Unyama wa Walimu, Serikali imulike ukatili wa walimu dhidi ya wanafunzi mashuleni

Unyama wa Walimu, Serikali imulike ukatili wa walimu dhidi ya wanafunzi mashuleni

Na huu ukatili unazembewa na wakuu wa shule au muda mwingine wao ndio wanachochea kutokana na mazingira.

Tunakoelekea hawa waalimu tutamalizana nao huku mitaani tupigane nikimshindwa natafuta hata tofali moja matata unamtwika hata la mgongo akafie mbele huko
 
View attachment 2500913
Walimu hawana utu wala huruma, sasa wameamua liwalo na liwe. Piga, uwa, garagaza.

Hawajali tena namna ya upigaji, mtoto wa kike apigwe mkononi, wa kiume matakoni. Walimu wanapiga ngumi wanafunzi utadhani wako kwenye tamasha la Karate.

Wanawazaba watoto vibao vya uso, ukatili mbalimbali wanaufanyia.

Sasa tunasikia habari za ulawiti, walimu wakiwafanyia watoto wa kiume, huku wale wa kike wakimiminiwa mimbegu iletayo mimba.

Hii kada ni kada adhimu kwa future ya taifa letu na vizazi vijavyo. Iheshimiwe na watu wote, walimu ndio wanatakìwa wawe wa kwanza kuiheshimu.

Na pia wakumbuke kwamba hata Yesu, alikuwa ni nabii. Hivyo elimu ndiye mkombozi pekee wa fikra za taifa letu na kizazi kijacho
 
Hawajajifunza kwa yule mwenzao aliyefungwa maisha kwa kosa la kuua mwanafunzi?
Walimu stress na hasira ya mikopo yenu ya platnum,bayport,letshego mnaenda kumalizia kwa watoto wetu
 
Duh! Mi kama mwalimu ni kweli niliwahi kupiga wanafunzi vibaya sana, tena wengine ni wa kike, nilikuwa napiga nagaragaza, wanafunzi wa kiume nakanyaga kwa buti. Kuna wakati nilipiga mwanafunzi wa kike aliyekataa kunipikia chai, nilimcharaza viboko visivyo na idadi akiwa chini, alipoinuka tu mbio mpaka kwao kushitaki.

Mzazi wake wa kiume alikuja kwa mapambano na mimi ila hakuniona nilibaki ndani nakunywa chai akaacha ujumbe angepambana na mimi kikamilifu kwa kitendo cha kumuadhibu mwanae. Kuadhibu wanawafunzi nitaendelea kama mlezi wao ila nitakuwa makini na adhabu nitakazowapa na aina ya makosa yao.

Ikiwezekana ni kuacha kabisa kutoa adhabu kwa wanafunzi japo adhabu haziepukiki hata kama si za kuumiza mwili wa mwanafunzi, mwanafunzi atakosa huduma za kufundishwa kama kutopata ukaribu wa mwalimu wakati wa mchakato wa ufundishaji darasani. Nidhamu kwa mwanafunzi ndiyo akili yenyewe shuleni
 
Duh! Mi kama mwalimu ni kweli niliwahi kupiga wanafunzi vibaya sana, tena wengine ni wa kike, nilikuwa napiga nagaragaza, wanafunzi wa kiume nakanyaga kwa buti. Kuna wakati nilipiga mwanafunzi wa kike aliyekataa kunipikia chai, nilimcharaza viboko visivyo na idadi akiwa chini, alipoinuka tu mbio mpaka kwao kushitaki. Mzazi wake wa kiume alikuja kwa mapambano na mimi ila hakuniona nilibaki ndani nakunywa chai akaacha ujumbe angepambana na mimi kikamilifu kwa kitendo cha kumuadhibu mwanae. Kuadhibu wanawafunzi nitaendelea kama mlezi wao ila nitakuwa makini na adhabu nitakazowapa na aina ya makosa yao. Ikiwezekana ni kuacha kabisa kutoa adhabu kwa wanafunzi japo adhabu haziepukiki hata kama si za kuumiza mwili wa mwanafunzi, mwanafunzi atakosa huduma za kufundishwa kama kutopata ukaribu wa mwalimu wakati wa mchakato wa ufundishaji darasani. Nidhamu kwa mwanafunzi ndiyo akili yenyewe shuleni
Unajisifia kabisa?
 
Si taratibu zipo? Basi zifuatwe, ikiwezekana afukuzwe shule
Ndo utofauti wa shule special na hizi zetu wao wanafukuza tu huku kwetu Hadi vikae vikao mara mia sita ndo Mwanafunzi aondoshwe kiufupi ombea mwalimu usikutane na wanafunzi wajeuri na wenye kibri
 
Mikataba ya kufaulisha imesainiwa,mtoto anatakiwa apate division two na amefaulu kwa kuibia wakati mwingine hajui hata kusoma.
Fikiria kitakachomkuta huyo mwanafunzi
 
Ifike mahali serikali ipige marufuku kupiga watoto

Kukubali kupiga watoto madhara yake ndio haya wengine wanaua kabisa

Pigeni kelele sheria hii ifutwe
Mtoto anapigwa kama mwizi kisa kafeli
We mwalimu kama huongei na wazazi ila kupiga tu unamuwekea hofu mtoto na sio nidhamu

Mbona wanaotengeneza robots na madawa wako high schools na hawapigwi?
Eti tusipopiga tunazalisha watoto wasiokuwa na maadili

Jamani maadili hayapatikani kwa kupiga halafu mbona hatuoni waalimu wanaongea na watoto kwa adabu bali fimbo tu na ukali

Haya mnapiga na wamefaulu wametengeneza nini hao wanafunzi cha kujivunia?
Zaidi ya kusema wamefaulu vizuri
Hata kuvuka barabara hawawezi
 
Kuna muda najiuliza sana, ni nini kinacho wafanya walimu wawe hivi?
We wanafunzi wanakera! Kuna mmoja nikimuadhibu fimbo mbili za mkononi Kwa kosa lake Kisha akaniangalia akanitukana m..b...o........o ya ba...bako nikamcheki tu nikacheka.Sio walinu wote wavumilivu wa matusi .
 
Duh! Mi kama mwalimu ni kweli niliwahi kupiga wanafunzi vibaya sana, tena wengine ni wa kike, nilikuwa napiga nagaragaza, wanafunzi wa kiume nakanyaga kwa buti. Kuna wakati nilipiga mwanafunzi wa kike aliyekataa kunipikia chai, nilimcharaza viboko visivyo na idadi akiwa chini, alipoinuka tu mbio mpaka kwao kushitaki.

Mzazi wake wa kiume alikuja kwa mapambano na mimi ila hakuniona nilibaki ndani nakunywa chai akaacha ujumbe angepambana na mimi kikamilifu kwa kitendo cha kumuadhibu mwanae. Kuadhibu wanawafunzi nitaendelea kama mlezi wao ila nitakuwa makini na adhabu nitakazowapa na aina ya makosa yao.

Ikiwezekana ni kuacha kabisa kutoa adhabu kwa wanafunzi japo adhabu haziepukiki hata kama si za kuumiza mwili wa mwanafunzi, mwanafunzi atakosa huduma za kufundishwa kama kutopata ukaribu wa mwalimu wakati wa mchakato wa ufundishaji darasani. Nidhamu kwa mwanafunzi ndiyo akili yenyewe shuleni
Yaani kukataa kukupikia chai ndio ukampiga . ulikuepo na chuki binafsi nae
 
Back
Top Bottom