Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Na ni expensivie sana hizo dialysis services , ni familia ngapi au watu wangapi wenye uwezo wa kugharamia hiyo dialysis ambayo ni pesa ndefu kwa mwezi ?
Watu hawatumii akili kabisa
Watu wanatengeneza vifo vyao wenyewe ,ni ujinga
Mzee wangu mdogo tunamfanyia dialysis mwaka wa tano huu na hajawahi kunywa pombe ya aina yoyote ni mlokole kabisa .

Japo pombe inaweza kuwa chanzo ila tatzo la Figo linachangiwa na mambo mengi.
 
AZUMA ni dawa za nini??

Maana kuna madam nilimsikia anaonbgea na simu anatamka dr kampa hiyo azuma azuma.
Dawa Fulani hivi ya kifala iliyokuzwa sana na wafanya NGONO ZEMBE kuwa Ina tibu U.T.I (actually wabongo wengi wanadumbukiwa na Chlamydia) maarufu GONO

AZUMA ni moja kati ya USELESS antibiotics zilizokuzwa sana
Kiasi zimejaa sana feki mtaani
 
Pombe inaweza kuwa kisababishi Cha magonjwa ya Figo ila sio kwa asilimia kubwaaaa kama walokole wanavyokoleza hapo!
Vipi visababishi vingi mno kama baadhi ya wadau walivyovitaja hapo,hatuwezi kukwepa vyote Cha msingi tuongeze umakini na kupeana elimu kuhusu hili tatizo Ili kulipunguza
 
Kuna jamaa tumekaa nae kaunta.....akaanza na nusulita maji kilimanjaro, then konyagi kischana, zikafuata kilimanjaro kubwa 3...naondoka namuacha anaendelea na Drostdy Hof red ile chupa kubwa.
Huo mchanyiko ni Immiscible liquids, hatari sana.
Mkuu wewe ulitumia nini hapo Counter??
 
Umejuaje pombe ndio chanzo?

Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara
How herbal medicine?
 
Hata Bongo Wachina wanatengeneza tu majumbani. TBL wamepunguza kutengeneza Konyagi na K-Vant kwa sababu soko liko saturated na fakes...
Hao wamepinguza uzalishaji coz, walibweteka wakakosa ubunifu, Sawa na maji ya Kilimanjaro. Then sina uhakika kama TBL walishawahi tengeza Kvant
 
Back
Top Bottom