Uoga : Eneo lililotajwa kutumika na Lissu kwa Mkutano wa Kampeni Jimbo la Serengeti labadilishwa matumizi

Uoga : Eneo lililotajwa kutumika na Lissu kwa Mkutano wa Kampeni Jimbo la Serengeti labadilishwa matumizi

Kwahiyo hapo unajiona bonge la mtu mahiri kwa hii post yako iliyojaa upumbavu na ujinga?
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Issue Ni kutii sheria za ardhi vinginevyo mtakuta mnagombana Hadi na wapiga kura wenu kiwanja mfano Cha msikiti,au Kanisa au mtu binafsi au jumuiya fulani Huwezi vamia tu kuwa Mimi nitafanya mkutano hapa

Hata viwanja vinavyomilikiwa na manispaa zilizo chini ya mameya wa Chadema viwanja hivyo huombwa unapotamka kutumia havivamiwi tu!!! Kisa vya halmashauri au manispaa au jiji!!!

Chadema utawala wa sheria mnaohubiri wenye akili wameshaanza kuwaona kuwa nyie waongo wakubwa na matapeli Kama mnavyohubiri Uhuru wa habari lakini hamtaki chombo Cha habari kiwe na Uhuru kutangaza chochote inachotaka na kuacha isichotaka Kama mkivyoifanyia TBC kwa kuingilia Uhuru wao wa kuamua watangaze kipi na kuacha kipi

Mnaendelea kupoteza tu point kwa wapiga kura .Utii wa sheria Ni pamoja na kutii sheria za miliki za ardhi

Serengeti Ni mtihani wenu mwingine wa kuonyesha Kama mnayohubiri ya utawala wa sheria mko serious au matapeli wa kisiasa .
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Mwendelezo wa hofu kutoka Lumumba street, CDM mnatisha!
 
Ndio dawa yenu ni kuwakomoa mpaka mkome! [emoji57]
Kama ni wanaume kweli, njooni uwanjani tupambane, siyo mnatufunga mikono na miguu, refer wenu, kamisaa wenu kila kitu chenu halafu bado mnaogopa.
Kama mnajisifu mmefanya maajabu ya uchumi kwa miaka 5, wananchi si wanaona? Kwanini mnaogopa?
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Tumeni vijana wakaling'oe haraka sana pumbavu zao hakuna tena kulialia!
 
View attachment 1553076

Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.

Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .

Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Tume ya uchaguzi!?
 
Hilo eneo ni la Taasisi sasa nyinyi mnaenda tuu!! Mipango yenu ni Zero kabisa!!
Watu waliingia mpaka kwenye nyumba za taasisi za Bunge na kumwaga risasi hapo vipi?
Waje na hapo wamwage risasi 600
 
Watu waliingia mpaka kwenye nyumba za taasisi za Bunge na kumwaga risasi hapo vipi?
Hoja tunayoongelea ni nyingine! Ukitaka ya kumiminiwa risasi Msaliti Lissu anzisha nayo tutachangia pia!
 
"Eti...MSARITI HATAKIWI KUSURVIVE"...hahhahaaahaaaa!!!!!! Magufuli bwana IQ15

Raisi Lissu anapiga kampeni kwenda mbere.hahahahaa mbavu zangu
 
Back
Top Bottom