Unywaji wa pombe una athari mbaya kwenye ubongo, utafiti wabaini

Hawa wazungu wanataka tufe na stress, pombe angalau inasahaulisha matatizo kwa muda...sasa ukae mkavu tu siku zote haki ubongo wenyewe lazima ukutume relaxers

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hata kiroho pia
Kiroho ndio mbaya zaidi. Nawaonea huruma wanywaji wa pombe ninaposoma maneno haya ya Biblia:
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi…"(1Kor 6:9-11)
 
Mh!! Ebu kuwa muungwana kidogo, acha kufananisha pombe/ Bia/UGIMBI na vitu vya kijinga kama Corona
Unaithamini sana pombe. Hujasoma maneno haya ya mfalme Suleiman?
"Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima."(Mit 20:1).

Wine is a mocker, and beer is a brawler. Whoever is led astray by them is not wise.
 
Hebu nipishe
Kweli kabisa, mwambie tena shetani akupishe, upite, asije akakufanya ushindwe kuiona mbingu kwa sababu ya pombe, bia au ugimbi. Shetani yeye ameishahukumiwa; anachofanya sasa ni kuwavuta wanadamu kwenye anasa za dhambi ili siku ile ya mwisho waangamie wote jehanum ya moto.
 
Kwenye amri za mungu hakuna sehemu wamesema pombe ni dhambi. Yaani ninywe glass ya wine nilale zangu halafu mungu aje kunichoma moto baadae? You are not serious mkuu. Yesu mwenyewe kwenye harusi ya Kana alitengeneza pombe watu wakanywa na kusaza.
 

Ameen Ameen Ameen Mkuu..

Ahsante Mkuu kwa kuongezea nyama,haswa uzinzi tena ndo kaa la moto kabisa.

Ndio maana kwa mkristo itapendeza after 6hrs/3hrs aombe toba kwa Mungu.

Kwa sabbu ya dhambi ya matamanio + kuwazia
 
Kwenye amri za mungu hakuna sehemu wamesema pombe ni dhambi. Yaani ninywe glass ya wine nilale zangu halafu mungu aje kunichoma moto baadae? You are not serious mkuu. Yesu mwenyewe kwenye harusi ya Kana alitengeneza pombe watu wakanywa na kusaza.
Hiyo Biblia yako kama inasema Yesu alitengeneza pombe, ni feki. Tafuta Biblia og.
Yesu alitengeneza divai njema(isiyolewesha)
 
Mbona inaruhusu kunywa divai sio pombe
 
Wasomi wasikuhizi wepesi sana nilijua bongo tu kumbe in TATIZO La DUNiA
 

Utakua mzinzi na msengenyaji sana
 
Hiyo Biblia yako kama inasema Yesu alitengeneza pombe, ni feki. Tafuta Biblia og.
Yesu alitengeneza divai njema(isiyolewesha)
Nionyeshe waliposema divai njema. Walisema alitengeneza divai hawakuspecify
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…