luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Ukiwakataa itakuwa unawatendea kinyume na ubinadamu!Wakijileta wakatae kwa usalama wa roho yako. Dunia ina mwisho, ndugu
Misamiati ya nini??Utafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!
Awe na adabu kidogoMh!! Ebu kuwa muungwana kidogo, acha kufananisha pombe/ Bia/UGIMBI na vitu vya kijinga kama Corona
Yaani wewe hamnazo kabisa.... preferences...kunyoa ni muhimu kwako....ulevi kupindukia unapelekea kitu tunaita ULAIBU (addicted) mtu akifia hatua hii yaani akiwa na elfu mfukoni, then kichwani minywele mikubwa na kidevu kimechafuka ndevu, basi ile buku 3 ukimwambia achague aende saloon au akanywe bia ...huyo mlevi atachagua BIA ukifia hatua hii ujue kila kitu ktk system ya maisha yako ni KWISHAAAAA
Kweli kiwango chako cha kuelewa ni kidogo sanaaYaani wewe hamnazo kabisa.... preferences...kunyoa ni muhimu kwako....
Ungesema una laki mfukoni...ukaambiwa cement imeisha...na huna akiba ya bia..unachagua kunyoa nywele...mtoto anatakiwa laki shuleni...utachagua kunyoa???
Tafakar tena. Vuzi linaweza kusubiri
Haya mambo ni kuacha km yalivyo,tumwachie Mungu mweza na mwamuzi wa yote.Watafiti wenyewe wanakunywa pombe. Baadaye watatwambia hata kulala na mkeo kuna madhara
Kwa hiyo wewe umesoma hapo tu Halafu ukaja ku generalize?,Soma na hapa Mhubiri 9:7;Mithali 31:6-7;Ambapo Biblia imeruhusu Kutumia Kileo.Utafiti huo unathibitisha pasina shaka kuwa Biblia ni kitabu cha kweli. Watafiti wanagundua leo madhara ya pombe; yenyewe Biblia ilishaona madhara mengi miaka mingi iliyopita. Look how it says in the Book of Proverbs:
"Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye,Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu? …Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu; mwisho wake huuma kama nyoka.Huchoma kama fira. Macho yako yataona mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka.Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti. Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; wamenipiga wala sina habari…" That was written thousands of years ago!
Mkapa yupi ??,Marehemu aliyewahi kuwa Rais au Mkapa mwingine??, maana wapo akina Mkapa wengi sana.Ile konyagi aliyokuwa anakunywa Mkapa we husogelei.
Ongea na serikali wapige marufuku.
Alikuwa anatumia pombe kama kichocheo? Kwahiyo bila pombe mtu hasomi. Hapo si tayari ameishaathirika.Huu utafiti ni uongo mtupu,Kuna njemba nimesoma nayo ilikuwa inabugia pombe balaa lkn darasani alikuwa anafanya vizuri Sana.Alikuwa anatumia pombe km kichocheo cha yeye kusoma,hii unaizungumziaje?.
UTAFITI GANI HUU,HAUNA SIFA YA KUITWA UTAFITI.Utafiti hupingwa kwa utafiti