Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Vinywaji vya sukari na vileo vya viwandani sio rafiki kwa afya ya binadamu. Sio vizuri kutumia mara kwa mara.
 
Mwaka jana nilienda home kusalimia nikakuta bi mkubwa anajenga banda la nguruwe basi nikasimamia kidogo mafundi wakawa wamemaliza katika kusafisha mazingira niliokota kopo za energy drink za azam na mo extra zaidi ya 70 na hizo ni zile wanazokunywa wakifika kazini kulikua na mafundi wanne tu kwenye kazi kile kitu kilinishangaza na muda wa kazi ilikua kama wiki mbili na kidogo nikaja kumuuliza fundi mkuu vipi mbona energy nyingi? Akanijibu asee siwezi anza kazi bila chupa moja mchana akila anakunywa au apige soda alafu jioni akifunga kazi lazima apitie dukani anunue moja kwa siku anasukuma 2 mpka 3 asee ni hatari
Duu
 
Miaka 10 ijayo madaktari watakuwa bize sana. Nna kiduka mtaani kwetu nauza na vileo, kuna mteja mmoja kwa siku anaweza kunywa Ambiance 5 kwa siku na kila akinunua Ambiance ananunua na Energy. Just imagine nini hatima yake? Kwa wasioijua Ambiance ni sawa na Kitoko/Double Kiki huko Daslam
Duu
 
Hiyo ya unga ndio vumbi la congo ila kijana una balaa [emoji23] ukishamkamata mshangazi hapo kwisha habari yake
😆😆😆😆 acha nicheke kizungu yaani kumkamata mshangazi tena.
 
Punguza makasiriko dogo!!kwani akifa kwa changamoto za kiafya wewe inakuhusu na kukuuma nini??mbona watz tunapenda kupangiana maisha,,,Wewe jali ya kwako ya watu yatakupotezea mda wako bure na wala hayatakusaidia lolote,,,tunaomba uwe mtulivu dogo!!###NyokooMbiliWewe###
Sasa na wewe kwann uhangaike na mimi usihangaike na maisha yako?? Watu ka wewe mnakuaga mashoga mkijifanya hamtaki kuingiliwa mambo yenu
 
Miaka 10 ijayo madaktari watakuwa bize sana. Nna kiduka mtaani kwetu nauza na vileo, kuna mteja mmoja kwa siku anaweza kunywa Ambiance 5 kwa siku na kila akinunua Ambiance ananunua na Energy. Just imagine nini hatima yake? Kwa wasioijua Ambiance ni sawa na Kitoko/Double Kiki huko Daslam
Ubize kwa madaktari umekwisha anza kitambo..juzi kati nilikuwa pale taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete..aiseee,asikuambie mtu..doctors wapo busy tangu saa kumi usiku wanaingia shift wengine wanatoka.

Watu wanaofanyiwa upasuaji ni zaidi ya 50 kwa siku..hali sio nzuri!
 
Hakuna tunachokula kilicho salama kwa sasa mkuu, hizo mbogamboga tu zina chemicals za kutosha. Ukisema tuache kula na kunywa chemicals labda wote turudi shamba tukalime wenyewe kwa mbolea ya mboji/samadi.
Kabisa mkuu..sio mboga mboga au matunda,vyote ni hovyo. Matunda yanavundikwa yakiwa machanga ili yaive.
 
Miji mingi yenye hali ya hewa ya joto wengi tumeshuhudia. Matumizi makubwa ya soda na vinywaji vya energy. Baadhi ya watu hutumia soda hadi tatu kwa siku pamoja na vinywaji vya energy, na wengi wao wanakuambia hawawezi maliza siku bila kunywa soda/energy

Wengi wa wanaofanya kazi juani muda mrefu mfano mzuri Ni mafundi ujenzi. Vijana wa boda boda, wamachinga Nk. Ndio watumiaji wakubwa wa aina hii ya vinywaji tajwa hapo juu kila siku na Kwa. Maelezo yao ni. Kuwa. Vinywaji hivo hukata kabisa kiu haraka.

Unywaji wa aina hii hauna madhara yoyote kwa badae?

=====

Pia soma: Vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinamaliza nguvu kazi za Taifa
vinywaji vyote ulivyotaja vimenyweka sana zamani, leo bado wapo.
 
Sasa na wewe kwann uhangaike na mimi usihangaike na maisha yako?? Watu ka wewe mnakuaga mashoga mkijifanya hamtaki kuingiliwa mambo yenu
Punguza kisirani Dogoo!!!kwa hiyo unalazimisha watu waamini upuuzi wako,,, kwani wakinywa wewe unapungukiwa au unadhurika na nini??acha roho ya kichawi,,,tumia hiyo fursa fungua grocery wauzie upige hela,,,Farlaahhh wee!!!
 
Ukweli siku zote unauma na watu hawako tayari kuupokea lakini ni ukweli kabisa vinywaji vingi sasa ni silent killer na sababu ni biashara za watu ukiongea hivi unapingwa ni jambo LA msingi kila mmoja awe makini kwa anacho kula na kunywa
 
Hoja yako haifichi ukweli kwamba unywaji wa soda,na sukari ni hatari kwa afya yako.

Haijalishi tutakufa,walikufa na watakufa,Ila sukari bila kujalisha ya energy au soda au ya kawaida ni mbaya na haifai kwa matumizi ya binadamu.

Mnatengeneza vitambi,vidonda kuchelewa kupona,mchubuko mdogo tu kidonda hiko!! Mashine kuwa ndogo na kusinyaa(kwa wanaume) na matatizo mengine mengi tu.

Soda na energy siyo chakula. Usifananishe na matunda na nyama mbichi walizokula wazee wetu huko Zama za mawe.
Sasa mtu kashakwambia anajua, hajali.

Unataka kumlazimisha?
 
Ukweli siku zote unauma na watu hawako tayari kuupokea lakini ni ukweli kabisa vinywaji vingi sasa ni silent killer na sababu ni biashara za watu ukiongea hivi unapingwa ni jambo LA msingi kila mmoja awe makini kwa anacho kula na kunywa
Mtu anayetaka maisha mafupi lakini matamu naye utataka kumlazimisha asile na kunywa anachotaka wakati kashakwambia anajua, ila hajali?

Wewe una haki gani ya kumlazimisha mtu mwingine awe na maisha marefu?
 
Back
Top Bottom