Tetesi: Unyama: Wamasai wa Ngorongoro waanza kukomeshwa, huduma muhimu zapigwa marufuku

Usitufanye sote ni mataga!
 
Andiko na picha uliyo bandika Haviendani weka barua ya zuio jipya mkuu
 
You have one if you were keen looking for an answer; a simplified version.
it is complicated than you think. Many people are only looking at animals and maasai who are natural residents in the area. But you need to know that there are a lot of external variables (including humans) who have invaded the area in the name of investors. As a result they have attracted a lot of people.

Kuthibiti hii hali serikali yapaswa kufunga shughuli zote mpya za uwekezaji ambazo zimefanywa ndani ya crater bila kujali mwekezaji ni rais mstaafu au mkewe, mzungu au mkenya. Crater iachwe as it was naturally na wakazi wake wa asili, who knows how to live with animals and protect the environment.
 

Umemaliza...Hawa jamaa hawafai...tunaishi nao kwa vile tu ni binadamu wenzetu ila Hawana ubinadamu wowote.
 

Tuwekee na hiyo barua mjadala unoge vizuri Erythrocyte
 
Exactly... What you are saying here summarizes all that I have been advocating for years.
Hao Wamasai waliondolewa Serengeti wakakimbilia Ngorongoro hasa ndani Crater mle shimoni. Nako waliondolewa wakaruhusiwa kuanzisha vijiji maeneo ya nje mita kadhaa kuzunguka Crater ambako hawaruhusiwi kufanya kazi nyingine tofauti na ufugaji, ujenzi wa nyumba za tope na kuzaliana.
Changamoto kubwa iliyopo ni kuwa Mamlaka ya Hifadhi (NCAA) wamekuwa inefficient and corrupt kwa kuruhusu ujenzi holela wa camps na mahoteli (kinyume cha Sheria na taratibu za NCA) wamepoteza moral audacity ya kuwasimamia wenyeji. Back in the days wenyeji walikuwa wakipokea msaada wa nafaka kila baada ya muda fulani. Sikumbuki mara ya mwisho kuona hilo zoezi ni lini.
Wenyeji nao kwa kutambua kuwa NCAA inawabania sasa wameamua kualikana kujazana hifadhini. Wapo wanaoingia ubia na matajiri wa ng'ombe, mbuzi na kondoo kwa ajili ya kusimamia mifugo hiyo hasa upande wa malisho.
Ushauri wangu mimi: Wamasai wabaki ama waondolewe, serikali haina budi kupiga marufuku ugawaji wa campsites na ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya hifadhi. Madhara ya mahoteli ni makubwa sana kwenye uhifadhi kuliko hata uwepo wa wenyeji.
Hoteli mpya zote zijengwe nje ya hifadhi. Karatu ni karibu sana.
 
Achaa uhuni na majibu ya kubuni

Ukiwa una uhakika usiandikee uongoo

Ukiwa umetumwa na watawala endelea

Lkn hilo la uongoo mchana kweupe hapana

Vijana wa sikuizi ni kama tissue.
Hichi kizazi kimelogwa sana

Mimi niko hapo

Ni Wilaya ngapi zimeriport mifugo kufa ajili ya ukame

Mwetu wewe
Afuu unatukosea boys wewe
 
Waondoke na waishi maisha ya kawaida. Population yao imeongezeka na shughuli za kibinadamu pia zikiwemo hizo za kiafya. Wanadisturb wanyama
Nafikiri pia katika jamii ambayo hawakubaliani na uzazi wa mpango kirahisi ni hawa watu pia. Miaka 30 ijayo kutakuwa na idadi kubwa sana ya watu pande hizo.
 
waziri mkuu ameenda kule hakuna hata aliyesema anamiliki ardhi pale,
 
Acha porojo hizo. Hizo shida zao zimeanza leo na ndio mnajifanya kuwasaidia!? Hapa lengo ni kuwanyang'anya makazi yao muwagee mabepari, hizo nyingine ni porojo tu.
 
waziri mkuu ameenda kule hakuna hata aliyesema anamiliki ardhi pale,
Kama waziri mkuu anasema ardhi ni mali ya serikali, ulitegemea wananchi wenye madai wapewe nafasi kumpinga!?
 
Yaani bora ungeandika kimasai labda ningeelewa unaandika nini, hujaeleweka kabsaa.
 
Wakati huo huo, mkuu wa mkoa yupo, wa wilaya yupo, mkrugenzi yupo, RPC yupo

Enzi za hayati hawa wote hawana kazi!

Ngorongoro imekuwa wimbo mzuri saana sasa, lakini huko mbele kuna Giza iwapo diplomatisia haitatumika
Hizo sifa mnazompa sijui huwa mnazitoa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…