imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Uzuri Wakurya hawaelewi huo upuuzi waoneeni watu Wamakonde na Korosho zaoSheria ya ardhi inahusika huwezi ingia eneo la mtu bila ridhaa yake ndio maana viwanja huombwa vibali kwa wenye navyo kuvitumia hujiingilii tu
Huo ndio utawala wa sheria Lisu abaoupigia kelele . Kiwanja changu Nina hati nacho wewe unajiingiza kimabavu haikubaliki