Utafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!