Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Usichambe kabla ya kunya..... hajasema usipokunywa hufi... ngoja nipoteze mda kukuelewesha.... ni hivi ulitumia saana kama wanavyo fanya hao wanywaji baadae watapata changamoto za kiafya ambazo zitawagharimu saana kiuchumi na hat kifo.... ukinielewa kunya sasa ndo uchambe
Kwenye maisha kila mtu anapita njia yake.Kwahiyo sio ajabu wewe ambaye hutumii hivyo vitu nfio ukasumbua watu kwa magonjwa ya figo uku ambaye anatumia kila siku asisumbuke.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama serikali inashughulika unapozaliwa, inakupa chanjo, inakusomesha kwa kodi za raia kuwa daktari, mwalimu, nesi n.k au ina kutrain kuwa askari, polisi, kiongozi, jasusi n.k halafu unakufa mapema kizembe si ni hasara kwa nchi?! Hapa lazima kujali kuwepo.
Mtu anayetaka maisha mafupi lakini matamu naye utataka kumlazimisha asile na kunywa anachotaka wakati kashakwambia anajua, ila hajali?

Wewe una haki gani ya kumlazimisha mtu mwingine awe na maisha marefu?
 
Kama serikali inashughulika unapozaliwa, inakupa chanjo, inakusomesha kwa kodi za raia kuwa daktari, mwalimu, nesi n.k au ina kutrain kuwa askari, polisi, kiongozi, jasusi n.k halafu unakufa mapema kizembe si ni hasara kwa nchi?! Hapa lazima kujali kuwepo.
Serikali haijaweka sheria ya kuzuia watu kunywa soda, hizo ni shobo zenu tu.

Ukishamwambia mtu ubaya wa soda, kutoka hapo, uamuzi ni wake.

Hata hiyo chanjo hailazimishwi, itakuwa hiyo soda?

Tumeona watu kibao wamekataa kuchanjwa chanjo ya Covid, katikati ya pandemic.
 
Serikali haijaweka pia sheria ya kuzuia watu wasivute sigara, ila sio kwamba wanaopiga kelele dhidi ya matumizi ya sigara ni shobo,
ni concerned citizens.
Serikali haijaweka sheria ya kuzuia watu kunywa soda, hizo ni shobo zenu tu.

Ukishamwambia mtu ubaya wa soda, kutoka hapo, uamuzi ni wake.

Hata hiyo chanjo hailazimishwi, itakuwa hiyo soda?

Tumeona watu kibao wamekataa kuchanjwa chanjo ya Covid, katikati ya pandemic.
 
Serikali haijaweka pia sheria ya kuzuia watu wasivute sigara, ila sio kwamba wanaopiga kelele dhidi ya matumizi ya sigara ni shobo,
ni concerned citizens.
Mkuu,

Naelewa concerned citizens, mimi mwenyewe sipendi kuona watu wanapata matatizo ya afya.

Lakini, ukishamuelimisha mtu sigara mbaya, halafu mtu hataki kuacha, hapo sasa ukiendelea kumlazimisha aache unamuingilia uhuru wake.

Kwa sababu anaweza kukuambia yeye anapenda sigara kuliko anavyopenda afya yake, na hajali kama atakufa mapema, anajali apate utamu wa sigara.

Sasa hapo utamlazimisha mtu aache sigara? Wakati yeye kashaamua afya yake na sigara, anataka sigara?
 
Punguza kisirani Dogoo!!!kwa hiyo unalazimisha watu waamini upuuzi wako,,, kwani wakinywa wewe unapungukiwa au unadhurika na nini??acha roho ya kichawi,,,tumia hiyo fursa fungua grocery wauzie upige hela,,,Farlaahhh wee!!!
We mzee wenzako wanalima we unakomaa na mitandao ndo mana mvua hazinyeshi
 
Hivi vinywaji ni kama waliweka uchawi ukishaanza kutumia huwezi kuacha
 
Ukweli siku zote unauma na watu hawako tayari kuupokea lakini ni ukweli kabisa vinywaji vingi sasa ni silent killer na sababu ni biashara za watu ukiongea hivi unapingwa ni jambo LA msingi kila mmoja awe makini kwa anacho kula na kunywa
Kweli Kabisa wengi tumeshuhudia hili
 
Energy drinks niliambiwa zinaumiza sana figo , kama ni kweli miaka 10 ijayo tutarajie kesi nyingi zaidi za magonjwa ya figo na figo kufeli
Nadhani hiyo miaka 10 baadae itakuwa ni sasa. Nenda pale muhimbili katazame kitengo cha figo. Kule zilipowekwa mashine za kusafisha figo halafu kaongee na wauguzi wakupe takwimu ya idadi ya wagonjwa wanaopokea wenye shida za figo. Utasikitika sana ndugu.
 
Hao madokta wenu wa kisabato watawaua kwa hofu

Binadamu wa zamani walishindia matunda na nyama mbichi lakini wako wapi? wamekufa wote

We achana na sisi kufa kupo tu
As long as tunaenjoy
Tusitishane.

Niko napata coka,supu ya makongoro na chapati nne hapa . Alaaah
Ndo waliosema ukiweka mfupa wa paja la kuku kwenye soda ya coca cola, unayeyuka.
 
Nadhani hiyo miaka 10 baadae itakuwa ni sasa. Nenda pale muhimbili katazame kitengo cha figo. Kule zilipowekwa mashine za kusafisha figo halafu kaongee na wauguzi wakupe takwimu ya idadi ya wagonjwa wanaopokea wenye shida za figo. Utasikitika sana ndugu.
Profesa janabi amezungumzia hili jana kuwa Muhimbili inaelemewa na wagonjwa wa figo, Kwa siku Inapokea Wagonjwa 120 Hadi 130
 
Back
Top Bottom