Unyakuo u karibu, nimemwona King Jesus mawinguni amepanda farasi mweupe akiwa na jeshi kubwa la Malaika na Watakatifu

Unyakuo u karibu, nimemwona King Jesus mawinguni amepanda farasi mweupe akiwa na jeshi kubwa la Malaika na Watakatifu

Vipi kama nikikwambia tayari walisha nyakuliwa, unafikri ukinyakuliwa na huku Duniani unapotea.

Yaania ananyakuliwa anakuwa yupo mbinguni tayari ila hata duniani anaonekana kama kawaida tu.

Angalia mfano wa mtu huyu aliyenyakuliwa,

2 Kor 12:1-4 SUV
[1] Sina budi kujisifu, ijapokuwa haipendezi; lakini nitafikilia maono na mafunuo ya Bwana. [2] Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu. [3] Nami namjua mtu huyo, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua); [4] ya kuwa alinyakuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwanadamu ayanene.

Hapo ni Paul anajizungumza yeye mwenyewe, Hebu jiulize baada ya Paulo kunyakuliwa unadhani alitoweka huku Duniani?
Hata hakutoweka bali aliendelea kuwepo tu.

Kunyakuliwa ni Kuingia ndani ya Yesu, hakuna unyakuo physically utakaokutoa Duniani kukupeleka kule juu mawinguni.

Mbinguni siyo Geographical Area, Mbinguni ni katika Roho. Hata sasa upo Mbinguni ndani ya Yesu.
Kunyakuliwa, kujikuta Mbinguni katika Roho katika Ulimwengu wa Roho ni kawaida, nami imewahi nitokea,

Lakini pia Unyakuo katika uhalisia wa watu kubadilika miili kumlaki YESU IPO kimaandiko,

Sasa kuamini neno la Unyakuo alioeleza Paulo, Kisha usiamini neno alilosema Yesu mwenyewe kwamba watu watanyakuliwa Hilo sasa ni tatizo lako binafsi.
 
Alishika upanga uneong'aa 9li amkate nani ?
Mkuu sasa hivi watu wana SMG na vidrone, watamuashia moto huko huko juu. Mwambie aje na drone.
 
adamu aliumbwa kwa udongo matkkkkkkk wewe.
Sasa hujui muumbaji wa Adam ndiye baba yake?

Hilo nalo unahitaji upelekwe shule?

Hujui kuwa mifupa huumbwa ndani ya tumbo la mjamzito sawa tu na alivyofinyanywa Adamu Kwa udongo?
 
Unafikiri utapata hata muda wa kuwasha bando basi...yaani siku ikifika ni pyuuuuu.....yaani ni kufumba na kufumbua Yesu karudi
 
Unafikiri utapata hata muda wa kuwasha bando basi...yaani siku ikifika ni pyuuuuu.....yaani ni kufumba na kufumbua Yesu karudi
Tofautisha kurudi Kwa Yesu Kwa HUKUMU na kunyakuliwa Kwa WATAKATIFU duniani ilhali mambo mengine yakiendelea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom