Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
- Thread starter
- #81
Asante sanaPole kwa mtoa mada, mkuu kuna faida, kheri gani ya kuuona mwaka mpya kisha kufariki siku moja, mbili baada ya mwaka mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaPole kwa mtoa mada, mkuu kuna faida, kheri gani ya kuuona mwaka mpya kisha kufariki siku moja, mbili baada ya mwaka mpya?
Asante sanaPole yao sana wafiwa...
Daa ,starehe zingine aiseeNilikua kilimanjaro juzi kati..yani kule ni hurumaaa..kuna kijana wa kazi toka nimefika mpk naondoka kichwa chake kimejaa pombe muda wote..sijui anakunywa saa ngapi...
Zero IQ wew ,soma content na uelewe bastard wew ,inamaana ukisikitika kumpoteza mtu ndo umeweka umuhimu kwake? Kuwa makini nisije kukufanyia rimmingTatizo umeweka umuhimu sana kwenye maisha ya watu..[emoji1787]
HeheheheheKumekuwa na wimbi kubwa sana la pombe feki kwa sasa. Hivi sasa ni bora zaidi ukanywa Gongo kuliko St.Anna.
Wanajikuta wao ndo wanajua kuseti headingWamekuja kuitengeneza heading
Aisee huu ni uzwazwa wa JF,
Ilivyokuwa mwanzo ndio inavutia watu kuingia, sasa imegeuka gazeti la afya...wote wanakula kona...
Pombe kali hata ule chakula lazima iharibu figo tuPombe mwenzie ni chakula, unalewaje na njaa?.
Soon na Hennessy itaanza kufyatuliwa kitaaUkisha
Huu ushenzi serikali umeufumbia macho kipndi chote hicho[emoji849]
Naona mpka Jack Daniel anafyatuliwa tu kitaa[emoji848][emoji848]
[emoji16]Unatakataasisii ya jk
Walipwe nanani mshaharaaaa??
Average mwanadamu wa kawaida asiye na shughuli za kumtoa maji mengi na anayekaa mazingira ya hali ya hewa ya wastani lita 2 za maji zinamtosha.Mimi nawashangaa sana hawa wanaoweka idadi ya lita za maji .
Jitu linakunywa maji lita 5 linakojoa muda wote mkojo mweupe alafu anajisifia wakati anachosha figo.
Kaaalii eeeheee endekezaa biaaaa uoneePombe kali hata ule chakula lazima iharibu figo tu
Asilimia 99 ni pombeUmejuaje pombe ndio chanzo?
Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara
Watanzania wengi hukariri ndo maana hata dawa wamekaririshwa kutwa mara 3 ila ukizisoma dawa ni kwamba wataliwa unywe kwa mtengano wa masaa 6 na mwisho vidonge 8Kutokunywa maji lita 3 itoe hapo. Hakuna sehemu unatakiwa unywe maji kiasi hicho. Mwili una respond wenyewe unapokuwa na kiu. Unapokuwa na kiu kunywa maji.
Kunywa maji mengi ni kuzichosha figo vile vile na maji yanaondoa mwilini nutrients zingine kama Calciums.
Kunywa maji pale mwili unaporespond uhaba wa maji mwilini kwa kuhisi kiu tu.
Kuna watu hawajawahi patwa na magojwa ya gonoHapo vyote si ishu hapo
Umesahau jambo kubwa ambakao karibu 80% Kwa ambao hawana matatizo yoyote ila FIGI zinafeli ghafra basi ni kutokana
Matumizi yasiyo SAHIHI ya ANTIBIOTIC
AZUMA(Azithromycin)
POWERSELF SINDANO (ceftriaxone)
DOXYCYCLINE(tetracycline)
ZINDOLIN(Ciprofloxacin)
Hizo dawa ndio zinawaondoa VIJANA wengi Kwa FIGO kuferi 7bu ya NGONO zembe DISPENSARY ucharwa kumeza hivyo Kuna wengine wanatembea na Ciprofloxacin(ZINDOLIN) mfukoni
Akimaliza kut*mba tu anabwia hiyo midawa
FIGO zitaachaje kufeli
InasikitishaDaa ,starehe zingine aisee
Mim mwenyewe sijawai pata hayo magonjwaKuna watu hawajawahi patwa na magojwa ya gono
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la pombe feki kwa sasa. Hivi sasa ni bora zaidi ukanywa Gongo kuliko St.Anna.
Mfano....Water and kerosine ukichanganya/Unajua maana ya immiscible liquids?
Sasa huo mfano unafananae na kile ulichosema awaliMfano....Water and kerosine ukichanganya/