwa kwasababu kutwa kucha kuogopeshana
Vijana wanataka kujua sawa yesu atarudi ila:
- Watoto wetu wamekula..?, wamevaa vizuri
- Vipi maisha yetu ya kila siku..?
Tubadilike wakristo wenzangu
Ni sawaa, kwahiyo hutajenga..? Huvai wewe, unakazi,biashara..?Ungejua majira tuliyopo sasa, na ungekuwa na macho ya Roho,
Usingebweteka,
Mungu akusaidie.
Unajua maana ya kumeditate neno la Mungu mchana na usiku?Ni sawaa, kwahiyo hutajenga..? Huvai wewe, unakazi,biashara..?
physical tatizo hamuoni yaanNdio, Yesu yupo duniani kupitia Roho wake mtakatifu.
Atakuja soon kunyakua WATAKATIFU wake.
Nakuombea nawe uwe mmoja wapo.
Kombolewaaaaa,Kombolewa.....
Kombooooleewaa nakombolewaa na damu ya Yesu uuh kombooooleewaa
Naaaa nimekuwa mtoto wake..,.,.
Kombooooleewaa
Kombooooleewaa nakombolewaa na damu ya Yesu uuh
Kombooleeewaa naaaah nimekuwa mtoto wake!
Ukimwona Yesu saizi huwezi kuishi Kwa macho ya nyama,physical tatizo hamuoni yaan
AmenKombolewaaaaa,
Mimi mwana wake kweliiiiiii!!
Ubarikiwe 🙏
tatizo lenu mmekalilishwa hujui kitu dhambi ni mzigo kukosa maarifa mzigo wakristo watajua huwez juwa ukiishi kiroho ila yupo na picha zake zipo na yupo AfrikaUkimwona Yesu saizi huwezi kuishi Kwa macho ya nyama,
Muulize Mtume Sauli/ Paulo, alimwona utukufu wake tu akingaa tu, akawa kipofu mazima.
Yesu ndiye Mungu. Kumwona uwe katika Roho.
Ubarikiwe 🙏
Watakatifu wanaishi mbinguni nfani ya Yesu. Maana nyepesi watakatifu wanakaa na Mungu.Karibu katika familia ya WATAKATIFU waishio duniani🙏
Ila unatamani Nyashi za wadada bararani, maarifa yako juu ya injili ni kidogo sanando maana mimi hata sigara tu sitaki kuvuta
Luke 17:34-36Watakatifu wanaishi mbinguni nfani ya Yesu. Maana nyepesi watakatifu wanakaa na Mungu.
Wewe endelea kusubiri unyakuo
Vipi kama nikikwambia tayari walisha nyakuliwa, unafikri ukinyakuliwa na huku Duniani unapotea.Luke 17:34-36
Kuketishwa na YESU katika Ulimwengu wa Roho Kwa wamwaminio ni Kweli,
Lakini pia Unyakuo live katika Ulimwengu wa mwili ni dhahiri pia WATAKATIFU Walio hai watanyakuliwa.
Na maandiko Yako wazi.