Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hivi ulifanikiwa Kweli kuacha ili nitimize ahadi yangu ya kutembea kwa miguu[emoji23]Watafiti wenyewe walevi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ulifanikiwa Kweli kuacha ili nitimize ahadi yangu ya kutembea kwa miguu[emoji23]Watafiti wenyewe walevi
Hii walishawahi kusema.Watafiti wenyewe wanakunywa pombe. Baadaye watatwambia hata kulala na mkeo kuna madhara
Kiroho ndio mbaya zaidi. Nawaonea huruma wanywaji wa pombe ninaposoma maneno haya ya Biblia:Hata kiroho pia
Unaithamini sana pombe. Hujasoma maneno haya ya mfalme Suleiman?Mh!! Ebu kuwa muungwana kidogo, acha kufananisha pombe/ Bia/UGIMBI na vitu vya kijinga kama Corona
Kweli kabisa, mwambie tena shetani akupishe, upite, asije akakufanya ushindwe kuiona mbingu kwa sababu ya pombe, bia au ugimbi. Shetani yeye ameishahukumiwa; anachofanya sasa ni kuwavuta wanadamu kwenye anasa za dhambi ili siku ile ya mwisho waangamie wote jehanum ya moto.Hebu nipishe
Kwenye amri za mungu hakuna sehemu wamesema pombe ni dhambi. Yaani ninywe glass ya wine nilale zangu halafu mungu aje kunichoma moto baadae? You are not serious mkuu. Yesu mwenyewe kwenye harusi ya Kana alitengeneza pombe watu wakanywa na kusaza.Kweli kabisa, mwambie tena shetani akupishe, upite, asije akakufanya ushindwe kuiona mbingu kwa sababu ya pombe, bia au ugimbi. Shetani yeye ameishahukumiwa; anachofanya sasa ni kuwavuta wanadamu kwenye anasa za dhambi ili siku ile ya mwisho waangamie wote jehanum ya moto.
Kiroho ndio mbaya zaidi. Nawaonea huruma wanywaji wa pombe ninaposoma maneno haya ya Biblia:
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi…"(1Kor 6:9-11)
Hiyo Biblia yako kama inasema Yesu alitengeneza pombe, ni feki. Tafuta Biblia og.Kwenye amri za mungu hakuna sehemu wamesema pombe ni dhambi. Yaani ninywe glass ya wine nilale zangu halafu mungu aje kunichoma moto baadae? You are not serious mkuu. Yesu mwenyewe kwenye harusi ya Kana alitengeneza pombe watu wakanywa na kusaza.
Mbona inaruhusu kunywa divai sio pombeUtafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!
Watafiti katika Chuo Kikuu cha Oxford wanasema hata unywaji kiasi wa pombe unahusishwa na kuenea zaidi kwa athari mbaya kwenye ubongo kuliko ilivyotambuliwa awali. Utafiti huo umebaini kwamba kiasi chochote cha unywaji wa pombe kinaweza kukuletea madhara kwenye ubongo wako.
Utafi huo uliofanyika kwa kutumia hazina ya sampuli za Ulaya unasema : "Hakuna kiasi salama cha pombe kwa ubongo kilichobainika. Unywaji wa kiasi wa pombe unahusishwa zaidi na kusambaa kwa athari mbaya kwenye ubongo kuliko ilivyotambuliwa awali."
Utafiti huo uliwahusisha washiriki 25,378 kwa kutumia data kama vile umri, jinsia, elimu , ripoti binafsi ya kiwango cha unywaji wa pombe, ukubwa wa ubongo na afya kwa kutumia scan za MRI, taarifa kuhusu hospitali na matibabu ya bila kulazwa, pamoja na vipimo vya kumbukumbu. Pia ulibaini kuwa unywaji wa pombe ulichangia kwa kiasi kikubwa athari nyingine zilizosababishwa na mambo mengine, ikiwa ni pamoja na uvutaji wa sigara.
Walibaini kuwa hapakuwa na kiwango "salama" cha unywaji wa pombe, ikimaanisha kuwa unywaji au kiasi chochote cha pombe ni kibaya kuliko kutokunywa kabisa pombe. Walibaini pia kwamba haijalishi unakunywa aina gani ya pombe. Na kwamba hali fulani alizonazo mtu kama vile shinikizo la juu la damu, unene wa kupindukia wa mwili, vinaweza kuwaweka watu katika hatari ya juu. Watafiti waliongeza.
Wataalamu wa magonjwa ya ubongo wanasema wakati bado hatujapata dawa za tiba kwa magonjwa yanayoathiri ubongo kama dementia, kufahamu juu ya mambo yanayoweza kuzuia madhara ya ubongo ni muhimu kwa afya ya umma.
Source: BBC
Nionyeshe waliposema divai njema. Walisema alitengeneza divai hawakuspecifyHiyo Biblia yako kama inasema Yesu alitengeneza pombe, ni feki. Tafuta Biblia og.
Yesu alitengeneza divai njema(isiyolewesha)