Unyanyasaji wa kibinaadamu hasa kwa wezi siyo mzuri

Unyanyasaji wa kibinaadamu hasa kwa wezi siyo mzuri

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.

Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.

Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?

Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good. Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.
Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo. Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?
Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka walimwengu ni makatilo sana.
Ukatili si mzuri lakini hao jamaa siku wakikupitia mtazamo unaweza kubadilika dakika tuu
 
Hujawahi kuibiwa ndio maana
Nimewahi kuibiwa ila siwezi tesa mwizi kiasi hicho. Lazima uwe na huo moyo wa ukatili kwanza. Kama ule wa kumchoma mtoto mikono kwa kuiba mia mbili na kununulia mihogo.

Huo ukatili lazima uwe nao kwanza, usisingizie eti kisa umeibiwa. Ni kama yule anayemlawiti mwanaume aliyemfumania na mkewe. Huyo ni kawaida yake kuwala machoko.
 
Nimewahi kuibiwa ila siwezi tesa mwizi kiasi hicho. Lazima uwe na huo moyo wa ukatili kwanza. Kama ule wa kumchoma mtoto mikono kwa kuiba mia mbili na kununulia mihogo.

Huo ukatili lazima uwe nao kwanza, usisingizie eti kisa umeibiwa.
Uko sahihi mkuu yaani mtu umemkamata kabisa na uzuri CCTV camera zipo kwanini usimpeleke polisi muende mahakamani mkamalizane? Yaani wamempa mateso sana mengine nimeona hata aibu kuyasema hapa. Ila kama jamii tuna la kujifunza na tukubali kuacha huu ukatili kwa namna moja ama nyingine.
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good. Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.
Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo. Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?
Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka walimwengu ni makatili sana.
Siku wezi wakikuingilia na kukulawiti uje useme pia hapa kuwa wamekulawiti
 
shida iko kwenye mifumo yetu ya kimahakama, unamkamata unampeleka kesho ama kesho kutwa yuko uraiani

basi wamejitahidi anapigwa mvua 3 akitoka amekuwa sugu anakuja kukupeleka ahera kabisa

acha waendelee kuchomwa, maana anapo kuja kuiba pia anakuwa na mawili aibe ama akutangulize kama utawahi mstukia
 
Back
Top Bottom