Unyama: George Sanga atimiza siku 1088 rumande kwa tuhuma ya Mauaji

Unyama: George Sanga atimiza siku 1088 rumande kwa tuhuma ya Mauaji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2023-09-19-13-24-26-1.png

Ndio maana sisi wengine hatushiriki hata kwenye misiba yao. Kama aliyekuwa anafanya ukatili huu alishakufa na kuzikwa , kwanini hawa waliopo wanaacha haya yaendelee?

Ikumbukwe kwamba huyu kijana George Sanga hajafungwa , yuko selo tu huku tukiendelea kuambiwa Upelelezi bado haujakamilika.

Y
aani Udiwani wa Njombe tu , ambako biashara kubwa ni maparachichi ndio unawafanya baadhi ya watu wema kuteswa namna hii ! Mnabambikia watu kesi za uongo za mauaji kwa sababu za kuogopa uchaguzi , uchaguzi ambao mliiba kura , sasa mnaogopa nini ikiwa uwezo wa kuiba mnao ?

Bali tunaendelea kusisitiza kwamba kila ubaya utalipwa na wahusika wote watafikiwa bila huruma yoyote .
 
View attachment 2754719

Ndio maana sisi wengine hatushiriki hata kwenye misiba yao , Kama aliyekuwa anafanya ukatili huu alishakufa na kuzikwa , kwanini hawa waliopo wanaacha haya yaendelee ?
Ikumbukwe kwamba huyu kijana George Sanga hajafungwa , yuko selo tu huku tukiendelea kuambiwa Upelelezi bado haujakamilika .

Y
aani Udiwani wa Njombe tu , ambako biashara kubwa ni maparachichi ndio unawafanya baadhi ya watu wema kuteswa namna hii !

Bali tunaendelea kusisitiza kwamba kila ubaya utalipwa na wahusika wote watafikiwa bila huruma yoyote .
Ndugu yangu
Kila chozi litafutwa.
CCM ni janga na laana kwa Taifa
 
Kama kweli aliua miaka mitatu hamjapata tu ushahidi , kwenye hili tukija kulipa kisasi mnaye wa kumlaumu ?
Ulipe kisasi kwa nani? Kwa hiyo na huyo ndugu yenu naye alikuwa analipa kisasi? Basi kama naye alikuwa na akili na mawazo kama yenu basi naamini Ataendelea kujutia maamuzi yake.
 
Kama kweli aliua miaka mitatu hamjapata tu ushahidi , kwenye hili tukija kulipa kisasi mnaye wa kumlaumu ?
Ulipe kisasi kwa nani? Si na huyo ndugu yenu naye alikuwa analipa kisasi? Basi kama naye alikuwa na akili na mawazo kama yenu basi naamini Ataendelea kujutia maamuzi yake.
 
Ndugu chawa Pro Max, unaweza kutuwekea kifungu cha katiba kinachosema mtuhumiwa akae mahabusu kwa siku 1088? Tuwekee tafadhali ili tuwa prove wrong vijana wa CDM!!
Unajuwa kosa aliloshitakiwa na kufunguliwa mashtaka? Umeona kuwa lina dhamana?
 
Siasa ni ujinga na ni dhuluma kwa haki za binadamu ,ona kijana anafungwa kwa mlengo wa siasa.
Vijana ukijifanya mtu wa vyaka hizo ndio risk zake ,maana hakuna kazi isiyokuwa na changamoto.

Kikubwa haki itapatikana kwa kijana kama ni kweli ,tuombe sana kudhulumu nafsi ya mtu sio jambo zuri kabisa.
 
Mimi nafikiri tume ya haki jinai iangalie aya maswala kwa upana wake.
Kwenye Magereza yetu kuna mahabusu wengi sana, zaidi ya mahabusu wote nchini ambao makosa yao ayana dhamana au masharti magumu ya dhamana kwa wahusika.
Nchi hii upelelezi unachukua miezi mpaka miaka mingi haukamiliki kwa wakati, inapelekea watuhumiwa kusota magereza kwa miaka mingi uku upelelezi haukamiliki.

Baadhi ya Askari wa jeshi la polisi kwa kukosa uadilifu wamekua waki bambikia watu kesi na kupeleka kesi izo mahakamani uku upelelezi haukamiliki.
Ili nieneo linalo umiza watu na kufanya baadhi ya Askari polisi kutajirika kwa rushwa na kuwatisha watuhumiwa kwa kuwafungulia kesi za bandia.
Ningependa makosa yote yawe na dhamana ili kuondoa kichaka hiki cha kuonea watu na kubambikia kesi maana ni laaana kubwa.


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mtu na wenzie walishatoka ila waliambiwa wasikae njombe kwa usalama wao.hii no baada ya upelelezi kubaini wahusika in masisiu yenywwe.mniamini mimi.
😆😆😆😆 yaani wewe ujue kuliko Chadema !
 
View attachment 2754719

Ndio maana sisi wengine hatushiriki hata kwenye misiba yao , Kama aliyekuwa anafanya ukatili huu alishakufa na kuzikwa , kwanini hawa waliopo wanaacha haya yaendelee ?

Ikumbukwe kwamba huyu kijana George Sanga hajafungwa , yuko selo tu huku tukiendelea kuambiwa Upelelezi bado haujakamilika .

Y
aani Udiwani wa Njombe tu , ambako biashara kubwa ni maparachichi ndio unawafanya baadhi ya watu wema kuteswa namna hii ! Mnabambikia watu kesi za uongo za mauaji kwa sababu za kuogopa uchaguzi , uchaguzi ambao mliiba kura , sasa mnaogopa nini ikiwa uwezo wa kuiba mnao ?

Bali tunaendelea kusisitiza kwamba kila ubaya utalipwa na wahusika wote watafikiwa bila huruma yoyote .
Kwani shida nini Mkuu? Alishaachiwa?
 
Back
Top Bottom