Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
too much is harmful tunywe kistaarabu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda zakoSio figo tu ,na maini pia watu wanateketea sana
Mnaona sifa kunywa pombe kali ,tena unakuta mazoba flani yanachanganya hivyo vivywaji kabisa bila kujua side effects ya kuchanga ya contents za vinywaji vyenye chemical ingredients tofauti tofauti ni kutengeneza sumu na kuoverload figo na maini
Sijui huu ulimbukeni na ushenzi watanzania walijitokeza wapi .
Pombe ya aina yoyote ni hatari kwa afya yako
Naomba nikupuuze tafadhali...😏Zero IQ wew ,soma content na uelewe bastard wew ,inamaana ukisikitika kumpoteza mtu ndo umeweka umuhimu kwake? Kuwa makini nisije kukufanyia rimming
Zamani walikuwa wanakunywa pombe za kienyeji zilizotengenezwa kwa mahindi, mtama, au ulezi, ambazo zilikuwa kama chakula.Daa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.
Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Haya mateso yote ya nini? Kwani starehe ni moja!kwa ukari wa pombe zenyewe afu kwa buku mbili tutapoteza wengi,, ewe mlevi ukishakunywa pombe asubuh yake jitahid unywege maji mengi itasaidiku kuondoa sumu mwilin we gonga hata lita tano kwa siku hiyo
na kwanini unywe kupitiliza kuna miamba ikienda bar cret zima linagonga peke yake kwa hali hy figo zisifel tuHaya mateso yote ya nini? Kwani starehe ni moja!
Kisungura elfu mbili tu. Anaweza kutembea nacho mfukoni. Viko kwenye chupa za PET.Kabisa kunamtu akiamka tu Yuko tungi unsjiuliza kanywa wapi na bar hawajafungua 😂😂
Mjadala usiwe mrefu, ulitaka kusemaje?Sasa huo mfano unafananae na kile ulichosema awali
Usichanganye madesaMjadala usiwe mrefu, ulitaka kusemaje?
Ndio wameona fashion kabisa , yaani wabongo ni watu wa ovyo sanaYani wanachanganya pombe zenye ingredients tofauti kama vile wako maabara aisee
Fikiria unatunza ini lako weeeee,huku ukinywa vinywaji laini laini ila mwisho unagongwa na treni....what a waste.
Afadhali ufe kwa ajali kwa maana hautakuwa umegharamika kwa matibabu. Wakati unauguza figo hata kupata usingizi ni shida. Muda unaotumika kuutibu huo ugonjwa through dialysis pia ni mwingi.![]()
Au unamuhimiza bodaboda akimbie uwahi job, anakuingiza kwenye tairi ya Fuso.![]()
Na ni expensivie sana hizo dialysis services , ni familia ngapi au watu wangapi wenye uwezo wa kugharamia hiyo dialysis ambayo ni pesa ndefu kwa mwezi ?Afadhali ufe kwa ajali kwa maana hautakuwa umegharamika kwa matibabu. Wakati unauguza figo hata kupata usingizi ni shida. Muda unaotumika kuutibu huo ugonjwa through dialysis pia ni mwingi.
Epukeni ujinga
Sawa Mkemia.Usichanganye madesa
Stupidity is like a disease. Someone thinks kutibu ugongwa wa figo ni sawa na kutibu homaNa ni expensivie sana hizo dialysis services , ni familia ngapi au watu wangapi wenye uwezo wa kugharamia hiyo dialysis ambayo ni pesa ndefu kwa mwezi ?
Watu hawatumii akili kabisa
Watu wanatengeneza vifo vyao wenyewe ,ni ujinga
KumbeKisungura elfu mbili tu. Anaweza kutembea nacho mfukoni. Viko kwenye chupa za PET.
Muone[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Au unamuhimiza bodaboda akimbie uwahi job, anakuingiza kwenye tairi ya Fuso.
AZUMA ni dawa za nini??Hapo vyote si ishu hapo
Umesahau jambo kubwa ambalo karibu 80% Kwa ambao hawana matatizo yoyote Yale ila FIGO zinafeli ghafra basi ni kutokana
Matumizi yasiyo SAHIHI ya ANTIBIOTIC
AZUMA(Azithromycin)
POWERSELF SINDANO (ceftriaxone)
DOXYCYCLINE(tetracycline)
ZINDOLIN(Ciprofloxacin)
Hizo dawa ndio zinawaondoa VIJANA wengi Kwa FIGO kuferi 7bu ya NGONO zembe DISPENSARY ucharwa za mtaani
kumeza hovyo hovyo unavyofeel dalili za U.T.I
Kuna wengine wanatembea na Ciprofloxacin(ZINDOLIN) au AZUMA mfukoni
Akimaliza kut*mba tu anabwia hiyo midawa
FIGO zitaachaje kufeli
Inaelekea huko nchii imejaa ufeki kila kona.Soon na Hennessy itaanza kufyatuliwa kitaa