Uoga : Eneo lililotajwa kutumika na Lissu kwa Mkutano wa Kampeni Jimbo la Serengeti labadilishwa matumizi

Uoga : Eneo lililotajwa kutumika na Lissu kwa Mkutano wa Kampeni Jimbo la Serengeti labadilishwa matumizi

Sheria ya ardhi inahusika huwezi ingia eneo la mtu bila ridhaa yake ndio maana viwanja huombwa vibali kwa wenye navyo kuvitumia hujiingilii tu

Huo ndio utawala wa sheria Lisu abaoupigia kelele . Kiwanja changu Nina hati nacho wewe unajiingiza kimabavu haikubaliki
Uzuri Wakurya hawaelewi huo upuuzi waoneeni watu Wamakonde na Korosho zao
 
Hilo ango ni la kihuni kwanini lisimikwe Usiku
Ng'oeni bango watu watafute uhuru wao kutoka katika huu utawala wa mkoloni mweusi
Eneo la nani kamanda, mbona hicho kipande hamuweki wazi. mambo ya kusimamisha usiku au mchana sio issue, bora imesimama.
 
Kwani Magufuli yeye atafanyia wapi akienda Mugumu. Kwa nini ccm wao hawabugudhiwi ktk nchi hii?

Najaribu kupiga picha siku wakitolewa madarakani ndani ya masaa 24 chama kitakuwa mfu kabisa na kusahaulika ktk nchi hii.
 
Kama hilo Bango lingeandikwa kuwa hilo eneo ni la mtu binafsi mbona lingeeleweka

Ila Mkurugenzi anakurupuka baada ya kusikia Chadema wanakuja uweka kambi hapo huo ni uhuni tu.
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Kama eneo ni la Taasisi au mtu binafsi lazima kuliomba siyo kujiendea tu!! Chadema mnakwama wapi??
 
Kwamba kabla ya Gambo Arusha haikuwa na viwanja ?
Viwanja Vipo.
Lema alikuwa anatumia viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenano na Sinon Secondary 2015. Mwaka huu viwanja hivyo hataweza kuvitumia Tena.
 
Kama hilo Bango lingeandikwa kuwa hilo eneo ni la mtu binafsi mbona lingeeleweka

Ila Mkurugenzi anakurupuka baada ya kusikia Chadema wanakuja uweka kambi hapo huo ni uhuni tu.
Hilo eneo ni la Taasisi sasa nyinyi mnaenda tuu!! Mipango yenu ni Zero kabisa!!
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
MWISHO WA CCM MWAKA HUU
 
Kawaida kiwanja chochote kabla kutumia unatakiwa kuomba kibali Cha mwenye kiwanja Sasa mfano mimi Nina kiwanja changu chamazi Cha AZam ukiambiwa ujaze utakapofanyia mkutano wako utajazaje jina la kiwanja changu Wakati hujawasiliana nami?

Na kwa kuwa Ni changu Nina Uhuru wa kubadili matumizi Wakati wowote
Kwahiyo hapo unajiona bonge la mtu mahiri kwa hii post yako iliyojaa upumbavu na ujinga?
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
WAMBIE CHADEMA, WAKAFANYE HAPOHAPO MKUTANO.

ILO BANGO LIMEWEKWA NA WAHUNI WA CCM .

HAMNA CHA UTAWALA WALA BIBI YAKE.
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Utawala ndo nani? Hao ni wahuni tu waliosimika hilo tangazo. Watakaozingatia tangazo hilo ni wajinga.
 
Back
Top Bottom