Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Kwa hiyo biblia imehalalisha mchawi kuuawa?Mchawi na Mwizi Biblia ilishatoa hukumu zao.
Kutoka 22:18 Usimwache mwanamke mchawi Aishi.
Hapo kwenye Mwizi Sijapata mstari wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo biblia imehalalisha mchawi kuuawa?Mchawi na Mwizi Biblia ilishatoa hukumu zao.
Kutoka 22:18 Usimwache mwanamke mchawi Aishi.
Hapo kwenye Mwizi Sijapata mstari wake
Huyo itakua hajawahi kuibiwa.Na uzuri hao wezi wanapokwenda kuiba wanakuwa wamejiandaa kuiba, kuua na hata kuuawa. Hivyo ni sahihi kupata kimojawapo ya kile walichokitegemea.
Kapitie huo mstari ulipotoka unajielezaKwa hiyo biblia imehalalisha mchawi kuuawa?
Unaunga mkono mauaji?Katoe ushahidi uone!!
Wanaogoma kwenda kutoa ushahidi sio wajinga. Ndio maana "wananchi wenye hasira kali" huwa wanamalizana nao. Polisi wenyewe mkiwaita wakaja wakakuta bado hamjawashughulikia wanawashangaa.
Siku wakikuvamia wakufinye vizuri na wachukue Mali zako kibabe ndio utajua ni Kwa nini hatunaga huruma na mwiziNazungumzia hayo mateso waliyompa na sitayari wamemkamata? Kwanini wakoroge.cement wamnyweshe? Kwanini wamfunge mikono wamwagie petrol na kumchoma sio haki kabisa! Acha kutetea unyanyasaji wa kibinaadamu.
Ukimkamata mwizi mfikishe kwenye vyombo vya sheria achukuliwe hatua nasio kuchukua sheria mkononi za kumuua hapo tunatengeneza au tunabomoa!Siku wakikuvamia wakufinye vizuri na wachukue Mali zako kibabe ndio utajua ni Kwa nini hatunaga huruma na mwizi
AmenHuo ni ukatili na unyama mkubwa. Hasira ni kweli zipo lakini ndio maana Mungu akatupa huruma pia.
Aaaah!! Mie walipita na vyao mara mbili nakuta kastore kangu kapo empty. Since then nilibadili mtazamo. Acha wenye hasira kali wapite nao.Unaunga mkono mauaji?
Na hili ndio tatizo kubwa Tena wanatamba wanasema hakuna wa kuwafanya chochoteUkiwaachia polisi kesho yake unawaona tena mtaani
Vitu vyangu vya thamani havifikii thamani ya uhai.Aaaah!! Mie walipita na vyao mara mbili nakuta kastore kangu kapo empty. Since then nilibadili mtazamo. Acha wenye hasira kali wapite nao.
Lenie kwahyo vyombe vyote vya dola vipo kama polisi na mahakama lakini kwenda huko hutaki is it fair kweli?Huyo itakua hajawahi kuibiwa.
Kuna binti wa chuo aliuliwa na vibaka kisa tu alikua anapambana nao wasichukue vitu vyake asubuhi mtoto wa watu anaenda chuo.
Wakaona wamchome kisu ili asiwasumbue waibe hiyo simu binti akafariki hapo hapo, sasa hao viumbe gani wasio na utu.
Watajua wenyewe bwana, acha liwakute lolote maana ndiyo maisha waliyochagua.Vitu vyangu vya thamani havifikii thamani ya uhai.
Tena hao wanaoiba vitu vidogo ni shida tu zinawasumbua.
Nimeibiwa sana tena mmoja walitaka kumuua mbele zangu...niliwaambia wampige na kumwacha.
Niliwazuia kuua
Nina mfano hai mwizi kavunja mlango kamjeruhi dada wa watu kaiba simu na fedha kakamatwa kapelekwa polisi haikupita hata masaa ma3 yupo mtaani tena anaongea mbovu hatariHuwa wanapelekwa mahakamani na hapo watu wengi hawaendi kutoa ushahidi ndio maana wanaachiwa Futuza unadhani ukienda kutoa ushahidi mahakamani, lazima ale mvua hata miaka 3 na itakuwa fundisho.
Ndio muache tabia za wizi sasa ili msikutane na wananchi wenye hasira kali.Hao wanaotoa 'mob justice' huitwa wananchi wenye hasira kali ili kuhalalisha vitendo vyao vya ukatili, wakati hao ni wananchi wasiofuata sheria.