Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
JF simameni katikati, hapa hajatajwa mtu..
Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu kwa Mungu ni amchukute huyo mtu ili nchi yetu iendelee kuwa salama.
Na kama ni mfumo, Mungu upige kofi huo mfumo usambaratike kwa faida ya hii nchi.
Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake ndio yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.
Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa. Llle pigo la kwanza inaonekana halijawapa funzo, hivyo wanastahili pigo lingine.
Nikirudi kwenye mada, Kama kuna mtu wa ngazi yoyote anatoa maagizo wagombea wa upinzani wanyanyaswe kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa, ombi langu kwa Mungu ni amchukute huyo mtu ili nchi yetu iendelee kuwa salama.
Na kama ni mfumo, Mungu upige kofi huo mfumo usambaratike kwa faida ya hii nchi.
Nasema hivi kwasababu, kama huyo mtu yupo na maagizo yake ndio yanapelekea huu unyanyasaji unaondelea, basi ni wazi kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, mtu huyo anaweza kuiweka nchi katika sintofahamu kubwa . Hivyo, ni bora mtu huyo atangulie mbele za haki kwa faida ya mamilioni ya watanzania na Taifa kwa ujumla.
Mungu tusaidie kwa kadri unavyoona inafaa. Llle pigo la kwanza inaonekana halijawapa funzo, hivyo wanastahili pigo lingine.