Unyanyasaji wa wapinzani: Namuomba Mungu anaetoa maagizo atangulie mbele za haki atuachie nchi yetu

Unyanyasaji wa wapinzani: Namuomba Mungu anaetoa maagizo atangulie mbele za haki atuachie nchi yetu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu..

Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu kwa Mungu ni amchukute huyo mtu ili nchi yetu iendelee kuwa salama.

Na kama ni mfumo, Mungu upige kofi huo mfumo usambaratike kwa faida ya hii nchi.

Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake ndio yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.

Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa. Llle pigo la kwanza inaonekana halijawapa funzo, hivyo wanastahili pigo lingine.
 
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu..

Nikirudi kwenye madal, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi la Mungu ni amchukute huyo mtu kwa wakati anaoona yeye unafaa ili nchi yetu iwe salama.


Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake nd yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu 2a 2025 mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.

Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa.
Mungu hawezi kufanya biashara na raia wa oga na upumvavu kama wa tanzania, sahau hilo.
 
Kutegemea huyo Mungu hakuwezi kubadili chochote kwa sababu hayupo, kumtaja kwenye mambo usiyokua na uwezo wa kuyashinda ni dalili ya kushindwa vita🤔
 
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu..

Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu kwa Mungu ni amchukute huyo mtu ili nchi yetu iendelee kuwa salama.

Na kama ni mfumo, Mungu upige kofi huo mfumo usambaratike kwa faida ya hii nchi.

Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake nd yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu 2a 2025 mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.

Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa. Llle pigo la kwanza inaonekana halijawapa funzo, hivyo wanastahili pigo lingine.
wengi tu hata mipesa wanatuibia mno huko serikalini ila wanaondoka na kuiacha. jueni hamtaenda nazo, vyama mtaviacha, pesa za rushwa mtaziacha, leo hii kuna fununu hazina hakuna pesa kisa mtu anazurura na midege nje ya nchi kama mali ya familia yake, Mungu hajalala. bado lipo tumaini.
 
Kutekwa kwangu jeshi la polisi wasihusishwe, wamenisaidia
 

Attachments

  • WAMENISAIDIA.mp4
    36.9 MB
wengi tu hata mipesa wanatuibia mno huko serikalini ila wanaondoka na kuiacha. jueni hamtaenda nazo, vyama mtaviacha, pesa za rushwa mtaziacha, leo hii kuna fununu hazina hakuna pesa kisa mtu anazurura na midege nje ya nchi kama mali ya familia yake, Mungu hajalala. bado lipo tumaini.
Hakuna cha tumaini ni kupambana na huu mfumo ovu
 
Shida ya upinzani wa Tanzania ni wapinzani wenyewe, vyama vikubwa vya upinzani kuna MADALALI na WAFANYABIASHARA wa siasa. Hakuna matumaini yoyote
 
wengi tu hata mipesa wanatuibia mno huko serikalini ila wanaondoka na kuiacha. jueni hamtaenda nazo, vyama mtaviacha, pesa za rushwa mtaziacha, leo hii kuna fununu hazina hakuna pesa kisa mtu anazurura na midege nje ya nchi kama mali ya familia yake, Mungu hajalala. bado lipo tumaini.
Hiyo ni sauti ya kukiri kushindwa mkuu.
 
Huyu Mungu mnamchosha tu bure kawapa utashi na maarifa mmeshindwa kutumia.Mpo humu mnalia lia tu.Na bado ndo kwanza mambo yanaanza.2025 mtalia na kuomboleza kwa faulo za kutosha.
 
Huyu Mungu mnamchosha tu bure kawapa utashi na maarifa mmeshindwa kutumia.Mpo humu mnalia lia tu.Na bado ndo kwanza mambo yanaanza.2025 mtalia na kuomboleza kwa faulo za kutosha.
Sasa wanaoumia sio chadema na wala usidhani chadema inakomolewa la hasha ni wananchi.
 
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu..

Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu kwa Mungu ni amchukute huyo mtu ili nchi yetu iendelee kuwa salama.

Na kama ni mfumo, Mungu upige kofi huo mfumo usambaratike kwa faida ya hii nchi.

Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake nd yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu 2a 2025 mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.

Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa. Llle pigo la kwanza inaonekana halijawapa funzo, hivyo wanastahili pigo lingine.


Wewe zuzu la ufipa,kama unaona mnaonewa chukueni hatua za kiume kukabiliana na huo uonevu.....sio unaleta hadithi za kuomba Mungu,kwani unafikiri Mungu ni Babu yako? buree kabisa!!
 
Wewe zuzu la ufipa,kama unaona mnaonewa chukueni hatua za kiume kukabiliana na huo uonevu.....sio unaleta hadithi za kuomba Mungu,kwani unafikiri Mungu ni Babu yako? buree kabisa!!
Kama ni bibi yako au mama yako urajua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom