Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Unywaji wa vinywaji hivi nini matokeo yake miaka 10 ijayo?

Hao madokta wenu wa kisabato watawaua kwa hofu

Binadamu wa zamani walishindia matunda na nyama mbichi lakini wako wapi? wamekufa wote

We achana na sisi kufa kupo tu
As long as tunaenjoy
Tusitishane.

Niko napata coka,supu ya makongoro na chapati nne hapa . Alaaah
Well done bro.... ila tunakuamba ufe kifo cha ghafla sio kututia simanzi tukuchangie upelekwe india kubadilishwa vigo sijui ubongo
 
Everything too much is harmful, usiogope kutumia ila tumia kadri ya maelekezo.

Umeambiwa usinywe enerdy drinks zaidi ya mbili sasa ukizidisha ndo hatari zaidi.
Lakini pia hpohapo kwenye chupa kuna makatazo na misisitizo kadhaa, huwa hamsomi ama??
 
Hoja yako haifichi ukweli kwamba unywaji wa soda,na sukari ni hatari kwa afya yako.

Haijalishi tutakufa,walikufa na watakufa,Ila sukari bila kujalisha ya energy au soda au ya kawaida ni mbaya na haifai kwa matumizi ya binadamu.

Mnatengeneza vitambi,vidonda kuchelewa kupona,mchubuko mdogo tu kidonda hiko!! Mashine kuwa ndogo na kusinyaa(kwa wanaume) na matatizo mengine mengi tu.

Soda na energy siyo chakula. Usifananishe na matunda na nyama mbichi walizokula wazee wetu huko Zama za mawe.
Hata kuishi ni hatari, hasa nchi zetu hizi
 
Miji mingi yenye hali ya hewa ya joto wengi tumeshuhudia. Matumizi makubwa ya soda na vinywaji vya energy. Baadhi ya watu hutumia soda hadi tatu kwa siku pamoja na vinywaji vya energy, na wengi wao wanakuambia hawawezi maliza siku bila kunywa soda/energy

Wengi wa wanaofanya kazi juani muda mrefu mfano mzuri Ni mafundi ujenzi. Vijana wa boda boda, wamachinga Nk. Ndio watumiaji wakubwa wa aina hii ya vinywaji tajwa hapo juu kila siku na Kwa. Maelezo yao ni. Kuwa. Vinywaji hivo hukata kabisa kiu haraka.

Unywaji wa aina hii hauna madhara yoyote kwa badae?

=====

Pia soma: Vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinamaliza nguvu kazi za Taifa
Diabetes ileeeeee
 
Well done bro.... ila tunakuamba ufe kifo cha ghafla sio kututia simanzi tukuchangie upelekwe india kubadilishwa vigo sijui ubongo
Hakuna kitu kama hicho iyo mechanism ya vinywaji na hayo magojwa sio kirahisi hivyo acheni kushikiwa akili! Na wauza mitishamba

App kikubwa usizidishe basi
 
Mi nilikiheshim kifo baada ya kumuona mtu kagongwa na gari kafa,ili hali kavaa barakoa korona
 
Back
Top Bottom