Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Tatizo umeweka umuhimu sana kwenye maisha ya watu..[emoji1787]
Zero IQ wew ,soma content na uelewe bastard wew ,inamaana ukisikitika kumpoteza mtu ndo umeweka umuhimu kwake? Kuwa makini nisije kukufanyia rimming
 
Mimi nawashangaa sana hawa wanaoweka idadi ya lita za maji .

Jitu linakunywa maji lita 5 linakojoa muda wote mkojo mweupe alafu anajisifia wakati anachosha figo.
Average mwanadamu wa kawaida asiye na shughuli za kumtoa maji mengi na anayekaa mazingira ya hali ya hewa ya wastani lita 2 za maji zinamtosha.
Izo lita 5 ni kwa athletes sababu wanapoteza maji mengi.
 
Kutokunywa maji lita 3 itoe hapo. Hakuna sehemu unatakiwa unywe maji kiasi hicho. Mwili una respond wenyewe unapokuwa na kiu. Unapokuwa na kiu kunywa maji.
Kunywa maji mengi ni kuzichosha figo vile vile na maji yanaondoa mwilini nutrients zingine kama Calciums.
Kunywa maji pale mwili unaporespond uhaba wa maji mwilini kwa kuhisi kiu tu.
Watanzania wengi hukariri ndo maana hata dawa wamekaririshwa kutwa mara 3 ila ukizisoma dawa ni kwamba wataliwa unywe kwa mtengano wa masaa 6 na mwisho vidonge 8

Dawa za minyoo watu hutumia mara moja ila kwa uhalisia ukisoma ni kuwa watakiwa utumie angalau kwa wiki nzima ili uweze ua minyoo aina zote
 
Hapo vyote si ishu hapo
Umesahau jambo kubwa ambakao karibu 80% Kwa ambao hawana matatizo yoyote ila FIGI zinafeli ghafra basi ni kutokana
Matumizi yasiyo SAHIHI ya ANTIBIOTIC

AZUMA(Azithromycin)
POWERSELF SINDANO (ceftriaxone)
DOXYCYCLINE(tetracycline)
ZINDOLIN(Ciprofloxacin)

Hizo dawa ndio zinawaondoa VIJANA wengi Kwa FIGO kuferi 7bu ya NGONO zembe DISPENSARY ucharwa kumeza hivyo Kuna wengine wanatembea na Ciprofloxacin(ZINDOLIN) mfukoni
Akimaliza kut*mba tu anabwia hiyo midawa

FIGO zitaachaje kufeli
Kuna watu hawajawahi patwa na magojwa ya gono
 
Back
Top Bottom