Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Hakuna tunachokula kilicho salama kwa sasa mkuu, hizo mbogamboga tu zina chemicals za kutosha. Ukisema tuache kula na kunywa chemicals labda wote turudi shamba tukalime wenyewe kwa mbolea ya mboji/samadi.
Punguza ubishi jombaa mchicha, mnafu, spinach au tembele hata kama vina chemicals huwezi kuzilinganisha na energy drinks. Mbogamboga kwanza zina fibers ambazo ni muhimu sana, achilia mbali vitamins.
 
iyo coca ya mililita 350, ina sukari zaidi ya vijiko 7(suger) samr time unakula chapati nne (sugar) ilipikiwa mafuta ambayo hayajasafishwa(saturated fatty,fat=^sugar unakunya supu ya kongoro ngo'mbe amekuwa kwa booster, huyo msopo wote ni uchafu plus supu ime ongezwa maji machafu ya duwasa muda si mrefu unakunywa wadudu, wajitaidi waweka chlorine nayo inaharibu pinel gland
Acha uongo wewe chukua coca kunywa afu chukua na chai yenye vijiko 7 unywe ka utainywa
 
Mwaka jana nilienda home kusalimia nikakuta bi mkubwa anajenga banda la nguruwe basi nikasimamia kidogo mafundi wakawa wamemaliza katika kusafisha mazingira niliokota kopo za energy drink za azam na mo extra zaidi ya 70 na hizo ni zile wanazokunywa wakifika kazini kulikua na mafundi wanne tu kwenye kazi kile kitu kilinishangaza na muda wa kazi ilikua kama wiki mbili na kidogo nikaja kumuuliza fundi mkuu vipi mbona energy nyingi? Akanijibu asee siwezi anza kazi bila chupa moja mchana akila anakunywa au apige soda alafu jioni akifunga kazi lazima apitie dukani anunue moja kwa siku anasukuma 2 mpka 3 asee ni hatari
Unaona hiyo?? Janga kubwa sana mkuu..
 
iyo coca ya mililita 350, ina sukari zaidi ya vijiko 7(suger) samr time unakula chapati nne (sugar) ilipikiwa mafuta ambayo hayajasafishwa(saturated fatty,fat=^sugar unakunya supu ya kongoro ngo'mbe amekuwa kwa booster, huyo msopo wote ni uchafu plus supu ime ongezwa maji machafu ya duwasa muda si mrefu unakunywa wadudu, wajitaidi waweka chlorine nayo inaharibu pinel gland
Ndo maana nasema watanzania wauza mti shamba wata watapeli sana ona hili
 
Tukinywa na kula kwa kiasi haina matatizo kabisa. Tatizo watu hata bia anataka ajisifu kafuta kreti zima. Kwa mfano ukanywa coka moja leo na kesho ukanywa azam energy moja sio mbaya. Tatizo watu wanafakamia kila kitu siku hiyohiyo. Kuna watu unakuta anafuta chupa nzima ya chai peke yake. Wengine utakuta kashashiba zake ugali lakini akionyeshwa kuku afakamia bila kujali. TUACHE TAMAA
 
Tukinywa na kula kwa kiasi haina matatizo kabisa. Tatizo watu hata bia anataka ajisifu kafuta kreti zima. Kwa mfano ukanywa coka moja leo na kesho ukanywa azam energy moja sio mbaya. Tatizo watu wanafakamia kila kitu siku hiyohiyo. Kuna watu unakuta anafuta chupa nzima ya chai peke yake. Wengine utakuta kashashiba zake ugali lakini akionyeshwa kuku afakamia bila kujali. TUACHE TAMAA
Bia ni bora kuliko soda
ova
 
Wewe usinywe Hayo maeneji na masoda yao,,,lakini utadedi tuu hata kwa ajali au kuliwa nyama na wale simba waliomuua babu junior!!
 
Usichambe kabla ya kunya..... hajasema usipokunywa hufi... ngoja nipoteze mda kukuelewesha.... ni hivi ulitumia saana kama wanavyo fanya hao wanywaji baadae watapata changamoto za kiafya ambazo zitawagharimu saana kiuchumi na hat kifo.... ukinielewa kunya sasa ndo uchambe
Punguza makasiriko dogo!!kwani akifa kwa changamoto za kiafya wewe inakuhusu na kukuuma nini??mbona watz tunapenda kupangiana maisha,,,Wewe jali ya kwako ya watu yatakupotezea mda wako bure na wala hayatakusaidia lolote,,,tunaomba uwe mtulivu dogo!!###NyokooMbiliWewe###
 
Miji mingi yenye hali ya hewa ya joto wengi tumeshuhudia. Matumizi makubwa ya soda na vinywaji vya energy. Baadhi ya watu hutumia soda hadi tatu kwa siku pamoja na vinywaji vya energy, na wengi wao wanakuambia hawawezi maliza siku bila kunywa soda/energy

Wengi wa wanaofanya kazi juani muda mrefu mfano mzuri Ni mafundi ujenzi. Vijana wa boda boda, wamachinga Nk. Ndio watumiaji wakubwa wa aina hii ya vinywaji tajwa hapo juu kila siku na Kwa. Maelezo yao ni. Kuwa. Vinywaji hivo hukata kabisa kiu haraka.

Unywaji wa aina hii hauna madhara yoyote kwa badae?

=====

Pia soma: Vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinamaliza nguvu kazi za Taifa
Hakuna shida kwa wanaofanya kazi juani na kunywa soda hata 6. Kwasabb. Sukari yote inatumika wakati wa kufanya hiyo kazi ya juani.

Ishu ni wale wanaokunywa hata soda moja kwa wiki lkn sukari haifanyiwi kazi yoyote, badala yake inarundikana mwilini
 
Tukinywa na kula kwa kiasi haina matatizo kabisa. Tatizo watu hata bia anataka ajisifu kafuta kreti zima. Kwa mfano ukanywa coka moja leo na kesho ukanywa azam energy moja sio mbaya. Tatizo watu wanafakamia kila kitu siku hiyohiyo. Kuna watu unakuta anafuta chupa nzima ya chai peke yake. Wengine utakuta kashashiba zake ugali lakini akionyeshwa kuku afakamia bila kujali. TUACHE TAMAA
Safi mkuu umeandika point na si ushabiki
 
Ninamfhamu mama mmoja,yeye alikuja kupata kisukari,ila ktk mazungunzo naye alikiri kuwa kabla ya hapo siku ilikuwa haipiti bila ya soda mbili au tatu...
 
Hakuna shida kwa wanaofanya kazi juani na kunywa soda hata 6. Kwasabb. Sukari yote inatumika wakati wa kufanya hiyo kazi ya juani.

Ishu ni wale wanaokunywa hata soda moja kwa wiki lkn sukari haifanyiwi kazi yoyote, badala yake inarundika a mwilini
Wewe ndo unaelewa hongera sana
 
Hakuna shida kwa wanaofanya kazi juani na kunywa soda hata 6. Kwasabb. Sukari yote inatumika wakati wa kufanya hiyo kazi ya juani.

Ishu ni wale wanaokunywa hata soda moja kwa wiki lkn sukari haifanyiwi kazi yoyote, badala yake inarundika a mwilini
Mh hapa unaingiza watu chaka
 
Back
Top Bottom